Imeisha hiyoo.Habari njema kama ni Kweli.
Aendelee kuoa na kuachikaHapo afadhali sisi haji hatumtaki kabisa hata kumsikia, aendelee na mambo yake
Yeye aendelee na mambo ya ndoa zake, Kwa sasa hatumtaki, kadi tunazo na ada tunalipa asituletee utoto wakeAendelee kuoa na kuachika
Hivi ni kweli washabiki wa yanga hamumtaki haji? Nyie si mnasema haji ni kiboko ya wanasimba?Sijui kwa nini walishindwa kukubaliana toka mapema, Haji hatumtaki.
Kwani hawawezi kufanya kazi pamoja?Hapo afadhali sisi haji hatumtaki kabisa hata kumsikia, aendelee na mambo yake
Wewe unaweza kufanya kazi na Manara?Kwani hawawezi kufanya kazi pamoja?
Nenda nyumbani kwake ukampikie chai.Me namtaka haji manara
ππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏ
Kiboko ya 5imba ni Yanga sio ManaraHivi ni kweli washabiki wa yanga hamumtaki haji? Nyie si mnasema haji ni kiboko ya wanasimba?
Siyo kusimama tu, mmbong'olee kabisa.Sisi Tunasimama na Haji Manara,Daima mbele nyuma mwiko.
Haya bwana,nashukuru kwa matusi yako.Siyo kusimama tu, mmbong'olee kabisa.
Changamoto zilizokuwepo ni zipiRais wa Yanga Eng. Hersi na Makamu wake Arafat Haji wamefanikiwa kumrejesha kazini Ally Kamwe kwenye nafasi yake ya Meneja Habari na Mawasiliano na Tayari amesaini Mkataba Mpya wa miaka miwili ndani ya Klabu hiyo.
Kamwe alieleza changamoto zake kwa viongozi zilizompelekea kuchukua uamuzi wa kujiuzulu mbele ya Uongozi na kwa maslahi ya pande zote mbili wamekubaliana kuzifanyia kazi.
View attachment 3055957