Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
Wakuu,
==
Wakati anahutubia Wananchi wa Jimbo la Msalala, Katibu Mkuu wa Umoja wa wazazi jumuiya ya CCM Taifa Ally Hapi alieleza kuwa kuna kipindi Mbowe alitaka kulipua vituo vya mafuta lakini Rais Samia alimsamehe.
Hapi alidokeza kuwa Mbowe alikuwa na nia ovu ya kuleta taharuki nchini kwa kutaka kulipua vituo vya mafuta, mpango ambao ulipeleka kiongozi huyo kukamatwa na kukaa rumande kwa muda, kabla ya Rais kumsamehe na kuacha awe huru.
"Freeman Mbowe alikuwa na kesi ngumu sana ya kutengeneza machafuko kutaka kulipua vituo vya mafuta wananchi wafe. Mashtaka yale yakafutwa, Mbowe akarudi uraiani na wenzao wengine wakarudi uraiani. Rais Samia kwa upendo wake akasema hawa ni watoto wangu. Hebu waacheni warudi uraiani wakafanye siasa. Pamoja na wema wote aliowafanyia huo, leo shukrani ya punda ni mateke"
Ikumbukwe kuwa Freeman alikamatwa na Jeshi la Polis Jijini Mwanza mwaka Julai 2022 alipokuwa akiandaa kongamano la kushinikiza mabadiliko ya katiba mpya nchini humo ambapo mara baada ya kukamatwa alikabiliwa na mashtaka ya ugaidi ikiwemo mauaji ya viongozi.
Hivi kumbe na ally hapo akili zake zimeishia hapa?Wakuu,
==
Wakati anahutubia Wananchi wa Jimbo la Msalala, Katibu Mkuu wa Umoja wa wazazi jumuiya ya CCM Taifa Ally Hapi alieleza kuwa kuna kipindi Mbowe alitaka kulipua vituo vya mafuta lakini Rais Samia alimsamehe.
H
mambo ya dini ya mini haha.Surat An-Nur (24:15-16) inasema: "Mnapoisema kwa ndimi zenu, na mkaikariri kwa vinywa vyenu kitu msichokijua, na mnakidhania kuwa ni jambo dogo, kumbe mbele ya Mwenyezi Mungu ni kubwa."Aya hii inaelezea hatari ya kuzungumza mambo ambayo mtu hana hakika nayo au hakuona mwenyewe, kwa kuwa inaweza kusababisha dhambi kubwa mbele ya Mwenyezi Mungu. Inaonya dhidi ya kufikiri kwamba kusema jambo bila uhakika ni jambo dogo, kwani linaweza kuwa na madhara makubwa.
Surat Al-Hujurat (49:6) inasema: "Enyi mlioamini! Ikiwa mtu fasiki atakuleteeni habari, basi hakikisheni kwanza, msije mkawaumiza watu kwa ujahili na mkajuta kwa mliyoyatenda."Aya hii inafundisha umuhimu wa kuchunguza habari kabla ya kuzisambaza au kuzifanyia kazi. Mtu hapaswi kueneza habari ambazo hazina ushahidi au uhakika, kwani inaweza kusababisha madhara kwa wengine, jambo ambalo baadaye linaweza kuleta majuto.
Sasa ukibank Kwa mtu kama huyu kijana kuwa katibu wa taasisi kubwa kama hii unategemea kitu gani hasa. that's why we are doomedHaki nimecheka, yaani siasa za tanzania, tuna safari ndefu sana. Sijuhi kama nchi watu wetu watakombolewaje kifikira.
Haka kajamaa ni kapimbi sana asee yeye na yule kawaida ccm iliwezaje kuwapa vyeo watu wa ovyo vileWakuu,
==
Wakati anahutubia Wananchi wa Jimbo la Msalala, Katibu Mkuu wa Umoja wa wazazi jumuiya ya CCM Taifa Ally Hapi alieleza kuwa kuna kipindi Mbowe alitaka kulipua vituo vya mafuta lakini Rais Samia alimsamehe.
Hapi alidokeza kuwa Mbowe alikuwa na nia ovu ya kuleta taharuki nchini kwa kutaka kulipua vituo vya mafuta, mpango ambao ulipeleka kiongozi huyo kukamatwa na kukaa rumande kwa muda, kabla ya Rais kumsamehe na kuacha awe huru.
