Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Anajuaje atarudi salama, nkurunzinza hakufikiria kufa mapema namna hii ndo maana alikuwa ameahidiwa masurufu ya kufuru ili mradi tu akubali kuondoka madarakani, wawe wanaweka akiba ya maneno pamoja na jeuri wanayojivunia..
 
JPM hajazuia rushwa, alichofanya ni kuminya uhuru wa vyombo vya habari ili visitangaze mambo ya rushwa. Lengo hasa ni kuhadaa umma kuwa hamna rushwa ili akae madarakani atakavyo. Hilo la yeye kutaka kukaa madarakani alianza toka alipoingia madarakani kwa kuwatuma kuna Nkamia. Hii kunajisi chaguzi za nchi hii, ni ili kupata watu watakaomuongezea muda wa kukaa madarakani zaidi ya muda wa sasa wa katiba. Ila mjue mnacheza mchezo bwana hatari ile mbaya. Mchelea mwana kulia ...
Kama vile umekaririshwa mambo ya kuandika humu!!!

Uhuru wa vyombo vya habari upi umeminywa wakati unatumia uhuru huo kuandika hayo? Ni uhuru huo kuna vyombo vingi binafsi vya habari kuliko vya Serikali ambavyo vipindi vyao na mahudhui ya vipindi hujipangia vyenyewe. Uhuru huo wa vyombo vya habari ndio ambao unatumiwa kuwasilisha maoni, lawama, kejeli, matusi (hata ya nguoni), kashfa nk dhidi ya Chama Tawala, Serikali na viongozi wake.
 
Hiyo jana akihitikisha vioja vya kushambuliwa kwa Mbowe na kuunga hoja ya Ally Kesi juu ya kutengua katiba na kuongeza muda wa rais kuongoza toka mihula miwili na kuwa rais wa maisha.

View attachment 1473934
“Mheshimiwa Keissy ngoja tuende uchaguzi mkuu, turudi, na mimi naamini sote tunarudi. Hilo ulishikie uwe nalo moyoni, tutarudi hapa [bungeni] salama, azimio hilo utakuja kulileta wewe Mzee Keissy na litapita kwa kishindo, atake asitake [Rais Magufuli] tutaongeza muda,” Job Ndugai
Sidhani kama wabunge watakubali kumuongezea muda hizi propaganda za kumsifia Mkulu kwa kuwa ndiyo mwenye maamuzi kipindi hiki,Muda wake ukiisha wengi watashangilia na kumuomba akabidhi kijiti kwa mwingine. Time will tell
 
Hiyo jana akihitikisha vioja vya kushambuliwa kwa Mbowe na kuunga hoja ya Ally Kesi juu ya kutengua katiba na kuongeza muda wa rais kuongoza toka mihula miwili na kuwa rais wa maisha.

View attachment 1473934
“Mheshimiwa Keissy ngoja tuende uchaguzi mkuu, turudi, na mimi naamini sote tunarudi. Hilo ulishikie uwe nalo moyoni, tutarudi hapa [bungeni] salama, azimio hilo utakuja kulileta wewe Mzee Keissy na litapita kwa kishindo, atake asitake [Rais Magufuli] tutaongeza muda,” Job Ndugai
  • Tatizo LA nchi hii ni Urais wa awamu ya miaka mitano mitano hadi Mara mbili(miaka 10)?Kuna upungufu gani tukiendelea na utaratibu wa sasa?
  • Tanzania yetu,mbona wazalendo wanakuangamiza bila sababu?Mchakato wa Katiba Mpya siyo kipaumbele ila kuongeza au kufuta ukomo wa vipindi vya urais wanalipigia debe na wanajiapisha kulitekeleza.
  • Nani mnufaika wa hoja hiyo,ni Watanzania au CCM na Magufuli?Hiyo ndiyo kazi tuliyowatuma kwenda kufanya Bungeni.
  • Nawasihi Watanzania wenzangu,tuwakatae watu wanaovunja Katiba yetu,wasirudi Bungeni.Wapo kina Ndugai,Ally Messy,J.Nkamia,Lusinde,Mlingwa &co.Hawa ni maadui wa Taifa letu na wanapanga kuiharibu nchi aliyotuachia Mwl.Nyerere,sifahamu kuwa hawa ni wenzetu kweli au wametumwa na maadui wa Tanzania?
 
