Ally Bananga: Nina kiapo na mke wangu, nitamlinda kwa gharama ya damu yangu

Ally Bananga: Nina kiapo na mke wangu, nitamlinda kwa gharama ya damu yangu

Nimemsikiliza Star Tv hakika hatuna mwanachama pale ,Kashaenda CCM yule ni matter of time.
Mkuu kwa hapo i stand with bananga,jamaa ni very smart aisee

kuna itikadi na kuna family.
Kuna kanuni inasema mwanamke wako ni jukumu lako kusmama upande wake hata kama ana onekana kakosea kias gani kwenye jamii stand with her,,
Mwanamke anarekebishwa mkiwa wawili ndani tartibu ila nje lazma umheshimishe na umuonyeshe you stand with her.
Na hii ndo mbinu ya kivita kum badilisha mwanamke tabia yeyote usioipenda.
chkua iyo kama ulikua hufaham.
Ukimsagia kunguni nje ndo unaharibu kila kitu.
Mkuu hizo ndo busara za suleiman.
 
Mkuu kwa hapo i stand with bananga,jamaa ni very smart aisee

kuna itikadi na kuna family.
Kuna kanuni inasema mwanamke wako ni jukumu lako kusmama upande wake hata kama ana onekana kakosea kias gani kwenye jamii stand with her,,
Mwanamke anarekebishwa mkiwa wawili ndani tartibu ila nje lazma umheshimishe na umuonyeshe you stand with her.
Na hii ndo mbinu ya kivita kum badilisha mwanamke tabia yeyote usioipenda.
chkua iyo kama ulikua hufaham.
Ukimsagia kunguni nje ndo unaharibu kila kitu.
Mkuu hizo ndo busara za suleiman.
Sahihi kabisa
 
Ukijua ma boss wako wanaimba usafi huku wanaogelea kwenye uchafu unakua smart sana

Ally Bananga ni mwanachadema mwenye akili kubwa sana zaidi ya watu wanavyomwangalia

Kwangu alikua diwani bora kwa kipindi chote cha uwakilishi wake na niliwahi kuongea hapa kabla hata mkewe hajawa mbunge
Ally Bananga sio Chadema tu, Mipango yake na ubunifu wake wakati wa kampeni za uchaguzi 2020 ndio uliomfanikisha Lissu na chadema angalau kupata kura walizopata. Sijui nani aliyefanikisha mkewe kuwa miongoni mwa Cov19, lakini alizingatia hili.
 
Good, good! Mwisho wa siku lazima mtu asimame kwenye ukweli. Familia kwanza kabla ya kitu chochote. Huwezi kutelekeza famila halafu eti ukawa mtiifu wa chama. Hata Lissu na Lema walikimbilia nje ya nchi na familia zao! Hawakukimbia na Chadema wala wana Chadema!
[emoji106]
 
"Mimi ni mwanachama wa CHADEMA, Suala la wabunge 19 wa viti maalumu ambao Chama chetu kinasema hakiwatambui, mke wangu (Hawa Bananga) pia ni miongoni mwao na katika vitu ambavyo nimekuwa nikijiepusha kuvizungumza ni suala hili kwasababu bado maamuzi yako ndani ya chama,

Kuliweka hili kwa ufupi mimi nitasimama aliposimama mke wangu kwasababu sikufunga naye ndoa CHADEMA, sikufunga naye ndoa mitandaoni nilifunga naye ndoa msikitini, kiapo changu kwake ni kumlinda kwa gharama ya damu yangu....

Lolote lenye udhaifu kwake ni wajibu wangu kulipa uimara, ndio kitu cha thamani ninachomiliki, nitamlinda mama wa watoto wangu

"-Mwanasiasa Ally Bananga kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).

Chanzo: Star TV
Peoplezzzzzzzzzz! Mzee Ali mlikosea kunwacha mamalissu na missworld wa nyalandu. Pia mngeongeza royalnorth - hii huitwa return on investment haya yote yasingewapata peoplezzzzzzz!
 
kwenye siasa. Muunge mkono mke kwa sababu yuko sahihi na sio kwa sababu ni mke wako. Sidhani kama kuna mtu Chadema mwenye mpango wa kumdhuru mke wake hadi afikie kusema atamlinda kwa damu yake yote. Kwa maneno haya amekuwa sawa na wakina Lijualikali kwa kuona kuwa hawezi kupata bila ku insinuate kuwa uongozi wa Chadema ni majambazi na wanaweza kumdhuru mtu waliotofautiana nao. Hajafanya vizuri.

