Ally Bananga: Nikifika mbinguni (peponi) nikikuta Mama Samia hayupo natoka peponi

Hahahahahahah njaa kali aisee! Mke kukulisha miaka 5 lazma akuburuze vibaya mno!
 
Heheheheh atakapopewa shavu muendelee kumsakama hivyo hivyo wakati anakula per diem zake 😀
 
. M Mkuu weka ushahidi hata sura ama mahadith alipotahadharisha
 
Kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu!! Kwenye siasa ni mwendo wa unafiki na kujitoa ufahamu kwa kwenda mbele!! Kwenye siasa utafikiri wamelogwa!! Kiongozi mkuu utakuta anajua kabisa kuwa sifa wanazompa hana na ni unafiki tu wa kujipendekeza kwa maslahi binafsi lakini bado utakuta kiongozi huyo anazifurahia sifa hizo huku akijua kabisa ni za unafiki na sifa hizo hana!! Siwezi kushangaa maneno kama hayo kusemwa na Tundu Lisu siku moja!! Nani aliyekuwa anaaminika kama Dr Slaa?? Leo yuko wapi?? Maana ya siasa ni SI HASA!!
 
Wanasiasa walivyo wa ovyo, unaweza kukuta alikuwa anamaanisha kinyume chake!! Yaani akifika jehanamu halafu asimkute atashangaa sana!! Maana kwa unafiki huo jehanamu ndiyo ana uhakika wa kufika!!
 
Kwa hiyo ukiongea kisiasa ndio unaongea ujinga kama huu...hiyo definition ya siasa ndio hii....very stupid indeed
 
Anasema hivyo kwa sababu anajua hilo haliwezekani
 
Kwa kaliba yake Bananga anatarajia kupata uteuzi gani? Huyo anafaa kuwa mwanaharakati tu au Diwani apambane kwenye vikao huko.
 
katika kuongea kuna ile kupitiliza.huenda kwa furaha aliyoipata ya kuongea mbele ya amir jesh mkuu akaona atie na kibwagizo hicho.ingawa kimekaa sio vizur kwa mtu wa din hasa hasa muslim,huwez kukata kaul flan atakua pepon flan moton kule nimpazito panataka khofu, labda anaweza kuingia katika mlango wa dharura wa furaha iliuopitilza ndio akasema hayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kwa hiyo wewe bwege mtu ana kufuru kwa kufanya au kutamka hiyo kufuru akiwa eneo la ibada?
Wewe ndio bwege kabisa
Mfano Mimi nikae zangu barabarani nianze kutoa maneno ya kashfa Juu ya Mungu kwa kuwa tu sipo Kwenye eneo la mahubiri utakuwa sawa
 
Peponi sio na ukumbi wa Cinema
 
Nawashauri vijana ingieni siasa baada ya kuwa na kazi za uhakika, siasa ifanye kama wito na si ajira rasmi, haya ndiyo matokeo yake kila siku kijana na furushi mgongoni kuhama hama kisa uchumi mfukono umeyumba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…