Wayaring
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 304
- 248
Usemalo ni kweli, shida hatuwezi kaa kimya ikiwa kuna watu wanaendelea kumsifu mtu muovu. Haikuwa shida kukaa kimya, tatizo ni wao.Wwapi nimepinga kuweka ubaya wa Magu?
Mkuu, unajua kusoma kwa ufahamu?
Unaelewa mimi ni mmoja wa watu walio mstari wa mbele kupinga ubaya wa Magu? Kuanzia alivyokuwa hai mpaka kesho?
Unaelewa nuanced conversation ni nini?