Usemalo ni kweli, shida hatuwezi kaa kimya ikiwa kuna watu wanaendelea kumsifu mtu muovu. Haikuwa shida kukaa kimya, tatizo ni wao.Wwapi nimepinga kuweka ubaya wa Magu?
Mkuu, unajua kusoma kwa ufahamu?
Unaelewa mimi ni mmoja wa watu walio mstari wa mbele kupinga ubaya wa Magu? Kuanzia alivyokuwa hai mpaka kesho?
Unaelewa nuanced conversation ni nini?
MODS MODS MODS!!Katika mambo mengi yaliyotawala mitandao ya jamii na Bunge mwaka 2020 ilikuwa ni kuongeza ukomo wa utawala kwenye katiba ili kumuwezesha Magufuli aende beyond 2025. Alisikika Ally Kesi mbunge wa Nkasi wa wakati huo akisema "apende asipende lazima tumuongeze muda". Na Spika Ndugai akamhakikishia Ally Kesi kurudi Bungeni na kuipokea hoja yake.
Angalieni hapa picha za aliyekuwa anapigiwa debe.
View attachment 2197587
Sijawahi mkuu, labda kwasababu ww uko huko duniani utakuwa unajua zaidi.Ushawahi kusikia kitu kinaitwa "representative democracy"?
Sasa hamuoni kwamba tuongee mambo ya sera na taasisi ili tusirudie utawala kama wa Magufuli badala ya ujinga wa "Magufuli was a walking carcass"?Usemalo ni kweli, shida hatuwezi kaa kimya ikiwa kuna watu wanaendelea kumsifu mtu muovu. Haikuwa shida kukaa kimya, tatizo ni wao.
Hilo ni tatizo kubwa.Sijawahi mkuu, labda kwasababu ww uko huko duniani utakuwa unajua zaidi.
Hilo ni tatizo kubwa.
Halafu Magufuli mwenyewe akamkazia sura."ATAKE ASITAKE" wakasahau kuwa na MUNGU ni FundiView attachment 2380301
Yupo Nkasi analima UleziHuyu jamaa yupo wapi sahivi au yuko kwake huko nkasi [emoji1]
Ova
KabisaHawa ndio walimsagia kunguni kwa Mungu
Tumepitia kipindi kigumu sana watanzaniaEti jiwe ndo ataamua nani agombee ubunge
Tumefikia udikteta mkubwa sana
Duu kuna mitume humu ndaniMwacheni aongezewe muda!!Mungu ana mengi sana ya kupanga kumhusu!!ngoja tuone!!