Pre GE2025 Ally Hapi: Mbowe alitaka kulipua vituo vya mafuta aue wananchi, pamoja na kusamehewa bado wanaeneza uchochezi, hawafai kuongoza nchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Viongozi TULIONAO HAWAFAI,YAANI WANA USHAIDI ALAFU WANA MSAMEHE MTU WA NAMNA HIYO?
MIMI NIMEMUELEWA HAPPY KWAMBA NA YEYE HAWAHITAJI HAWA VIONGOZI TULIO WAKABIDHI MAMLAKA,HAWAWEZI NA HAWANA UWEZO labda WENYE UWEZO NI HAO WALIO SAMEHEWA.
 
Watu kama Hawa bora wasingezaliwa! Wanatia taifa letu aibu sana! Shit!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…