Ally Kamwe arudishwa kwenye nafasi yake kama kawaida

Ally Kamwe arudishwa kwenye nafasi yake kama kawaida

Kesho Manara lazima aende Likoni, Mombasa, akipitia kwanza kwa Msisi na Pangani, yaani yatapigwa Makopela na vipande, na majini ambayo yataongea kupitia nafsi ya Ally Kamwe, yaani yeye anakuwa hajijui kama anaongea au anaandika barua ya kuacha kazi, yakishamtoka, ndio anastuka aaaahhh!!
 
Rais wa Yanga Eng. Hersi na Makamu wake Arafat Haji wamefanikiwa kumrejesha kazini Ally Kamwe kwenye nafasi yake ya Meneja Habari na Mawasiliano na Tayari amesaini Mkataba Mpya wa miaka miwili ndani ya Klabu hiyo.

Kamwe alieleza changamoto zake kwa viongozi zilizompelekea kuchukua uamuzi wa kujiuzulu mbele ya Uongozi na kwa maslahi ya pande zote mbili wamekubaliana kuzifanyia kazi.

View attachment 3055957
Changamoto zilizokuwepo ni zipi
 
Manara tunampongeza kwa kumaliza kifungo ila nafasi yake imejazwa vema sana ajitafute kinamna nyingine
 
Back
Top Bottom