Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Yaani tunakoelekea tunakuwa spitting image ya Yule tuliyemchukia,
Maneno ya kijinga ya kashfa,

Ni hao hao Sukuma gang. Keeping his name alive, Kwa kuanzisha nyuzi za kujifanya wanamponda, ili wabakie nyuzi na kumsifia!

Wengi hatuna interest naye kabisaaaah!
Ukiiangalia Kwa jicho la 3, hawa ni walinda legacy hawataki tuache kumzungumzia!
Kwanza kabisa, kuwaita wafuasi wa Magufuli "Sukuma Gang" ni ujinga wa ukabila.

Tupo Wasukuma wengi ambao hatujamkubali Magufuli alivyokuwa hai na hatumkubali sasa alivyokufa.

Tafadhali usihusishe jina la kabila na wafuasi wa Magufuli.

Hagayaaaaaa!
 
Hujajibu swali la msingi, nimekuuliza tena yale ma Air conditioner yalikuwa na kazi gani kwenye mkutano wa kampeni unaofanyika nje?

Still the self anointed narcissist you are beating around the bush. Answer my question
Hujanielewa na inawezekana una uwezo wa kunielewa.

Hata kama Magufuli alikuw amgonjwa, hata kama kweli alikuwa anapepewa.

Kumuita Magufuli, mtu aliyekwishajifia, a "walking carcass", wakati Samia mtu anayeishi leo bado anawapiga, ni kukosa priorities.

Kwa sabau.

1. Mnatumia nguvu nyingi kupigana na maiti.
2.Wakati mnapigana na maiti, walio hai wanawaharibu zaidi. Hii ni opportunity cost, unapoongea kuhusu "Magufuli was a walking carcass" ushaacha kuonge akuhusu mambo ya msingi kama katiba mpya.
3.Hata huyo maiti hamjui kumpiga vizuri, ana mengi ya kusemwa kuliko mortality yake.Mortality ni kitu ambacho kila mtu anacho, hivyo kusema huyu alikuw anakufa tu ni ujinga, kila mtu atakufa.This is more hate than logical thinking.
4. Mna wa isolate wafuasi wa Magufuli na watu waliokaa katikati, ambao wangeweza kujiunga nanyi kuboresha mambo ya msingi aliyoharibu Magufuli.
5. Mna contradict kanuni nyingi za utawala bora na kujielewa, wengine hatukumpenda Magufuli kwa maneno yake ya ovyo, tukisikia wanaompinga wanakuja na maneno yale yale ya ovyo kama "Magufuli was a walking carcass" au "wanaompenda Magufuli wakazikwe naye Chato", tunaona hawa nao ni wale wale tu, tatizo hawajapata urais.
 
Huyu mtu Magufuli siyo wa kumhurumia kata kidogo kwa kuwa yeye ndiye muasisi wa "bullying", ngoja naye aipate kupitia kwa wanaomuabudu kama wewe @Kiranga
'Bullying' kwa mtu aliyekwisha kufariki na kuzikwa zaidi ya mwaka mmoja uliopita ni matumizi mabaya ya akili na muda.

'JPM is gone forever' ni vyema tutumie huu muda kurekebisha alipokosea yeye kwa manufaa yetu ya Sasa na baadae.
 
Mna mobilize watu miaka mingapi? Karne ngapi?

Mna mobilize watu kwa kuwaambia "Magufuli was a walking carcass"?

Mna mobilize watu kwa kuwaambia wanaompenda Magufuli waende kuzikwa naye Chato?

Do you know how many well meaning people that alienates?

Egypt, Sudan, Zimbabwe nk walitawaliwa kibabe na kiongozi mmoja zaidi ya 25yrs, siku moja uoga wa muda mrefu uliisha na watu wakaingia mtaani. Tumeanza na kuhakikisha watu wengi hawajitokezi kupiga kura, ili kuwa na utawala usio na uhalali wa umma.

