Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Acheni kuchafua taswira za watu ivi mnapataga faida gani?Mbona inajulikana tu kuwa analiwa na matajiri wa Yanga. Kwenye wanaume usimhesabu Ali Kamwe, amekwisha "left"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni kuchafua taswira za watu ivi mnapataga faida gani?Mbona inajulikana tu kuwa analiwa na matajiri wa Yanga. Kwenye wanaume usimhesabu Ali Kamwe, amekwisha "left"
BAADA YA KUDHIHAKIWA NA ALIKAMWE, JUMA MGUNDA AMPA JIBU
[emoji2788]"Yanga ni Club yetu pekee Tanzania inayotuwakilisha kwenye fainaly hii ya CAF na kwa bahati iliyonjema inacheza na Club Inayotoka nje ya nchi yetu.
[emoji2788]Sijui kinachopelekea mimi kuwa miongoni mwa kampeni hii ya matusi na kunidhalilisha Nilidhani kampeni itakuwa ni kushinda fainally , kuliko hiki alichokifanya Mwanangu Ally Kamwe.
[emoji2788]Namuombea kwa Mungu awe na mwisho mzuri , mimi nimeshuhudia watu wengi wakifanya kazi Yanga na Simba na sasa wapo nje ya mfumo.
[emoji2788]Kama nilipaswa kutukanwa ili Yanga ishinde basi nimekubali ili Taifa langu lijivunie .
[emoji2788]Tusiposhinda kesho nitashangaa sana kwanini tumefungwa wakati kilichotakiwa kifanywe kimefanywa juu yangu na familia yangu" Kocha Juma Mgunda.
Akiwa ktk kampeni za mechi ya tarehe 28/05/2023 huko Zakhiem Mbagala aliwauliza mashaabiki kati ya "Mgunda na andazi" utachagua nini. Mashaabiki wakaitikia "andazi" . Hakutosheka akauliza tena"kati ya wasimamizi wa Feisal na andazi utachagua nini. Mashaabiki tena wakajibu "andazi".
Sasa mimi km mtu mzima naona Ally Kamwe alichofanya ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa malezi na makuzi ya wazazi wake. Huwezi kumlinganisha mtu mzima mwenye umri sawa na baba yako na "andazi". Mgunda amekuwa Hana utani wa Simba na Yanga hata ktk media sjawahi kumskia akitoa maneno ya shobo kwa Wana Yanga. Iweje leo mbele ya watu tena wa rika tofauti tofauti umlinganishe na andazi.
Haya sasa kakujibu kiutu uzima km baba. Kazi kwako.
Hata mimi naona ni vyema Yanga imuombe radhi Mgunda na sisi tusiokuwa na upande kati yao ila hatupendi tabia chafu km alizozionesha huyu dogo.Klabu ya yangu Yanga inatakiwa itoke hadharani imuombe radhi Mgunda. Maana kauli ya Ali Kamwe ni kauli ya Yanga. Kudhibiti mambo kama haya siku za mbeleni huyo mtu awajabishwe.
Nilidhani tumetoka zama za kina Jerry Muro na Manara kumbe bado.
DahWatoto hawana adabu kabisa hawa.
Ww umeandika haya ukiwa kama naniBAADA YA KUDHIHAKIWA NA ALIKAMWE, JUMA MGUNDA AMPA JIBU
[emoji2788]"Yanga ni Club yetu pekee Tanzania inayotuwakilisha kwenye fainaly hii ya CAF na kwa bahati iliyonjema inacheza na Club Inayotoka nje ya nchi yetu.
[emoji2788]Sijui kinachopelekea mimi kuwa miongoni mwa kampeni hii ya matusi na kunidhalilisha Nilidhani kampeni itakuwa ni kushinda fainally , kuliko hiki alichokifanya Mwanangu Ally Kamwe.
[emoji2788]Namuombea kwa Mungu awe na mwisho mzuri , mimi nimeshuhudia watu wengi wakifanya kazi Yanga na Simba na sasa wapo nje ya mfumo.
[emoji2788]Kama nilipaswa kutukanwa ili Yanga ishinde basi nimekubali ili Taifa langu lijivunie .
[emoji2788]Tusiposhinda kesho nitashangaa sana kwanini tumefungwa wakati kilichotakiwa kifanywe kimefanywa juu yangu na familia yangu" Kocha Juma Mgunda.
Akiwa ktk kampeni za mechi ya tarehe 28/05/2023 huko Zakhiem Mbagala aliwauliza mashaabiki kati ya "Mgunda na andazi" utachagua nini. Mashaabiki wakaitikia "andazi" . Hakutosheka akauliza tena"kati ya wasimamizi wa Feisal na andazi utachagua nini. Mashaabiki tena wakajibu "andazi".
