Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Hawa wabunge nadhani wanatafta kuteuliwa tena kugombea ubunge ndio maana wana fanya uivi
 
Mkuu Mimi sio masikini,nitoe kwenye kundi hill,niweke kwenye kundi la middle income people, tangu nazaliwa na kukua nimekulia ccm,na ninaona inatuletea maendeleo sasa shida ya nini?

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app

Mkuu katika siku nimekutana na mwanaccm amejibu vizuri ni wewe , me sina chama yeyote atakaeshinda na akafanya mambo yanayotakiwa na majority i am okay, na kwa hili ulilosema kuhusu kuzaliwa na kukulia ccm ni sawa mkuu..I forgive you mkuu. Your doing what is right for you
 
Ivi kweri ccm wote akuna mwenye uwozo wa kumzidi magufuri kwenye utendaji kwaiyo hoja asitoke kisa miradi itakufa hii fact ni kwa africa tu
 
Hatari! Kwani kwa muda huu uliobaki kabla ya uchaguzi kuna fununu ya teuzi zo zote?
 
Kama ni hivyo kuna haja gani ya kufanya uchaguzi? Serikali inapoteza mamilioni ya fedha kuandaa uchaguzi harafu ubabe unatumika kukibakiza Chama pendwa madarakani?
Lengo ni kuwahadaa mabeberu ili wasikose misaada.Uzuri washaiona janja yao
 
Kuna uwezekano kabisa wabunge wa CCM wamejiandaa kupeleka muswada bungeni wa kumwongezea jiwe muda wa kukaa madarakani hatowezi kukubali huu upuuzi
 
Habari za wakati huu;
Nasikia Tetetsi kuwa CCM wanataka kumuongeze muda JPM awe rais wa maisha.Rais wa Maisha maana yake ni kwamba afie madarakani.Jambo ambalo htujui ni kwamba kifo kinaweza kuja wakati wowote.Unapoomba afie madarakani anaweza kufa kabla ya kuingia hata awamu ya pili.

Lengo la uzi ni kuwaambia CCM kwamba kama OMBI lenu ni rais wenu kufia madarakani basi jiandaeni kisaikolojia maana kwa hakika kila mukiombacho ndio mtakachopata.
 
Kwa hiyo anafaa sababu anafanya km unavyotaka wewe?
 
Hayo yote Ni matokeo ya Kodi zetu
Wewe ulitaka asijenge ili azile?
Tumia akili.
 
R.I.P Pierre Nkurunziza. Alijipangia mengi makubwa yajayo lakini Mungu akapanga yake.
 
Rais Magufuli anafaa aongezewe muda anafanya mambo makubwa
Hicho tu? kwamba hakuna Mtanzania mwingine kati ya watu wazima Milioni 30 ambaye anaweza kufanya makubwa zaidi? Ni udhaifu kufikiria kitu kama hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…