Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Alifanyaje mkuu?Ngoja nimtag Mh.Anna Makinda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alifanyaje mkuu?Ngoja nimtag Mh.Anna Makinda.
Hakika ndivo ilivyo.Hahahah watu wanataka kulinda Maslahi yao ya shibe. Kitakachofuata baada ya Magu kuondoka state house ni msiba kwa wengi.
nataka nimwambie amwambie jambo aliyekuwepo kwenye nafasi yake zamani.Alifanyaje mkuu?
Kweli aisee.Job anahitaji ushauri.nataka nimwambie amwambie jambo aliyekuwepo kwenye nafasi yake zamani.
Ushaishiwa hoja na nishakupuuzaKweli wewe huelewi mambo hata kidogo. Hizo nchi unazozitaja tazama suala la dini limekaaje. Je dini kwao ni mseto kama huku bongo??
Hivi unadhani jb Ndugai akiacha siasa atafanya shughuli gani hapo jijini Dodoma ?Hahahah watu wanataka kulinda Maslahi yao ya shibe. Kitakachofuata baada ya Magu kuondoka state house ni msiba kwa wengi.
Watanzania tuwe macho, naona tumefikia hatua tunachezea mboni ya jicho kwa kusogeza mshale wenye ncha Kali.Hii ni aram kubwa imekwisha amriwa. Sasa kilichobakia ni utekelezaji na utekelezaji wake upo so planned kwamba waanze kuingiza KWENYE akili za watu. Jana TBC ikimhoji speaker chini ya mkurugenzi walisema jambo ambalo nahisi ni strategy kubwa. Kinachonishangaza viongozi wapo kimya kabisa
Marais wastaafu
Mawaziri wakuu wastaafu
Na wenye hekima mbalimbali.
Tuweni makini.
Acheni ujinga nyinyi.Anatoa elimu bure
Amenunua ndege
Amejenga barabara
Umeme kila kijiji
Zahanati kila kijiji
Ujenzi wa reli
Ujenzi wa fly over
Ujenzi wa bwawa la umeme kule rufiji
Mikopo kwa wanachuo
Amewapa wamachinga na mama lushe unafuu wa kufanya biashara
Mambo mengi sana
Hii post ya 2015 alipost nyerere
"Kuna watu ni wanafiki Katiba siyo Msaafu, muda wowote inabadilishwa na siyo Rais wa kwanza kuongezewa muda, atake asitake alazimishwe haiwezekani kumuachia nafasi, naulizwa kila siku baada ya Magufuli nani anafuata mimi nasema anaongezewa muda"- Ally Kessy (CCM).
Spika Ndugai ajibu hivi
“Mheshimiwa Keissy ngoja twende uchaguzi mkuu, turudi, na mimi naamini sote tunarudi. Hilo ulishikie uwe nalo moyoni, tutarudi hapa [bungeni] salama, azimio hilo utakuja kulileta wewe Mzee Kessy na litapita kwa kishindo, atake asitake [Rais Magufuli] tutaongeza muda,” Job Ndugai
Hata Nkurunziza aliongezwa muda