Ally Kamwe arudishwa kwenye nafasi yake kama kawaida

Kesho Manara lazima aende Likoni, Mombasa, akipitia kwanza kwa Msisi na Pangani, yaani yatapigwa Makopela na vipande, na majini ambayo yataongea kupitia nafsi ya Ally Kamwe, yaani yeye anakuwa hajijui kama anaongea au anaandika barua ya kuacha kazi, yakishamtoka, ndio anastuka aaaahhh!!
 
Me namtaka haji manara
πŸƒπŸΏπŸƒπŸΏπŸƒπŸΏπŸƒπŸΏπŸƒπŸΏπŸƒπŸΏπŸƒπŸΏπŸƒπŸΏπŸƒπŸΏπŸƒπŸΏπŸƒπŸΏ
 
Changamoto zilizokuwepo ni zipi
 
Manara tunampongeza kwa kumaliza kifungo ila nafasi yake imejazwa vema sana ajitafute kinamna nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…