Uchaguzi 2020 Ally Bananga atia nia ubunge Arusha mjini - CHADEMA

Uchaguzi 2020 Ally Bananga atia nia ubunge Arusha mjini - CHADEMA

Mbowe kazi anayo, atakuwa tayari kumpiga chini Lema? Lema aliyepokonya laptop ya kina MM, hadi nasi tukausoma waraka.
Mwishoni huku wakati wa hama hama nahisi kama Ally nae alipotoka kdg hakua strong, bado Lema anahitajjika hapo Arusha. Uyu Bananga atamuuzia best wake Msando Jimbo mapema tu.
 
Ningeongea kuhusu bananga ila nashindwa kihalisiha kwa ninavyomfafahamu hapa.. the don tukigonga vyombo.
Kifupi ni project msando(sio project juhudi)
 
Mwana CCM mwenangu leo umekuwadi wa mgombea wa CHADEMA?

Naona unajitahidi kumpanulia goli mgombea wetu.
 
Mwishoni huku wakati wa hama hama nahisi kama Ally nae alipotoka kdg hakua strong, bado Lema anahitajjika hapo Arusha. Uyu Bananga atamuuzia best wake Msando Jimbo mapema tu.
kwa nini ccm wasione Msando atamuuzia jamaa yake Banaga?. Acheni hizo mambo lema anamtaji wa fedha na mali na nimaarufu kuliko Banaga kwa nini asiende jimbo lingine amuachie hapo banaga, mbona Zitto kakubali kuwaachia vijana wake wagombee, CDM muwe na itikadi yakuamini nawatu wengine wanaweza na hili ndio limeonekana hakuna mrithi wa Mbowe kwenye uwenyekiti.

Mbowe,Lissu wote wamechukua fomu ya ugombeaji kwa nini hapo hamsemi Mbowe anatumika asingechukua akamuachia Lissu, mwisho wasiku mruhusu demokrasia atakaeshinda Kura za maoni ndio apitishwe kugombea ubunge tofauti nahapo mtalipoteza jimbo. Napia kipindi wananchi tunalilia katiba mpya tusikubali mtu kuwa mbunge zaidi ya miaka kumi, hii itatoa furusa kwa mawazo mapya kupatikana yatakayotuvusha Kama taifa kwenda mbele.
 
kwa nini ccm wasione Msando atamuuzia jamaa yake Banaga?. Acheni hizo mambo lema anamtaji wa fedha na mali na nimaarufu kuliko Banaga kwa nini asiende jimbo lingine amuachie hapo banaga, mbona Zitto kakubali kuwaachia vijana wake wagombee CDM muwe na itikadi yakuamini nawatu wengine wanawaza na hili ndio limeonekana hakuna mrithi wa Mbowe kwenye uwenyekiti.

Mbowe,Lissu wote wamechukua fomu kwa ugombeaji kwa nini happy hamsemi Mbowe asingechukua akamuachia Lissu, mwisho wasiku mruhusu demokrasia atakaeshinda Kura za maoni ndio apitishwe kugombea ubunge tofauti nahapo mtalipoteza jimbo.
CDM Haina akili mbovu kama kwenu huko ambapo kwa uoga mmeprint fomu moja tu. Ndo maana watu wote wanaruusiwa kuchukua fomu tu. Pia kwa nyendo za Bananga mwishoni hapa intelijensia inasema baado hajakwiva mikiki mikiki
 
CDM Haina akili mbovu kama kwenu huko ambapo kwa uoga mmeprint fomu moja tu. Ndo maana watu wote wanaruusiwa kuchukua fomu tu. Pia kwa nyendo za Bananga mwishoni hapa intelijensia inasema baado hajakwiva mikiki mikiki
Kwa jambo lipi mkuu? Taja walau moja tu [emoji41]
 
CDM Haina akili mbovu kama kwenu huko ambapo kwa uoga mmeprint fomu moja tu. Ndo maana watu wote wanaruusiwa kuchukua fomu tu. Pia kwa nyendo za Bananga mwishoni hapa intelijensia inasema baado hajakwiva mikiki mikiki
Hakuna mtu aliemuunga mkono Magufuli kutoruhusu watu wengine kuchukua fomu huo ni uminywaji wa demokrasia nakila siku tunapigania mawazo mapya. Huo ujinga unaotendeka ccm msije mkauiga hata siku moja ,ccm sio chama Cha siasa nichama dola kukitoa hapo madarakani ni process ya muda mrefu nakitatoka tu.

Lakini kusema banaga hajaiva kila mtu anaemfaham banaga atakushangaa, mtu amekaa kwenye udiwan Zaid ya miaka 7 akiwa chadema unasema hajaiva?. Wabunge wameokaa zaidi ya miaka 10 katiba ingewafukuzia mbali wasiruhusiwe kugombea ili wapishe na wengine walitumikie taifa lao wao wakafanye kazi za chama.
 
Kwa jambo lipi mkuu? Taja walau moja tu [emoji41]
Imaposemwa intelijensia kausha tu yapaswa ufahamu kuwa hata nyendo za usiku ni mojawapo.ushkaj wake na Msando na Sabaya pia unaleta mashaka
 
Kwani Lema ametangaza nia ya kugombea? Kwa kawaida kumng'oa incumbent si kazi ndogo. Cha muhimu ni kwa yeyote ambae hatateuliwa kugombea amuungesl mkono atakae teuliwa ili chama chao kishinde. Lugha za fulani kabebwa na Mbowe au fulani ni msaliti mtarajiwa zisipewe nafasi baada ya uteuzi.

Amandla...
 
Hii kushukiana ndio inapasua chama. Ziko standards za kupimana badala ya hisia na woga tu.
Mtu akiumwa na nyoka ni lazima kamba aitilie shaka. Anahitajika mtu ambae sio tu atashinda ubunge na kuwawakilisha vyema waliompigia kura bali pia atakae simama kidete kutetea chama chake. Wengi waliosema kuwa wao wameweka maslahi ya wapiga kura wao juu ya maslahi ya chama wamejiunga na chama tawala ili kuhakikisha jimbo lao halisahauliwi katika mgao. Huyu bwana ni lazima akihakikishie chama kuwa ingawa marafiki zake wamehamia CCM yeye binafsi yuko tayari kuwapigania wananchi na chama chake hata ikibidi kuwekwa ndani kama mwenzake alivyoonyesha kwa vitendo. Mbunge sio tu ni mwakilishi wa wananchi katika jimbo lake lakini vilevile ni sehemu muhimu ya chama chake katika kuhakikisha kuwa wanasimamia serikali kwa umakini na pasipo uoga.

Amandla...
 
Back
Top Bottom