Ally Bananga: Nina kiapo na mke wangu, nitamlinda kwa gharama ya damu yangu

Uzoefu unaonyesha ukianza kuona kiongozi wa cdm anaoongea lugha kama hizo za Bananga ujue yuko njiani kurejea ccm.
 
Kwahiyo hata kama mkewe akitoa ngono na kuwa mwizi anasimama naye? Jinga kubwa
 
Ndugu yangu Bananga, hatuzungumzii mke wa mtu hapa. Tuelewane hapo. Tunachozungumzia ni uhalali wa wanawake 19 wa CHADEMA kuwepo Bungeni visivyoeleweka. Sidhani hata wewe unaweza kutueleza vizuri tukakuelewa. Wabunge wote wametokana na vyama mbalimbali vya Siasa. Hawa hawakufuata taratibu za chama kuingia Bungeni. Hata mimi nafurahi wawepo Bungeni, tena wasemaji wazuri tu. Lakini uhalali wao ukoje Bananga.
 
Umesema vema: HAKUNA ALIYE ZAIDI YA KATIBA, hususan ya nchi yake
 
Jamani tuheshimu Wanawake, wametuzaa. Napendekeza mjadala wa Mrs Bananga ufungwe. Nina mashoka 5 hapa makamanda 5 waje upenu niwagee waende kukata tamaa,
 
Mkuu umeandiki nini!! Huna elezea hoja ya ku-support mada. Kwa ujumla mtoa mada ameshindwa kabisa kutetea au kujenga hoja yake. Je huyo mkeo ukimkuta chocho hutamuhoji anatafufuta nini huko chocho? Je unajua vitabu vyote vya DINI vinatambua neno TALAKA, kwa nini neno hilo Lipo? TAFAKALI SANA.
 
Dah Atafanyanini chengine na ndio yeye kawa mke sasa
 
Ndio maana yake. Kwa maana nyepesi ni kuwa, yupo CHADEMA kwa ajili ya UJIRA wa AJIRA ya mke wake na pindi AJIRA ikisitishwa naye anasitisha uwanachama wa chama chake.
 
Huu ndio uanaume
 
Chadema hawatambui uchaguzi wa 2020 hawachukui ruzuku wabunge wale 19 chadema haiwatambui washawafuza uanachama najiuliza wanaendelea kuwashupalia ili kiwe nini wakivuliwa ubunge je chadema watapeleka wabunge wengine au inakuaje apo?
 
Anashindwa tu kusema kajitoa chamani [emoji3][emoji3][emoji3]. Atimliwe kama alivyotimliwa mkewe.
 
Msameheni tu kwani Mama ndiye kashika hatamu kwa sasa.
 
Chadema muambiwe mara ngapi?
Huyu na Alibeto dugu moja
Huyu na wasaliti 19 dugu moja
Mnaendelea kumwamini
Atawaanika siku yaja
 
Ninatafakari zaidi uandishi wako. Si ulisomea nchi mwenzetu!
 
CCM ili upate viti maalumu unapitia mchakato wa kupigiwa kura. Walau kule kuna demikrasia.
Demokrasia inatoka wapi wakati msibani JK alikiri kuja na jina la marehemu mfukoni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…