==
Wakati anahutubia Wananchi wa Jimbo la Msalala, Katibu Mkuu wa Umoja wa wazazi jumuiya ya CCM Taifa Ally Hapi alieleza kuwa kuna kipindi Mbowe alitaka kulipua vituo vya mafuta lakini Rais Samia alimsamehe.
Hapi alidokeza kuwa Mbowe alikuwa na nia ovu ya kuleta taharuki nchini kwa kutaka kulipua vituo vya mafuta, mpango ambao ulipeleka kiongozi huyo kukamatwa na kukaa rumande kwa muda, kabla ya Rais kumsamehe na kuacha awe huru.
"Freeman Mbowe alikuwa na kesi ngumu sana ya kutengeneza machafuko kutaka kulipua vituo vya mafuta wananchi wafe. Mashtaka yale yakafutwa, Mbowe akarudi uraiani na wenzao wengine wakarudi uraiani. Rais Samia kwa upendo wake akasema hawa ni watoto wangu. Hebu waacheni warudi uraiani wakafanye siasa. Pamoja na wema wote aliowafanyia huo, leo shukrani ya punda ni mateke"
Ikumbukwe kuwa Freeman alikamatwa na Jeshi la Polis Jijini Mwanza mwaka Julai 2022 alipokuwa akiandaa kongamano la kushinikiza mabadiliko ya katiba mpya nchini humo ambapo mara baada ya kukamatwa alikabiliwa na mashtaka ya ugaidi ikiwemo mauaji ya viongozi.
Ukikosa hoja siku zote unaongea uharo
Kama vipi agalagale na yeye mama amuone
Mana chawa mwijaku kagundua mbinu mpya ya uchawa ndo mana yule waziri mdada aso na haya naye kamuiga mwijaku
Surat An-Nur (24:15-16) inasema: "Mnapoisema kwa ndimi zenu, na mkaikariri kwa vinywa vyenu kitu msichokijua, na mnakidhania kuwa ni jambo dogo, kumbe mbele ya Mwenyezi Mungu ni kubwa."Aya hii inaelezea hatari ya kuzungumza mambo ambayo mtu hana hakika nayo au hakuona mwenyewe, kwa kuwa inaweza kusababisha dhambi kubwa mbele ya Mwenyezi Mungu. Inaonya dhidi ya kufikiri kwamba kusema jambo bila uhakika ni jambo dogo, kwani linaweza kuwa na madhara makubwa.
Surat Al-Hujurat (49:6) inasema: "Enyi mlioamini! Ikiwa mtu fasiki atakuleteeni habari, basi hakikisheni kwanza, msije mkawaumiza watu kwa ujahili na mkajuta kwa mliyoyatenda."Aya hii inafundisha umuhimu wa kuchunguza habari kabla ya kuzisambaza au kuzifanyia kazi. Mtu hapaswi kueneza habari ambazo hazina ushahidi au uhakika, kwani inaweza kusababisha madhara kwa wengine, jambo ambalo baadaye linaweza kuleta majuto.
Wananchi wa Jimbo la Msalala katika Halmashauri ya wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga walihudhuria mkutano wa Katibu Mkuu wa Umoja wa wazazi jumuiya ya CCM Taifa Ally Hapi ambapo alieleza kuwa Mbowe alitaka kulipua vituo vya mafuta lakini Rais Samia alimsamehe.
Hapi aliambatana na viongozi mbalimbali wa jumuiya wamefanya mambo kadhaa ikiwemo kuzungumza na wanachama wa CCM waliojitokeza kumpokea katika ofisi za chama kata ya Isaka, kutembea tawi namba mbili kijiji cha Jana kata ya Jana.
Hapi alikagua na kutoa maelekezo katika mradi wa shule ya sekondari Jana ambayo imenufaika na fedha za serikali kwa kujengewa madarasa matano na matundu 8 ya vyoo, ambapo Hapi amekutana na changamoto ya kukwama kwa ujenzi wa Bweni la wasichana ambalo ujenzi wake umefikia zaidi ya asilimia 70 ujenzi uliotumia nguvu za wananchi na wadau huku akiagiza Halmashauri kutenga bajeti ili kukamilisha ujenzi huo kwaajili ya kuwanusuru wananchi na adha zinazowakumba wakiwa nje ya shule na kupelekea kushindwa kumaliza masomo.
Na baadae Hapi alihitimisha ziara katika jimbo hilo kwa kuzungumza na wananchi katika mkutano mkubwa wa Hadhara uliofanyika kata hiyo ambapo maelfu ya wananchi walimpokea na kumsikiliza, miongoni mwa mambo aliyoyazungumza ni pamoja na serikali ilivyojipanga kutekeleza miradi na kuwaletea maendeleo katika kila sekta, ikiwa na kuhamasisha wananchi kushiriki katika shughuli za maendeleo.
Surat An-Nur (24:15-16) inasema: "Mnapoisema kwa ndimi zenu, na mkaikariri kwa vinywa vyenu kitu msichokijua, na mnakidhania kuwa ni jambo dogo, kumbe mbele ya Mwenyezi Mungu ni kubwa."Aya hii inaelezea hatari ya kuzungumza mambo ambayo mtu hana hakika nayo au hakuona mwenyewe, kwa kuwa inaweza kusababisha dhambi kubwa mbele ya Mwenyezi Mungu. Inaonya dhidi ya kufikiri kwamba kusema jambo bila uhakika ni jambo dogo, kwani linaweza kuwa na madhara makubwa.
