Anayekataa mtoto ni mtu mshenzi mno. Hakuna justification yoyote ile ya kukimbia damu yako. Ila hiyo ya kupika chapati rost haina kabisa jinsia. Hapo karopoka
Dr mbona fresh tu ratiba zikibana nanunua msosi nikiwa free napika, jpili asubuhi na mapema nafanya usafi wa kutosha nafua then naenda ibadani mchana nakunja nguo zangu naenda maeneo kupoa huku napata vinywaji