Ally Choki alazwa Bugando, hali tete

Ila kiukweli toka moyoni, ni Mungu tu anayetuepusha na haya mambo.
Nikifikiria chain ya huu ugonjwa basi unajiona kabisa umo ndani ya chain.
Kwa mimi kua na amani tu, nko fit.
Labda wengine uliopita nao.
 
Ni kweli kabisa maana mtu ukijecheki ulipopita na ulivyo mzima kwa sasa,ni Muumba tuu ndio anatuepusha aisee.
Unakuta eti mtu anamcheka aliyeugua hili gonjwa[emoji15] [emoji15] ....huwa nashangaa sana! Bora hata yy kajua atatubu ajiandae na safari mapeema! Mimi na wewe hatujui hata tutaondoka na nini! Achaa
 
Shida ya kino Unga wa Kulevya ni mwingi sana kuliko unga wa Ugali
Weekend nilikuwa kule studio kwa shost....tukaamua tuzurure kidogo, asee manyanya na B ni noma! Yaan wanaume wananeng'eneka tuu hadi huruma!

Hata mademu zao micharuko na kuropoka hovyoo no pozz!
 
POLE SANA KAKA,MWENYEZI MUNGU AKUPONYE HARAKA ILI UENDELEE NA MAJUKUMU YAKO.
 
Weekend nilikuwa kule studio kwa shost....tukaamua tuzurure kidogo, asee manyanya na B ni noma! Yaan wanaume wananeng'eneka tuu hadi huruma!

Hata mademu zao micharuko na kuropoka hovyoo no pozz!
We tutake radhi
 
Kwa mimi kua na amani tu, nko fit.
Labda wengine uliopita nao.
Nikifa mimi, wewe utakufa, wa Arusha atakufa, yule rafiki yako wa polisi Mwinjuma atakufa, yule rafiki yako wa Hananasif mume wa mzungu pia atakufa, yule shemeji yako wa kiume pale Nyamala nae atakufa.
So usicheke.
Omba tu Mungu.
Chain ndefu sana tumeitengeneza.
 
Na ni ngumu kuifuta!
 
Wote hao tulupiga dry chama kwani😪😪?
E Mungu tunusuru waja wako,
🙏
 
Mie kwangu imekatika maana baada ya pale mara kibao tu nei nei ha ha ha ha ha so npo vzr. Ila yule uliefumwa nae mune wa mzungu labda maana sio siku nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…