Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atutolee ManaraHongera Rais Eng Hersi kwa kuheshimu sauti za wanayanga.
"Haji usije ...", waliongeza mashabiki hao"...Ally usituache Kamwe..." walisikika mashabiki wa Yanga
Manara huyuhuyu aliyesema Yanga wenye akili ni watu wawili tu?? Yule jamaa aendelee tu kuwa mhamasishaji ila usemaji amwachie tu Ally Kamwe yule dogo kaitendea haki kazi yake na wanayanga wamemkubaliHivi ni kweli washabiki wa yanga hamumtaki haji? Nyie si mnasema haji ni kiboko ya wanasimba?
Hivi kwanini Wa Tanzania tuanamini sana kwenye ushirikina?Mumlinde sasa , msiishie tu kusema hivyo ,maana sasa anaingia kwenye vita ya nguvu za giza
Hahaaaaaa akina Ndolanga, Mzee Dalali na Said El maamry ndio wenzake sio?😀😃😄😁😆Anaacha kupumxika na wenzake akina Aden Rage anataka kukurupushana na watoto wadogo