Kiranga na ww bana ukipanick kwa hoja zako kutokuungwa mkono mpaka unakuwa kama teenager, hiyo walking carcass ni maneno ya kawaida kwenye mijadala. Sasa naona limekuuma ndio umebaki na hilo hilo mjadala mzima. Na hayo maneno ya Zito ni sehemu ya kutema nyongo yake kutokana na utawala wa kihayawani wa Magufuli, na ameeleweka.

Hakuna anayejali waliokuwa upande wa Magufuli, bali watu wanataka walioona Magu sio, watoe support ya kukataa utawala wa kiouvu. Sasa sijui ni wapi huelewi mpaka umepanic kiasi hiki!
 
Egypt, Sudan, Zimbabwe nk walitawaliwa kibabe na kiongozi mmoja zaidi ya 25yrs, siku moja uoga wa muda mrefu uliisha na watu wakaingia mtaani. Tumeanza na kuhakikisha watu wengi hawajitokezi kupiga kura, ili kuwa na utawala usio na uhalali wa umma.

Kiranga na ww bana ukipanick kwa hoja zako kutokuungwa mkono mpaka unakuwa kama teenager, hiyo walking carcass ni maneno ya kawaida kwenye mijadala. Sasa naona limekuuma ndio umebaki na hilo hilo mjadala mzima. Na hayo maneno ya Zito ni sehemu ya kutema nyongo yake kutokana na utawala wa kihayawani wa Magufuli, na ameeleweka.

Hakuna anayejali waliokuwa upande wa Magufuli, bali watu wanataka walioona Magu sio, watoe support ya kukataa utawala wa kiouvu. Sasa sijui ni wapi huelewi mpaka umepanic kiasi hiki!
Magu aliwabutua kiasi kwamba hamuwezi kumsahau na hiyo mtaenda nayo hadi 2025, 2030 na hata 2035.
 
Kwanza kabisa, kuwaita wafuasi wa Magufuli "Sukuma Gang" ni ujinga wa ukabila.

Tupo Wasukuma wengi ambao hatujamkubali Magufuli alivyokuwa hai na hatumkubali sasa alivyokufa.

Tafadhali usihusishe jina la kabila na wafuasi wa Magufuli.

Hagayaaaaaa!
Blaza kumbe wewe Msukuma!!
 
Hujanielewa na inawezekana una uwezo wa kunielewa.

Hata kama Magufuli alikuw amgonjwa, hata kama kweli alikuwa anapepewa.

Kumuita Magufuli, mtu aliyekwishajifia, a "walking carcass", wakati Samia mtu anayeishi leo bado anawapiga, ni kukosa priorities.

Kwa sabau.

1. Mnatumia nguvu nyingi kupigana na maiti.
2.Wakati mnapigana na maiti, walio hai wanawaharibu zaidi. Hii ni opportunity cost, unapoongea kuhusu "Magufuli was a walking carcass" ushaacha kuonge akuhusu mambo ya msingi kama katiba mpya.
3.Hata huyo maiti hamjui kumpiga vizuri, ana mengi ya kusemwa kuliko mortality yake.Mortality ni kitu ambacho kila mtu anacho, hivyo kusema huyu alikuw anakufa tu ni ujinga, kila mtu atakufa.This is more hate than logical thinking.
4. Mna wa isolate wafuasi wa Magufuli na watu waliokaa katikati, ambao wangeweza kujiunga nanyi kuboresha mambo ya msingi aliyoharibu Magufuli.
5. Mna contradict kanuni nyingi za utawala bora na kujielewa, wengine hatukumpenda Magufuli kwa maneno yake ya ovyo, tukisikia wanaompinga wanakuja na maneno yale yale ya ovyo kama "Magufuli was a walking carcass" au "wanaompenda Magufuli wakazikwe naye Chato", tunaona hawa nao ni wale wale tu, tatizo hawajapata urais.
Nafuu Samia anatupiga bila kututukana kuliko huyu mungu wa Sukuma Gang ambaye alitutukana huku anatupiga vibaya. TAARIFA; Hata Kiranga ukiwa Rais utatupiga tu, huo ndiyo UAFRIKA.