"Freeman Mbowe alikuwa na kesi ngumu sana ya kutengeneza machafuko kutaka kulipua vituo vya mafuta wananchi wafe. Mashtaka yale yakafutwa, Mbowe akarudi uraiani na wenzao wengine wakarudi uraiani. Rais Samia kwa upendo wake akasema hawa ni watoto wangu. Hebu waacheni warudi uraiani wakafanye siasa. Pamoja na wema wote aliowafanyia huo, leo shukrani ya punda ni mateke"
Ikumbukwe kuwa Freeman alikamatwa na Jeshi la Polis Jijini Mwanza mwaka Julai 2022 alipokuwa akiandaa kongamano la kushinikiza mabadiliko ya katiba mpya nchini humo ambapo mara baada ya kukamatwa alikabiliwa na mashtaka ya ugaidi ikiwemo mauaji ya viongozi.
Wakuu,
==
Wakati anahutubia Wananchi wa Jimbo la Msalala, Katibu Mkuu wa Umoja wa wazazi jumuiya ya CCM Taifa Ally Hapi alieleza kuwa kuna kipindi Mbowe alitaka kulipua vituo vya mafuta lakini Rais Samia alimsamehe.
Hapi alidokeza kuwa Mbowe alikuwa na nia ovu ya kuleta taharuki nchini kwa kutaka kulipua vituo vya mafuta, mpango ambao ulipeleka kiongozi huyo kukamatwa na kukaa rumande kwa muda, kabla ya Rais kumsamehe na kuacha awe huru.
"Freeman Mbowe alikuwa na kesi ngumu sana ya kutengeneza machafuko kutaka kulipua vituo vya mafuta wananchi wafe. Mashtaka yale yakafutwa, Mbowe akarudi uraiani na wenzao wengine wakarudi uraiani. Rais Samia kwa upendo wake akasema hawa ni watoto wangu. Hebu waacheni warudi uraiani wakafanye siasa. Pamoja na wema wote aliowafanyia huo, leo shukrani ya punda ni mateke"
Ikumbukwe kuwa Freeman alikamatwa na Jeshi la Polis Jijini Mwanza mwaka Julai 2022 alipokuwa akiandaa kongamano la kushinikiza mabadiliko ya katiba mpya nchini humo ambapo mara baada ya kukamatwa alikabiliwa na mashtaka ya ugaidi ikiwemo mauaji ya viongozi.
Wakuu,
==
Wakati anahutubia Wananchi wa Jimbo la Msalala, Katibu Mkuu wa Umoja wa wazazi jumuiya ya CCM Taifa Ally Hapi alieleza kuwa kuna kipindi Mbowe alitaka kulipua vituo vya mafuta lakini Rais Samia alimsamehe.
Hapi alidokeza kuwa Mbowe alikuwa na nia ovu ya kuleta taharuki nchini kwa kutaka kulipua vituo vya mafuta, mpango ambao ulipeleka kiongozi huyo kukamatwa na kukaa rumande kwa muda, kabla ya Rais kumsamehe na kuacha awe huru.
"Freeman Mbowe alikuwa na kesi ngumu sana ya kutengeneza machafuko kutaka kulipua vituo vya mafuta wananchi wafe. Mashtaka yale yakafutwa, Mbowe akarudi uraiani na wenzao wengine wakarudi uraiani. Rais Samia kwa upendo wake akasema hawa ni watoto wangu. Hebu waacheni warudi uraiani wakafanye siasa. Pamoja na wema wote aliowafanyia huo, leo shukrani ya punda ni mateke"
Ikumbukwe kuwa Freeman alikamatwa na Jeshi la Polis Jijini Mwanza mwaka Julai 2022 alipokuwa akiandaa kongamano la kushinikiza mabadiliko ya katiba mpya nchini humo ambapo mara baada ya kukamatwa alikabiliwa na mashtaka ya ugaidi ikiwemo mauaji ya viongozi.
