Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbaya zaidi anajikomba wakati anakwenda 60 umri wa kustaafu mwaka huuuHuyo Mayalla Pamoja na kujitutumua kote anaendeshwa nA Mke wake Kinyama, Mchaga yule anamwendesha hatari, Mpaka familia imemtenga
Huu Ni Uchochezi wa kiwango Cha standadi gejiUsichokijua ni kwamba Corona imekuja kutoa msaada wa kuondoa udhalimu Afrika na Tanzania ipo Afrika pia. Corona imeanza kung'oa udhalimu Burundi na Tanzania inakuja sooner rather than later!
It is sooner rather than later! Mark my words. Mkono wa Mungu ni mrefu sana!Huu Ni Uchochezi wa kiwango Cha standadi geji
Lisemwalo lipo kama halipo laja ndugu watanzania tujipinge kisaikolojia kuwa muda wowote sheria inaweza badilishwa na kuongezewa muda wa uongozi wa Mh JPM. Mimi binafsi naunga hoja kwani kwa kipindi cha miaka mitano aliyokaa madarakani amefanya makubwa sana kwa hiyo naamini akipita muda wa kutosha atabadilisha sura ya tanzania na na nchi ya maziwa na asali wa watz wote sio watz wachache kama miaka iliyopita.
Magufuli anafanya vizuri maamuzi ya kumuongezea muda ni wazo zuri
Tunazungumzia nchi. Sio chama kidogo kama hiko.Kama Mbowe ni mwenyekiti wa kudumu kwanini tusiwe na Rais wa kudumu[emoji16]