Mpaka sasa hivi hujajijibu kuhusu zile Air conditioner zilikuwa na kazi gani mkutano wa nje, hivyo bado unayemuabudu anabaki kuwa walking carcass
 
'Bullying' kwa mtu aliyekwisha kufariki na kuzikwa zaidi ya mwaka mmoja uliopita ni matumizi mabaya ya akili na muda.

'JPM is gone forever' ni vyema tutumie huu muda kurekebisha alipokosea yeye kwa manufaa yetu ya Sasa na baadae.
Tusichaguliane silaha, hii vita alianzisha Magufuli mwenyewe na HAITOISHA.

Mbona nyinyi mmamuita Shujaa wa Africa, mara mnamuita Chumba, wengine wanmuita mzalendo.

Kwanini umuite Shujaa au Mzalendo mutu ambaye kisha kufa na ameliwa na minyoo mwaka mzima uliopita?
 
Magu aliwabutua kiasi kwamba hamuwezi kumsahau na hiyo mtaenda nayo hadi 2025, 2030 na hata 2035.
Magu angekuwa na uwezo wa kubutua mtu angevipiga kwanza vidudu vya makamasi vinaitwa corona. Mshenzi yule alikuwa mwoga kuliko maelezo ndiyo maana kila mahali alihakikisha yuko na IGP, CDF na Mkuu wa TISS. Purely element za uwoga
 
Magu angekuwa na uwezo wa kubutua mtu angevipiga kwanza vidudu vya makamasi vinaitwa corona. Mshenzi yule alikuwa mwoga kuliko maelezo ndiyo maana kila mahali alihakikisha yuko na IGP, CDF na Mkuu wa TISS. Purely element za uwoga
Aliwabutua sana!

Mna stress kiasi kwamba mmeshindwa kabisa kumsahau!!

Na hii itawatesa maisha yenu yote!

Kwa streas zenu uchaguzi wa 2025 utakuwa kati ya ccm & wapinzani vs wafuasi wa Magufuli!

Kisha ccm itawatumbukiza shimoni mkafie huko kabisa
 
Aliwabutua sana!

Mna stress kiasi kwamba mmeshindwa kabisa kumsahau!!

Na hii itawatesa maisha yenu yote!

Kwa streas zenu uchaguzi wa 2025 utakuwa kati ya ccm & wapinzani vs wafuasi wa Magufuli!

Kisha ccm itawatumbukiza shimoni mkafie huko kabisa
Adolph Hitler, Iddi Amin, Benito Mussolini na Mobutu nao wanakumbukwa siyo kwa sababu wanapendwa bali ni kwa unyama wao.

Naye Magufuli anaongezeka kwenye huo ukurasa wa maDIKTETA
 
Tusichaguliane silaha, hii vita alianzisha Magufuli mwenyewe na HAITOISHA.

Mbona nyinyi mmamuita Shujaa wa Africa, mara mnamuita Chumba, wengine wanmuita mzalendo.

Kwanini umuite Shujaa au Mzalendo mutu ambaye kisha kufa na ameliwa na minyoo mwaka mzima uliopita?
Kila nafsi itaonja mauti, kumbuka hilo.
 
Kila nafsi itaonja mauti, kumbuka hilo.
Ninajuwa nitakufa, haina ubishi. Lakini kinachonifurahisha ni kuona Magufuli amekufa yeye kabla ya sisi aliotaka tufe kwa kutupiga risasi, kututeka, kutunyang'anya fedha na kutufukuza kazini. Magufuli aliiba uchaguzi wote wa 2020 na akapanga wabunge wake wa kupitisha mabadiliko ya Katiba ili awe Rais wa maisha pale mwaka 2025. Mungu kamuonyesha UKUU wake

Hicho ndicho kinatufurahisha
 
Most Tanzanians political discussions, at least on JF, are crude, tribal and unsophisticated.