Surat Al-Hujurat (49:6) inasema: "Enyi mlioamini! Ikiwa mtu fasiki atakuleteeni habari, basi hakikisheni kwanza, msije mkawaumiza watu kwa ujahili na mkajuta kwa mliyoyatenda."Aya hii inafundisha umuhimu wa kuchunguza habari kabla ya kuzisambaza au kuzifanyia kazi. Mtu hapaswi kueneza habari ambazo hazina ushahidi au uhakika, kwani inaweza kusababisha madhara kwa wengine, jambo ambalo baadaye linaweza kuleta majuto.
Huyu alikuwa analima sijui nyanya , kila siku kujiposti mama akamkumbuka ! Sasa kaona alichopewa sicho anaongeza majonjonjo ili apande cheo zaidi ! Wee Hapi achana na mwamba ! huyo si saizi yako !
==
Wananchi wa Jimbo la Msalala katika Halmashauri ya wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga walihudhuria mkutano wa Katibu Mkuu wa Umoja wa wazazi jumuiya ya CCM Taifa Ally Hapi ambapo alieleza kuwa Mbowe alitaka kulipua vituo vya mafuta lakini Rais Samia alimsamehe.
Hapi aliambatana na viongozi mbalimbali wa jumuiya wamefanya mambo kadhaa ikiwemo kuzungumza na wanachama wa CCM waliojitokeza kumpokea katika ofisi za chama kata ya Isaka, kutembea tawi namba mbili kijiji cha Jana kata ya Jana.
Hapi alikagua na kutoa maelekezo katika mradi wa shule ya sekondari Jana ambayo imenufaika na fedha za serikali kwa kujengewa madarasa matano na matundu 8 ya vyoo, ambapo Hapi amekutana na changamoto ya kukwama kwa ujenzi wa Bweni la wasichana ambalo ujenzi wake umefikia zaidi ya asilimia 70 ujenzi uliotumia nguvu za wananchi na wadau huku akiagiza Halmashauri kutenga bajeti ili kukamilisha ujenzi huo kwaajili ya kuwanusuru wananchi na adha zinazowakumba wakiwa nje ya shule na kupelekea kushindwa kumaliza masomo.
Na baadae Hapi alihitimisha ziara katika jimbo hilo kwa kuzungumza na wananchi katika mkutano mkubwa wa Hadhara uliofanyika kata hiyo ambapo maelfu ya wananchi walimpokea na kumsikiliza, miongoni mwa mambo aliyoyazungumza ni pamoja na serikali ilivyojipanga kutekeleza miradi na kuwaletea maendeleo katika kila sekta, ikiwa na kuhamasisha wananchi kushiriki katika shughuli za maendeleo.
==
Wananchi wa Jimbo la Msalala katika Halmashauri ya wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga walihudhuria mkutano wa Katibu Mkuu wa Umoja wa wazazi jumuiya ya CCM Taifa Ally Hapi ambapo alieleza kuwa Mbowe alitaka kulipua vituo vya mafuta lakini Rais Samia alimsamehe.
Hapi aliambatana na viongozi mbalimbali wa jumuiya wamefanya mambo kadhaa ikiwemo kuzungumza na wanachama wa CCM waliojitokeza kumpokea katika ofisi za chama kata ya Isaka, kutembea tawi namba mbili kijiji cha Jana kata ya Jana.
Hapi alikagua na kutoa maelekezo katika mradi wa shule ya sekondari Jana ambayo imenufaika na fedha za serikali kwa kujengewa madarasa matano na matundu 8 ya vyoo, ambapo Hapi amekutana na changamoto ya kukwama kwa ujenzi wa Bweni la wasichana ambalo ujenzi wake umefikia zaidi ya asilimia 70 ujenzi uliotumia nguvu za wananchi na wadau huku akiagiza Halmashauri kutenga bajeti ili kukamilisha ujenzi huo kwaajili ya kuwanusuru wananchi na adha zinazowakumba wakiwa nje ya shule na kupelekea kushindwa kumaliza masomo.
Na baadae Hapi alihitimisha ziara katika jimbo hilo kwa kuzungumza na wananchi katika mkutano mkubwa wa Hadhara uliofanyika kata hiyo ambapo maelfu ya wananchi walimpokea na kumsikiliza, miongoni mwa mambo aliyoyazungumza ni pamoja na serikali ilivyojipanga kutekeleza miradi na kuwaletea maendeleo katika kila sekta, ikiwa na kuhamasisha wananchi kushiriki katika shughuli za maendeleo.
==
Wakati anahutubia Wananchi wa Jimbo la Msalala, Katibu Mkuu wa Umoja wa wazazi jumuiya ya CCM Taifa Ally Hapi alieleza kuwa kuna kipindi Mbowe alitaka kulipua vituo vya mafuta lakini Rais Samia alimsamehe.
Hapi alidokeza kuwa Mbowe alikuwa na nia ovu ya kuleta taharuki nchini kwa kutaka kulipua vituo vya mafuta, mpango ambao ulipeleka kiongozi huyo kukamatwa na kukaa rumande kwa muda, kabla ya Rais kumsamehe na kuacha awe huru.
"Freeman Mbowe alikuwa na kesi ngumu sana ya kutengeneza machafuko kutaka kulipua vituo vya mafuta wananchi wafe. Mashtaka yale yakafutwa, Mbowe akarudi uraiani na wenzao wengine wakarudi uraiani. Rais Samia kwa upendo wake akasema hawa ni watoto wangu. Hebu waacheni warudi uraiani wakafanye siasa. Pamoja na wema wote aliowafanyia huo, leo shukrani ya punda ni mateke"
Ikumbukwe kuwa Freeman alikamatwa na Jeshi la Polis Jijini Mwanza mwaka Julai 2022 alipokuwa akiandaa kongamano la kushinikiza mabadiliko ya katiba mpya nchini humo ambapo mara baada ya kukamatwa alikabiliwa na mashtaka ya ugaidi ikiwemo mauaji ya viongozi.