Sasa mimi km mtu mzima naona Ally Kamwe alichofanya ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa malezi na makuzi ya wazazi wake. Huwezi kumlinganisha mtu mzima mwenye umri sawa na baba yako na "andazi". Mgunda amekuwa Hana utani wa Simba na Yanga hata ktk media sjawahi kumskia akitoa maneno ya shobo kwa Wana Yanga. Iweje leo mbele ya watu tena wa rika tofauti tofauti umlinganishe na andazi.
Haya sasa kakujibu kiutu uzima km baba. Kazi kwako.
Kampigia sim kamuomba msamaha ndo akamuomba na msamaha instaManeno mazito sana kaongea. Kwani Ali Kamwe alianza vipi hadi kufikia kwa Mgunda? Mbona mechi ni Yanga vs USM Alger na bora hata angekuwa kamtupia madongo Ahmed Ally tungesema labda karudisha madongo. Sasa huyu baba wa watu kamuanzia nini?
Apewe Tobias KifaruHiki kitengo kimekosewa sawa kuwapa watoto wavulana, kilipaswa kipewe watu wazima ambao wana busara, hekima, na wanaojielewa. Sio hawa wavulana wanaondeshwa na mihemko na utoto mwingi.
mpumbavu uyo laana ndo nini?Acha kuwatisha watu laan ipo africa tu wazungu hawana izo mambo?
Huyo mtoto ni fala kabisa, Yanha inabidi imtafakari upya.BAADA YA KUDHIHAKIWA NA ALIKAMWE, JUMA MGUNDA AMPA JIBU
🗣️"Yanga ni Club yetu pekee Tanzania inayotuwakilisha kwenye fainaly hii ya CAF na kwa bahati iliyonjema inacheza na Club Inayotoka nje ya nchi yetu.
🗣️Sijui kinachopelekea mimi kuwa miongoni mwa kampeni hii ya matusi na kunidhalilisha Nilidhani kampeni itakuwa ni kushinda fainally , kuliko hiki alichokifanya Mwanangu Ally Kamwe.
🗣️Namuombea kwa Mungu awe na mwisho mzuri , mimi nimeshuhudia watu wengi wakifanya kazi Yanga na Simba na sasa wapo nje ya mfumo.
🗣️Kama nilipaswa kutukanwa ili Yanga ishinde basi nimekubali ili Taifa langu lijivunie .
🗣️Tusiposhinda kesho nitashangaa sana kwanini tumefungwa wakati kilichotakiwa kifanywe kimefanywa juu yangu na familia yangu" Kocha Juma Mgunda.
Akiwa ktk kampeni za mechi ya tarehe 28/05/2023 huko Zakhiem Mbagala aliwauliza mashaabiki kati ya "Mgunda na andazi" utachagua nini. Mashaabiki wakaitikia "andazi" . Hakutosheka akauliza tena"kati ya wasimamizi wa Feisal na andazi utachagua nini. Mashaabiki tena wakajibu "andazi".
Sasa mimi km mtu mzima naona Ally Kamwe alichofanya ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa malezi na makuzi ya wazazi wake. Huwezi kumlinganisha mtu mzima mwenye umri sawa na baba yako na "andazi". Mgunda amekuwa Hana utani wa Simba na Yanga hata ktk media sjawahi kumskia akitoa maneno ya shobo kwa Wana Yanga. Iweje leo mbele ya watu tena wa rika tofauti tofauti umlinganishe na andazi.
Haya sasa kakujibu kiutu uzima km baba. Kazi kwako.
Dhihaka hiyo aliitamka mbele ya kadamnasi ...Atumie platform kama ile aombe radhi...Alikosea na amekiri kukosea na kujutia. Ameomba radhi, hata kabla ya Mgunda kuzungumza.
Huyo Ali kamwe ni mzungu??Acha kuwatisha watu laan ipo africa tu wazungu hawana izo mambo?
Ase sipendagi nikimsikia mtuu anasema mambo ya laana laani whichi? Nan kaazishampumbavu uyo laana ndo nini?
Mimi nimeongelea laan sijaongela uzungu wa alll kamwe kama mzungu unajua wwHuyo Ali kamwe ni mzungu??
Nimeandika hivyo pia. Akaombe radhi mbele ya kadamnasi.Dhihaka hiyo aliitamka mbele ya kadamnasi ...Atumie platform kama ile aombe radhi...
Kuandika hayo mashudu kwenye mtandao wa kijamii na kudai kaomba msamaha ni kujijaza upepo....Kwani hiyo dhihaka kwa Mzee Mgunda aliitamka kwenye social media??
Na ni mashoga kweli hzi haziwezi kuwa kauli za kiumeWale mashoga wawili wa Yanga wana matatizo