Ally Bananga: Nina kiapo na mke wangu, nitamlinda kwa gharama ya damu yangu

mkuu,
umewai sikiliza story ya mke wa Raisi wa kwanza wa Zenji,
apo ndo utaona kua unapo jitoa sana kutetea haki za watu, sometimes familia unaiweka yapili.
Hata Kwa Mandela pia...
 
Hahaha sasa atabeba zege dadekii
 
 
Greater thinker
 
Hata asingekwenda kwenye Media kutangaza bado,anawajibu wa kumlinda mkewe!
 
Utaona Ni kwa nini anaunga mkono mke wake kuendelea kuwa mbunge kwa tiketi ya kughushi. Kuna usemi "ushakula nyama ya mtu unakuwa mafia". Huyu alifurahia mshiko wa ubadhirifu.
 
mkeo akikusalati unamlinda kwa damu yako? Itakua na ww msaliti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…