Inabidi uwapandishe mahakamani akishindwa kulipa unamwambia atoe blow job live, anachagua jela au blow job, hapo watakoma. Kama yule mnuka damu MusibaHakuna sababu ya kumshitaki huyu chizi
aisee inatia kinyaa mtoto wakiume kuongea uongo wa hv, napenda mtu anaongea kwa data analysed evidence, siasa za hovyo sana hzWakuu,
==
Wakati anahutubia Wananchi wa Jimbo la Msalala, Katibu Mkuu wa Umoja wa wazazi jumuiya ya CCM Taifa Ally Hapi alieleza kuwa kuna kipindi Mbowe alitaka kulipua vituo vya mafuta lakini Rais Samia alimsamehe.
Hapi alidokeza kuwa Mbowe alikuwa na nia ovu ya kuleta taharuki nchini kwa kutaka kulipua vituo vya mafuta, mpango ambao ulipeleka kiongozi huyo kukamatwa na kukaa rumande kwa muda, kabla ya Rais kumsamehe na kuacha awe huru.
"Freeman Mbowe alikuwa na kesi ngumu sana ya kutengeneza machafuko kutaka kulipua vituo vya mafuta wananchi wafe. Mashtaka yale yakafutwa, Mbowe akarudi uraiani na wenzao wengine wakarudi uraiani. Rais Samia kwa upendo wake akasema hawa ni watoto wangu. Hebu waacheni warudi uraiani wakafanye siasa. Pamoja na wema wote aliowafanyia huo, leo shukrani ya punda ni mateke"
Ikumbukwe kuwa Freeman alikamatwa na Jeshi la Polis Jijini Mwanza mwaka Julai 2022 alipokuwa akiandaa kongamano la kushinikiza mabadiliko ya katiba mpya nchini humo ambapo mara baada ya kukamatwa alikabiliwa na mashtaka ya ugaidi ikiwemo mauaji ya viongozi.
Mini?mambo ya dini ya mini haha.
Hatari snInabidi uwapandishe mahakamani akishindwa kulipa unamwambia atoe blow job live, anachagua jela au blow job, hapo watakoma. Kama yule mnuka damu Musiba
Adanganye hao hao wa huko msalala sisi huku mbeya tutamrushia CHUPA za plastic zenye maji.Wakuu,
==
Wakati anahutubia Wananchi wa Jimbo la Msalala, Katibu Mkuu wa Umoja wa wazazi jumuiya ya CCM Taifa Ally Hapi alieleza kuwa kuna kipindi Mbowe alitaka kulipua vituo vya mafuta lakini Rais Samia alimsamehe.
Hapi alidokeza kuwa Mbowe alikuwa na nia ovu ya kuleta taharuki nchini kwa kutaka kulipua vituo vya mafuta, mpango ambao ulipeleka kiongozi huyo kukamatwa na kukaa rumande kwa muda, kabla ya Rais kumsamehe na kuacha awe huru.
"Freeman Mbowe alikuwa na kesi ngumu sana ya kutengeneza machafuko kutaka kulipua vituo vya mafuta wananchi wafe. Mashtaka yale yakafutwa, Mbowe akarudi uraiani na wenzao wengine wakarudi uraiani. Rais Samia kwa upendo wake akasema hawa ni watoto wangu. Hebu waacheni warudi uraiani wakafanye siasa. Pamoja na wema wote aliowafanyia huo, leo shukrani ya punda ni mateke"
Ikumbukwe kuwa Freeman alikamatwa na Jeshi la Polis Jijini Mwanza mwaka Julai 2022 alipokuwa akiandaa kongamano la kushinikiza mabadiliko ya katiba mpya nchini humo ambapo mara baada ya kukamatwa alikabiliwa na mashtaka ya ugaidi ikiwemo mauaji ya viongozi.
Freeman Mbowe, hela hizo hapo...Wakuu,
==
Wakati anahutubia Wananchi wa Jimbo la Msalala, Katibu Mkuu wa Umoja wa wazazi jumuiya ya CCM Taifa Ally Hapi alieleza kuwa kuna kipindi Mbowe alitaka kulipua vituo vya mafuta lakini Rais Samia alimsamehe.
Hapi alidokeza kuwa Mbowe alikuwa na nia ovu ya kuleta taharuki nchini kwa kutaka kulipua vituo vya mafuta, mpango ambao ulipeleka kiongozi huyo kukamatwa na kukaa rumande kwa muda, kabla ya Rais kumsamehe na kuacha awe huru.
