Pre GE2025 Ally Hapi: Mbowe alitaka kulipua vituo vya mafuta aue wananchi, pamoja na kusamehewa bado wanaeneza uchochezi, hawafai kuongoza nchi

Pre GE2025 Ally Hapi: Mbowe alitaka kulipua vituo vya mafuta aue wananchi, pamoja na kusamehewa bado wanaeneza uchochezi, hawafai kuongoza nchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Pilipili za mwendokasi zimekula medula yake.!
 
Wakuu,

==
Wakati anahutubia Wananchi wa Jimbo la Msalala, Katibu Mkuu wa Umoja wa wazazi jumuiya ya CCM Taifa Ally Hapi alieleza kuwa kuna kipindi Mbowe alitaka kulipua vituo vya mafuta lakini Rais Samia alimsamehe.

Hapi alidokeza kuwa Mbowe alikuwa na nia ovu ya kuleta taharuki nchini kwa kutaka kulipua vituo vya mafuta, mpango ambao ulipeleka kiongozi huyo kukamatwa na kukaa rumande kwa muda, kabla ya Rais kumsamehe na kuacha awe huru.

"Freeman Mbowe alikuwa na kesi ngumu sana ya kutengeneza machafuko kutaka kulipua vituo vya mafuta wananchi wafe. Mashtaka yale yakafutwa, Mbowe akarudi uraiani na wenzao wengine wakarudi uraiani. Rais Samia kwa upendo wake akasema hawa ni watoto wangu. Hebu waacheni warudi uraiani wakafanye siasa. Pamoja na wema wote aliowafanyia huo, leo shukrani ya punda ni mateke"

Ikumbukwe kuwa Freeman alikamatwa na Jeshi la Polis Jijini Mwanza mwaka Julai 2022 alipokuwa akiandaa kongamano la kushinikiza mabadiliko ya katiba mpya nchini humo ambapo mara baada ya kukamatwa alikabiliwa na mashtaka ya ugaidi ikiwemo mauaji ya viongozi.

Hao maccm Kwa kuwa wana-polisi, Kwa hiyo wanajua wanaweza wakambambikia kesi ya aina yoyote Ile raia asiye na hatia.

Hivi kweli Kuna mtanzania yeyote anaweza kuziamini propaganda za hao maccm kuwa Mbowe alitaka kuvilipua vituo vya mafuta hapa nchini??😳
 
Wakuu,

==
Wakati anahutubia Wananchi wa Jimbo la Msalala, Katibu Mkuu wa Umoja wa wazazi jumuiya ya CCM Taifa Ally Hapi alieleza kuwa kuna kipindi Mbowe alitaka kulipua vituo vya mafuta lakini Rais Samia alimsamehe.

Hapi alidokeza kuwa Mbowe alikuwa na nia ovu ya kuleta taharuki nchini kwa kutaka kulipua vituo vya mafuta, mpango ambao ulipeleka kiongozi huyo kukamatwa na kukaa rumande kwa muda, kabla ya Rais kumsamehe na kuacha awe huru.

"Freeman Mbowe alikuwa na kesi ngumu sana ya kutengeneza machafuko kutaka kulipua vituo vya mafuta wananchi wafe. Mashtaka yale yakafutwa, Mbowe akarudi uraiani na wenzao wengine wakarudi uraiani. Rais Samia kwa upendo wake akasema hawa ni watoto wangu. Hebu waacheni warudi uraiani wakafanye siasa. Pamoja na wema wote aliowafanyia huo, leo shukrani ya punda ni mateke"

Ikumbukwe kuwa Freeman alikamatwa na Jeshi la Polis Jijini Mwanza mwaka Julai 2022 alipokuwa akiandaa kongamano la kushinikiza mabadiliko ya katiba mpya nchini humo ambapo mara baada ya kukamatwa alikabiliwa na mashtaka ya ugaidi ikiwemo mauaji ya viongozi.

kwani huyo alluy happy hakumbuki alikotoka eti ee

Kwa hiyo alitolewa kwa kuombwa na mbowe au kesi ilikuwa haina mashiko
 
Alli Happy ni kati ya watu wapumbavu ambao wanaamini kila mtu anaishi kwa hisani ya Rais
 
Hao maccm Kwa kuwa wana-polisi, Kwa hiyo wanajua wanaweza wakambambikia kesi ya aina yoyote Ile raia asiye na hatia.

Hivi kweli Kuna mtanzania yeyote anaweza kuziamini propaganda za hao maccm kuwa Mbowe alitaka kuvilipua vituo vya mafuta hapa nchini??😳
Polisi ya hovyo kuwahi kutokea inatumika na CCM
 
Mapambio yakiisha huwa wanaanza kuchafua hali ya hewa! Akili za ajabu kweli!
 
Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi Jumuiya ya CCM - Taifa, Ally Hapi, ameeleza kusikitishwa na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kukosa shukrani kwa madai ya kuwa pamoja na mambo mazuri yote waliyofanyiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan lakini wameishia kumtukana.

Akihutubia Wananchi wa Jimbo la Msalala katika Halmashauri ya Wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga, Hapi amesema “Shukrani ya punda ni mateke, wameanza kuzungumza wanatukana na kuleta uchochezi wanataka kutugawa na kuleta machafuko, Rais amewafanyia wema mkubwa, mikutano wamepewa, ruzuku wamepewa, maandamano ruksa, magereza wametolewa, hawana shukrani, nataka niwahakikishie tusikubali amani tuliyonayo tukaichezea”

 
Wakuu,

==
Wakati anahutubia Wananchi wa Jimbo la Msalala, Katibu Mkuu wa Umoja wa wazazi jumuiya ya CCM Taifa Ally Hapi alieleza kuwa kuna kipindi Mbowe alitaka kulipua vituo vya mafuta lakini Rais Samia alimsamehe.

Hapi alidokeza kuwa Mbowe alikuwa na nia ovu ya kuleta taharuki nchini kwa kutaka kulipua vituo vya mafuta, mpango ambao ulipeleka kiongozi huyo kukamatwa na kukaa rumande kwa muda, kabla ya Rais kumsamehe na kuacha awe huru.

"Freeman Mbowe alikuwa na kesi ngumu sana ya kutengeneza machafuko kutaka kulipua vituo vya mafuta wananchi wafe. Mashtaka yale yakafutwa, Mbowe akarudi uraiani na wenzao wengine wakarudi uraiani. Rais Samia kwa upendo wake akasema hawa ni watoto wangu. Hebu waacheni warudi uraiani wakafanye siasa. Pamoja na wema wote aliowafanyia huo, leo shukrani ya punda ni mateke"

Ikumbukwe kuwa Freeman alikamatwa na Jeshi la Polis Jijini Mwanza mwaka Julai 2022 alipokuwa akiandaa kongamano la kushinikiza mabadiliko ya katiba mpya nchini humo ambapo mara baada ya kukamatwa alikabiliwa na mashtaka ya ugaidi ikiwemo mauaji ya viongozi.

CHADEMA NI WAHUNI TU KAMA WALIVYO WAHUN IWENGINE
 
Back
Top Bottom