Ally Choki alazwa Bugando, hali tete

Ally Choki alazwa Bugando, hali tete

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Yule Mwanamuziki maarufu wa Muziki wa Dansi aliyewahi kutamba na bendi za Twanga pepeta na Extra Bongo amelazwa kwenye hospitali ya Bugando , na imeelezwa kwamba hali yake hairidhishi.

Chanzo: Mwananchi

Ombi : tumsaidie apone .

"Nina mdodo wangu waangusha moja moja leo , Inama inuka eee , waangusha moja moja leo "
- mwananchiupdates.jpg
 
Back
Top Bottom