Ally Bananga: Nina kiapo na mke wangu, nitamlinda kwa gharama ya damu yangu

Kumbukeni huyu alikuwa CCM kindakindaki akiwa na akina James ole Millya na akina Mrisho Gambo. Binafsi sina Imani kabisa wanaCCM waliohamia Chadema. Wapo Kimaslahi zaidi
 
Akishalipwa mke wake zinasaidia familia.Mnataka asimame nanyi mnaitunza familia?

Kwa mwanaume makini hakustahili ajibie hoja zakikatiba kupitia mke wake.

Ameuza utu wake kwa maslahi ya wawili na si taifa.

SIKU NYINGINE ANYAMAZE TU.
MwanaCCM ni mwana CCM tu. Huyu Bananga alikuwa CCM na bado ana vimelea vyote vya uchafu huo.
 
Hili jamaa jinga sana! Sasa linamtisha nani? Hata kabla yake Chadema ilikuwepo. Anasubiri nini kuondoka amfuate mkewe huko kwa Ndugai? Janaume zima linategemea kuishi kwa posho ya mkewe aliyeingilia mlango wa nyuma bungeni!
 
Kwa hiyo? Uibe kwa kuwa nyumbani hakuna chakula na familia inakufa njaa? Uinde kinyume na utaratibu ili tu familia ipone? Kwanini usihangaikie kipato halali kwa familia yako?
 
Binamu angejiepusha na huu Mjadala.hata kukaa kimya ni hekma.
 
Yupo kwenye list wateuliwa watarajiwa..DCs,DEDs... Mama ameona uvccm hamna kitu..rejea ya Sabaya,Makonda...linganisha na Gekul,Waitara,Silinde
CCM hakuna Kijana wa maana wakumlinganisha na akina Mnyika, Pambalu, Heche, Kiwanga, Sugu, Prof. Jay, n.k. CCM kuna akina Polepole, Makonda, Sabaya. Shida tupu! Acha tu mama achukue wa upande wa pili nchi iendelee
 
Ukijua ma boss wako wanaimba usafi huku wanaogelea kwenye uchafu unakua smart sana

Ally Bananga ni mwanachadema mwenye akili kubwa sana zaidi ya watu wanavyomwangalia

Kwangu alikua diwani bora kwa kipindi chote cha uwakilishi wake
Nini kilimnyima udiwani? Kama siyo uhuni wa CCM aipendayo
 
Je, kama jina lilienda kwa rushwa ya ngono kwake sawa tu.Hasimamii utu Bali mali
Ndio maana yake. Wewe unafikiri Ndugai alimpa mkewe ubunge wa dezo bure tu? Janaume zima eti mradi familia inapata chochote yeye atamuunga tu mkono mkewe aendelee na anachofanya. Dume bahati mbaya hili
 
Ally Bananga anababanganya huku "anabananga"!What a name!Anamtetea mkewe ili asipewe chai na matembele!🤣🤣🤣
 
Ahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Dume hili jinga kweli. Eti, maadamu familia inapata chochote yeye atasimama na mkewe kwa gharama ya damu yake. Kwani nani anaitaka hiyo damu yake?
labda mbu ndiyo wanataka damu yake.
 
Ameamka na hangover mlevi was the.don huyo
 
Sio sababu ya mkewe kuwa mbunge, Bananga ni akili kubwa.... anajua kuishi ndani ya itikadi bila kuathiri jamii
Bananga hanaga akili za kushikiliwa
Ni kweli kabisa, maana kipindi cha dhalimu aliwashikia ccm wote akili zao.

Nenda kwenye ule uzi wa Mbatia ukatoe maelezo ni kwa nini dhalimu alipandishwa deni la taifa na kuwa 71t+, toka 39t+ aliyokuta kwa JK. Ukifanikiwa kutoa maelezo nitajua hushikiwi akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…