Amandla...
Naunga mkono hoja, kwenye hili la wabunge 19, nasubiri kwa hamu matokeo ya kikao cha Baraza Kuu.
P
 
Mkuu kwa hapo i stand with bananga,jamaa ni very smart aisee

kuna itikadi na kuna family.
Kuna kanuni inasema mwanamke wako ni jukumu lako kusmama upande wake hata kama ana onekana kakosea kias gani kwenye jamii stand with her,,
Mwanamke anarekebishwa mkiwa wawili ndani tartibu ila nje lazma umheshimishe na umuonyeshe you stand with her.
Na hii ndo mbinu ya kivita kum badilisha mwanamke tabia yeyote usioipenda.
chkua iyo kama ulikua hufaham.
Ukimsagia kunguni nje ndo unaharibu kila kitu.
Mkuu hizo ndo busara za suleiman.

Sawa ila swali la kovid19 ilitakiwa asiliongelee angelijibu kisiasa.

Leo Bananga anamtetea shibuda kuna mtu hapo?

Kashafika bei wanaanza(ga) hivyo hivyo then mwisho wa siku biashara ya utumwa inafanyika.
 
Nimemsikia Ally Bananga kwenye mahojiano, nadhani amepanic nakuanza vita bila kujua anapambana na nani. Amepambana na Lisu, Lema, Mnyika kwa maana wamekosea sehemu flani kutokana na tweet zao juu ya kukutana na Rais, Diamond pamoja na wabunge 19...
Atamlinda Kwa damu wakati gani? When she is right or wrong?

Ukimlinda Kwa Damu, when she is wrong, hujui unachofia.

The Decent and truthful people, always die for noble cause.

Get rid of being self interested, mediocre and myopic Mr Bananga.
 
Nimemsikia Ally Bananga kwenye mahojiano, nadhani amepanic nakuanza vita bila kujua anapambana na nani. Amepambana na Lisu, Lema, Mnyika kwa maana wamekosea sehemu flani kutokana na tweet zao juu ya kukutana na Rais, Diamond pamoja na wabunge 19...
Kashafika bei yule hamna mtu , wamtimue tu haraka.
 
Bananga ni mdogo Sana kwenye siasa....amekuja kuwa mario anategemea mke wake asilimia 100...na ndo maana ukiangalia insta anatuonyesha kuwa anapenda na mke wake saaaaaaana kumbe jamaa ni msoma ramani

Hahahaa inabidi awe anapiga sana mchuzi wa pweza na puturu ili aendelee kuheshimika maana ukiwa marioo inabidi usimamie kucha.
 
Bananga kukosa nafasi ya kugombea ubunge Arusha Mjini amechanganyikiwa kabisa, alijaribu kuchukua form wajumbe wakamuonesha hawana imani nae kabisa kwa zile kura kiduchu alizoambulia, sasa naona anatafuta sababu ya kuondokea Chadema, bora ajiondokee tu akajiunge na marafiki zake kina Sabaya.
 
Bananga ni mdogo Sana kwenye siasa....amekuja kuwa mario anategemea mke wake asilimia 100...na ndo maana ukiangalia insta anatuonyesha kuwa anapenda na mke wake saaaaaaana kumbe jamaa ni msoma ramani
Siyo mdogo kwenye siasa hasirani kama unamaanisha miaka aliyoanza kujishughulisha na siasa. Labda kama ungesema udogo kwa maana ya uimara wake kisiasa( Political and ideological stand). Mimi namuona mdogo Kwa maana ya mtizamo wake( ideological perspective)

Mke wake ni moja ya watu walio bungeni kimakosa, na kwa sababu ni familia yake, kama alikuwa hana ubavu wa kusema shida ya mkewe hadharani, angenyamaza badala ya kuja public na kusema atamlinda Kwa Damu.

Labda nimfahamishe Bananga kwamba uzuri wa mtu yeyote, ni pale anapoweza kusimamia ukweli hata kwa gharama ya kifo. ( The highest good of any individual is to die for the truth).

Na kwa maana yake, hata Kwa gharama ya kuachwa na mkewe. Kama huwezi Hilo " hutufai na hafai kufanya siasa zenye substances,labda kama ni siasa za kuganga njaa.
 
Back
Top Bottom