Ally Bananga: Nina kiapo na mke wangu, nitamlinda kwa gharama ya damu yangu

Ni kweli mke kwanza Saccos baadae!
 
Tatizo Kubwa La chadema Ni Kuwakuza hawa watu baadae wanajiona Wakubwa kuliko Chama chao.Wakitemwa wanalia tena...Ushauri kwao Ni kwamba Waje CCM...sisi Wewe Bananga hutaruhusiwa kuongea au Kukiuka Miiko Ya chama chetu...Hata ANC Ukikiuka Miiko wanakula Kichwa Hata Republican ilipofika Muda wa Kusimama na Trump Ili wasiwape Ujiko Democratic walisimama na Trump...Misimamo ya Taasisi Haikiukwi hata Majeshini ukigeuka wakati wa Vita ni balaa kubwa.
 
Bananga anamawazo ya wanawake sana.. mwanaume hata siku moja huwezi anza kulia lia mbele ya mke wako
 
Hakuna anaemkataza kua na kiapo na familia yake , ubavu wake but ajue tu Kama mke wake ni Kati ya wale wasaliti wa chama 19 atatimuliwa tu no way na ndo ukweli..hakuna Katiba au kifungu ndani ya Katiba inasema utapewa favour KWA kuvunja Katiba ili Hali hu kiongozi ,na chama hakiongozwi kifamilia, hivi ni vitu tofauti ,unaona shida chapa mwendo
 
Na ndio maana wanapohamasisha maandamano huwa wanawahamasisha wengine tu kamwe hawabebi familia zao.
 
You have my support Ally. I never doubt your patriotic will.
 
Hapo kwenye red, kwamba ameapa atamlinda kwa gharama ya damu yake.
Moja ya kauli za kijinga toka kwa Wanaume!
 
Maza anapesa yeye hana
 
Maza anapesa yeye hana
Ni sawa na mkeo kwenda kutibua ugomvi huko, alafu akimbilie home wewe Mume wake upo na umkatae...

Pigana na maadui wa nje kwanza, ndipo upambane kumrekebisha mkeo...

Muulize Kim na Kanye, japo ni mfano wa nje, ila jua hata hapa Bongo wapo ...

NAKUBALIANA NA WEWE, MAZA ANA PESA YEYE HANA..

LAKINI TUJIFUNZE KUSIMAMA NA WAKE ZETU MBELE YA JAMII..TUWALINDE.

TUKIWA FARAGHA NDIO TUADHIBIANE
 
Akishalipwa mke wake zinasaidia familia. Mnataka asimame nanyi mnaitunza familia?

Kwa mwanaume makini hakustahili ajibie hoja zakikatiba kupitia mke wake.

Ameuza utu wake kwa maslahi ya wawili na si taifa.

SIKU NYINGINE ANYAMAZE TU.
Sasa analishwa afanyaje? Angejua huyo anayemsifia angekaa kimya tu. Anyway he is jobless kwa hiyo wacha ajitoe akili maana hana nafasi kwenye chama na udiwani hana sababu alitaka ubunge kwa tamaa zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…