Kauli kama hizi ni za kijiinga, tusiende mbali zingetolewa Kenya tu ungeona wananchi ambavyo wange-react, ila kwa Tanzania almost nchi nzima imejaa vilaza kitu kama hiki wanakishangilia tena utasikia wanamwita p***y kama huyu shujaa. Alafu wanalalamika maisha magumu 😂sijui mtu anaishi vipi na ukilaza kichwani, inashangaza sana.
 
Hiyo jana akihitikisha vioja vya kushambuliwa kwa Mbowe na kuunga hoja ya Ally Kesi juu ya kutengua katiba na kuongeza muda wa rais kuongoza toka mihula miwili na kuwa rais wa maisha.

View attachment 1473934
“Mheshimiwa Keissy ngoja tuende uchaguzi mkuu, turudi, na mimi naamini sote tunarudi. Hilo ulishikie uwe nalo moyoni, tutarudi hapa [bungeni] salama, azimio hilo utakuja kulileta wewe Mzee Keissy na litapita kwa kishindo, atake asitake [Rais Magufuli] tutaongeza muda,” Job Ndugai
Mh tunasubiri.
 
Hiyo jana akihitikisha vioja vya kushambuliwa kwa Mbowe na kuunga hoja ya Ally Kesi juu ya kutengua katiba na kuongeza muda wa rais kuongoza toka mihula miwili na kuwa rais wa maisha.

View attachment 1473934
“Mheshimiwa Keissy ngoja tuende uchaguzi mkuu, turudi, na mimi naamini sote tunarudi. Hilo ulishikie uwe nalo moyoni, tutarudi hapa [bungeni] salama, azimio hilo utakuja kulileta wewe Mzee Keissy na litapita kwa kishindo, atake asitake [Rais Magufuli] tutaongeza muda,” Job Ndugai
Kikwete alikoipeleka nchi kwa kumuogopa Lowassa kumemdhalilisha sana !
 
Hiyo jana akihitikisha vioja vya kushambuliwa kwa Mbowe na kuunga hoja ya Ally Kesi juu ya kutengua katiba na kuongeza muda wa rais kuongoza toka mihula miwili na kuwa rais wa maisha.

View attachment 1473934
“Mheshimiwa Keissy ngoja tuende uchaguzi mkuu, turudi, na mimi naamini sote tunarudi. Hilo ulishikie uwe nalo moyoni, tutarudi hapa [bungeni] salama, azimio hilo utakuja kulileta wewe Mzee Keissy na litapita kwa kishindo, atake asitake [Rais Magufuli] tutaongeza muda,” Job Ndugai
hapa inaonesha ndugai ananguvu kuliko magufuli, anasema atake asitake,
 
wazee ivi mmesoma shule kweli ? kama mmesoma hamkuelimika wakuu, au mpo kazini ? mnanipa ukakasi wakuu..TANZANIA ni nchi na sio chama na hatufanyi mashindano ya nchi vs chama. Yan kina job ndugai kwake hata maji hakuna na wananchi wamemkataa ila bado ana uhakika kuwa atarudi bungeni mnaona hawa watu wako sawa ? . Aisee mtakufa maskini wa mawazo na fikra..
Mkuu Mimi sio masikini,nitoe kwenye kundi hill,niweke kwenye kundi la middle income people, tangu nazaliwa na kukua nimekulia ccm,na ninaona inatuletea maendeleo sasa shida ya nini?

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Bad
Bado kidogo utateliwa kuwa DC.nikisoma nyuzi zako huwa najiuliza ulisoma shule gani ya sekondari ,kidato Cha nne,na Cha sita,kabla hujajiunga na chuo .
Nilisomea shule za evening classes na kuishia form IV nikapata Div. IV, nikajiunga TSJ kupiga Diploma ndipo nikaenda chuo na kutoka na GPA ya 2.1
P
 
Kama ni hivyo kuna haja gani ya kufanya uchaguzi? Serikali inapoteza mamilioni ya fedha kuandaa uchaguzi harafu ubabe unatumika kukibakiza Chama pendwa madarakani?
 
Ongezeni tu muda, si ubavu mnaooo, ngoja niendelee kujilimia matembele yangu hapa kijijini nyambitilwa..
 
Angola Edwardo Santos...alipata kuwa Mungu Mtu...Leo moto unamuwakia hasa...family nzima imewekwa kitimoto ..jamaa alieyeko madarakan yupo kuminya testis za waliopita...Wananchi wabunge mliowapeleka bungeni wamelewa sasa wanapanga kuwakojolea milele!!amukeni sasa PGA chini wote!!
 
Back
Top Bottom