"Freeman Mbowe alikuwa na kesi ngumu sana ya kutengeneza machafuko kutaka kulipua vituo vya mafuta wananchi wafe. Mashtaka yale yakafutwa, Mbowe akarudi uraiani na wenzao wengine wakarudi uraiani. Rais Samia kwa upendo wake akasema hawa ni watoto wangu. Hebu waacheni warudi uraiani wakafanye siasa. Pamoja na wema wote aliowafanyia huo, leo shukrani ya punda ni mateke"
Ikumbukwe kuwa Freeman alikamatwa na Jeshi la Polis Jijini Mwanza mwaka Julai 2022 alipokuwa akiandaa kongamano la kushinikiza mabadiliko ya katiba mpya nchini humo ambapo mara baada ya kukamatwa alikabiliwa na mashtaka ya ugaidi ikiwemo mauaji ya viongozi.
Ila kuna watu wanaongeaga uwongo hata aibu hawaoni kabisa. Magaidi si yale yanayopambana na Israel na CIA?Wakuu,
==
Wakati anahutubia Wananchi wa Jimbo la Msalala, Katibu Mkuu wa Umoja wa wazazi jumuiya ya CCM Taifa Ally Hapi alieleza kuwa kuna kipindi Mbowe alitaka kulipua vituo vya mafuta lakini Rais Samia alimsamehe.
Hapi alidokeza kuwa Mbowe alikuwa na nia ovu ya kuleta taharuki nchini kwa kutaka kulipua vituo vya mafuta, mpango ambao ulipeleka kiongozi huyo kukamatwa na kukaa rumande kwa muda, kabla ya Rais kumsamehe na kuacha awe huru.
"Freeman Mbowe alikuwa na kesi ngumu sana ya kutengeneza machafuko kutaka kulipua vituo vya mafuta wananchi wafe. Mashtaka yale yakafutwa, Mbowe akarudi uraiani na wenzao wengine wakarudi uraiani. Rais Samia kwa upendo wake akasema hawa ni watoto wangu. Hebu waacheni warudi uraiani wakafanye siasa. Pamoja na wema wote aliowafanyia huo, leo shukrani ya punda ni mateke"
Ikumbukwe kuwa Freeman alikamatwa na Jeshi la Polis Jijini Mwanza mwaka Julai 2022 alipokuwa akiandaa kongamano la kushinikiza mabadiliko ya katiba mpya nchini humo ambapo mara baada ya kukamatwa alikabiliwa na mashtaka ya ugaidi ikiwemo mauaji ya viongozi.
This is typically defamation, MBOWE amfungulie mashitaka, asikae kimyaWakuu,
==
Wakati anahutubia Wananchi wa Jimbo la Msalala, Katibu Mkuu wa Umoja wa wazazi jumuiya ya CCM Taifa Ally Hapi alieleza kuwa kuna kipindi Mbowe alitaka kulipua vituo vya mafuta lakini Rais Samia alimsamehe.
Hapi alidokeza kuwa Mbowe alikuwa na nia ovu ya kuleta taharuki nchini kwa kutaka kulipua vituo vya mafuta, mpango ambao ulipeleka kiongozi huyo kukamatwa na kukaa rumande kwa muda, kabla ya Rais kumsamehe na kuacha awe huru.
"Freeman Mbowe alikuwa na kesi ngumu sana ya kutengeneza machafuko kutaka kulipua vituo vya mafuta wananchi wafe. Mashtaka yale yakafutwa, Mbowe akarudi uraiani na wenzao wengine wakarudi uraiani. Rais Samia kwa upendo wake akasema hawa ni watoto wangu. Hebu waacheni warudi uraiani wakafanye siasa. Pamoja na wema wote aliowafanyia huo, leo shukrani ya punda ni mateke"
Ikumbukwe kuwa Freeman alikamatwa na Jeshi la Polis Jijini Mwanza mwaka Julai 2022 alipokuwa akiandaa kongamano la kushinikiza mabadiliko ya katiba mpya nchini humo ambapo mara baada ya kukamatwa alikabiliwa na mashtaka ya ugaidi ikiwemo mauaji ya viongozi.