Uko wapi kwanzaAcha hasira mtoto mzuri
Evelyn Salt naomba nipigie pande kwa To yeyeUko wapi kwanza
Tuma ya udalaliEvelyn Salt naomba nipigie pande kwa To yeye
Tukienda katika uhalisia, ukiingia kwenye page official ya Yanga anayeonekana ku postwa mara kwa mara ni Ally Kamwe. Na anayeonekana kuhusishwa kwenye shughuli mbali mbali zinahusishwa na mashabiki, wanachama na jamii ni Ally Kamwe mfano kwenye zoezi la uchangiaji damu, zoezi la utoaji misaada n.k. Manara kaonekana katika zoezi la kutangaza wasanii watakaohusika na siku ya sherehe pekee. Ukiangalia jinsi mwenendo ulivyo, unaona kabisa Manara analazimisha awe mkubwa na apendwe ndio maana anatumia nguvu kubwa sana ya kwenye kauli zake ila upepo wa mashabiki wa Yanga kwasasa upo na Ally Kamwe. Tofauti na Ally Kamwe, dogo kawa mtulivu sana na busara hataki kutumia nguvu wala mashindano na Manara.Naona kuongezwa mkataba ali kamwe ni kama geresha tu, wana yanga wasichukie lakini mdogo mdogo bwana manara anachukua nafasi.
Siku zote manara ni miyeyusho, manara ni kirusi.Tukienda katika uhalisia, ukiingia kwenye page official ya Yanga anayeonekana ku postwa mara kwa mara ni Ally Kamwe. Na anayeonekana kuhusishwa kwenye shughuli mbali mbali zinahusishwa na mashabiki, wanachama na jamii ni Ally Kamwe mfano kwenye zoezi la uchangiaji damu, zoezi la utoaji misaada n.k. Manara kaonekana katika zoezi la kutangaza wasanii watakaohusika na siku ya sherehe pekee. Ukiangalia jinsi mwenendo ulivyo, unaona kabisa Manara analazimisha awe mkubwa na apendwe ndio maana anatumia nguvu kubwa sana ya kwenye kauli zake ila upepo wa mashabiki wa Yanga kwasasa upo na Ally Kamwe. Tofauti na Ally Kamwe, dogo kawa mtulivu sana na busara hataki kutumia nguvu wala mashindano na Manara.