Hatujavuka maongezi ya mavi mavi tu.

Nuance is a rare commodity.

Yani kujua kwamba unaweza kutokubaliana na Magufuli na wapambe wake, lakini kumuita mtu "walking carcass" ni lack of savoir faire ni mtihani.

We ona mpaka kiongozi wa kitaifa wa upinzani Zitto Kabwe anasema wafuasi wa Magufuli wakazikwe naye Chato.

I am asking, did Magufuli frustrate you guys this much? If yes, what does that say about your mental fortitude? If no, why the stupid vitriolic bile?

Huyo Zitto ndiye kiongozi wa chama wa taifa.

Hawa vifulambute na vinukamkojo wa JF unategemea nini?
Lakini nyie wepesi wa kusahau, Lowasa alidhihakiwa na viongozi wa CCM alipogombea kuwa wananchi wasichague mgonjwa akafie Ikulu, mmesahau? Nyie mliochagua mzima, mmeona Mungu alivyowajibu? Tena Lissu Kapigwa risasi, watu wakachapa T-shirt zikitaka watu wamwombee: "Pray for Lissu", Magufuli na utawala wake wakatawanya na kukamata yeyote aliyevaa fulana ya kumwombea Lissu, Nadhani uliona Mungu alivyojibu kwa yule aliyekataza watu kumwombea Lissu! Leo mmesahau mliyoyafanya? Kweli mmesahau?
 
Kwanza sina shida na kumjadili Magufuli, but why this ignoble "walking carcass" talk? Tena kwa mtu aliyekwishajifia zake huko.

Pili, ikiwa mnajificha online tu na mnasubiri mtu afe ndiyo mumseme, you guys are a bunch of cowards.

Ilitakiwa mtu amtukane Magufuli to his face, tujue kweli you mean business.

Otherwise, you are just a bunch of keyboard warriors, a bunch of bitches getting online feel good high without any real work.

Mnamshambulia mfu wakati mpaka rais wa sasa serikali yake inateka watu.

What are you doing about that?

And by doing, I don't mean social media posts.

What are you actually doing to change the system?
Mjomba, lugha chafu ilianzishwa na CCM kumtukana Lowasa kuwa wananchi wasichague mgonjwa akafie Ikulu. Haya sasa, wale wazima wamejifia, leo mnang'aka Nini wakati lugha chafu mliiasisi wenyewe?
 
Mkuu, wengine haya mambo tulianza kuyapigia kelele toka mwanzo lakini tukaambiwa ni Sukuma Gang ilhali tulipinga mambo mengi sana yaliyokuwa yakitendeka chini ya Hayati Magufuli. After his demise tuliamua kukaa kimya maana tulijua there's nothing could be undone after he was gone. Tukaamua kumtetea akiwa mfu maana tulijua hata tukishupaza shingo kumsimanga hawezi kubadili lolote.
Lakini amini nakuambia, hawa wanaofanya haya si kwamba wanayafanya kwa bahati mbaya. Kuna a well organised syndicate with intent to tarnish the image of Magufuli. Sijui hii inawasaidia nini!? Lakini time will sooner or later turn against them
Wewe, hakuna organized syndicate Wala Nini. Lugha chafu ilianzishwa na CCM kumtukana Lowasa kuwa wananchi wasichague mgonjwa akafie Ikulu, kwamba Lowassa ni maiti inayotembea, wakati huo mlifurahia na kusherehekea, leo Mungu ameshusha rungu, mmesahau lugha zenu za kifedhuli mlizoanzisha? Kwa kweli Mungu ni fundi.
 
Back
Top Bottom