mr_politician
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 631
- 452
mkuu,Good, good! Mwisho wa siku lazima mtu asimame kwenye ukweli. Familia kwanza kabla ya kitu chochote. Huwezi kutelekeza famila halafu eti ukawa mtiifu wa chama. Hata Lissu na Lema walikimbilia nje ya nchi na familia zao! Hawakukimbia na Chadema wala wana Chadema!
umewai sikiliza story ya mke wa Raisi wa kwanza wa Zenji,
apo ndo utaona kua unapo jitoa sana kutetea haki za watu, sometimes familia unaiweka yapili.
Hata Kwa Mandela pia...