NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Msimamo wa kiume.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchafu upi aliouona na kuusemea?Ukijua ma boss wako wanaimba usafi huku wanaogelea kwenye uchafu unakua smart sana
Ally Bananga ni mwanachadema mwenye akili kubwa sana zaidi ya watu wanavyomwangalia
Kwangu alikua diwani bora kwa kipindi chote cha uwakilishi wake na niliwahi kuongea hapa kabla hata mkewe hajawa mbunge
Wezi wua kura wakafanya yao[emoji16][emoji16][emoji16]Ukijua ma boss wako wanaimba usafi huku wanaogelea kwenye uchafu unakua smart sana
Ally Bananga ni mwanachadema mwenye akili kubwa sana zaidi ya watu wanavyomwangalia
Kwangu alikua diwani bora kwa kipindi chote cha uwakilishi wake
Nimemsikiliza Star Tv hakika hatuna mwanachama pale ,Kashaenda CCM yule ni matter of time."Mimi ni mwanachama wa CHADEMA, Suala la wabunge 19 wa viti maalumu ambao Chama chetu kinasema hakiwatambui, mke wangu (Hawa Bananga) pia ni miongoni mwao na katika vitu ambavyo nimekuwa nikijiepusha kuvizungumza ni suala hili kwasababu bado maamuzi yako ndani ya chama, kuliweka hili kwa ufupi mimi nitasimama aliposimama mke wangu kwasababu sikufunga naye ndoa CHADEMA, sikufunga naye ndoa mitandaoni nilifunga naye ndoa msikitini, kiapo changu kwake ni kumlinda kwa gharama ya damu yangu....lolote lenye udhaifu kwake ni wajibu wangu kulipa uimara, ndio kitu cha thamani ninachomiliki, nitamlinda mama wa watoto wangu "-Mwanasiasa Ally Bananga kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Uchafu huko upo mwingiUchafu upi aliouona na kuusemea?
Nadhani tunatofautiana kwenye tafsiri ya neno smart. Mimi mtu anaesema kuwa mke wake ni zaidi ya katiba hana u smart wowote. Ni kama yule aliyesema human rights hazina maana yeyote.
Samahani lakini huyu jamaa anaonekana ni opportunist tu. Hapo anataka kupandisha dau tu.
Amandla...
Aliibiwa kura na nani😎😎😎Wezi wua kura wakafanya yao[emoji16][emoji16][emoji16]
Na walimsafisha lini? Mbona huyu akili kubwa hakuondoka na Slaa wakati ule?Uchafu huko upo mwingi
Ila ule wa kumsafisha waliyemwita fisadi papa lowasa ili wamle pesa ulitia fora
Oooh naomba nisiharibu usiku wako ushindwe kuhudumia ndoa bibie[emoji28]Aliibiwa kura na nani[emoji41][emoji41][emoji41]
Muulize mwenyekiti wako na TunduNa walimsafisha lini? Mbona huyu akili kubwa hakuondoka na Slaa wakati ule?
Amandla...
Usijali, ndoa haihudumiwi usiku tuu. Huduma ni usiku na mchanaOooh naomba nisiharibu usiku wako ushindwe kuhudumia ndoa bibie[emoji28]
Mpeane vitamu salama[emoji23][emoji23][emoji23]Usijali, ndoa haihudumiwi usiku tuu. Huduma ni usiku na mchana
Wakati wengine wamelala wengine wanaamka[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Kama kumbukumbu zangu ziko vizuri; bananga, lema na mawazo walikuwa TLP kabla ya kuhamia chadema.Mtu akielekea kuhamia kwenu au akitofautiana na chama chake ndio mnagundua kuwa siku alikuwa na akili sana!
Sasa huyu genius wako anasema anamsupport mke wake kwa sababu alimuoa msikitini na sio kwa sababu yuko sahihi! Heri angesemq kuwa mpango wote walisuka pamoja. Kazi kweli ipo.
Amandla...
Kwani wao ndio walio ona uchafu?Muulize mwenyekiti wako na Tundu
Huo ni ulafi sasaKuna point kaongea ya muhimu.Kuwa si kila Jambo viongozi wa Chadema wanapaswa kuhangaika nalo.Mambo madogomadogo kama haya ya akina Diamond yanawapotezea focus na muda CHADEMA.
Ila kuna sehemu sijamuelewa,aliposema yupo tayari kurudisha kadi kwa ajili ya familia.Amemaanisha kuwa endapo rufaa waliyokata wale 19 endapo watashindwa na kufukuzwa kabisa naye atahama chama?
Bananga na marehemu Hizza Tambwe ni mapacha kisiasa, wanapigania fursa binafsiAendelee kuvuta mpunga kupitia wife akae kwa kutulia.. uzur CDM haijawah mjibu
Hili suala la Diamond sio la Chadema. Lissu amesema wazi kuwa ni msimamo wake binafsi. Ingawa inawezekana wengi walio nyuma ya hiyo kampeni wana mapenzi na Chadema haina maana kuwa Chadema kama chama kinawaunga mkono.Kuna point kaongea ya muhimu.Kuwa si kila Jambo viongozi wa Chadema wanapaswa kuhangaika nalo.Mambo madogomadogo kama haya ya akina Diamond yanawapotezea focus na muda CHADEMA.
Ila kuna sehemu sijamuelewa,aliposema yupo tayari kurudisha kadi kwa ajili ya familia.Amemaanisha kuwa endapo rufaa waliyokata wale 19 endapo watashindwa na kufukuzwa kabisa naye atahama chama?