fokonola bokoyoka
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 966
- 638
Mungu naomba asiongeze muda mtu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kha!!,kwa hiyo hao wanashinikizwa kumpigia debe mkulu asing'atuke??.Mimi naona tofauti kubwa huyu wa sasa hawezi kusaidiwa na busara za Nyerere kwasababu Nyerere alishauriwa asing'atuke na wa sasa nyuma ya pazia anawatuma wapambe washinikize huku yeye akijifanya kugoma
Kwani wengine wanaostaafu siasa wanaishije??.Hivi unadhani jb Ndugai akiacha siasa atafanya shughuli gani hapo jijini Dodoma ?
Au ataenda mikoani kuchunga ng'ombe
Sure.Mh. Rais keshaona kuna baadhi ya watu wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
Akimaliza muhula wake wa pili atakayefuatia pia atakuwa na timu yake [emoji4]
Wanaishi kwa huruma ya MagufuliKwani wengine wanaostaafu siasa wanaishije??.
Wakomae mbona sisi akina Yakhe tupo tunakomaa tu.Wanaishi kwa huruma ya Magufuli
Asikudanganye mtu , maisha nje ya siasa ni magumu sana
Nyinyi mna uzoefu wa kuishi maisha ya hustleWakomae mbona sisi akina Yakhe tupo tunakomaa tu.
Ee hata hivyo si wameshakula vya kutosha?!!!.Waje huku na wao waonje joto la jiwe.Nyinyi mna uzoefu wa kuishi maisha ya hustle
Watakufa kabla ya siku zaoEe hata hivyo si wameshakula vya kutosha?!!!.Waje huku na wao waonje joto la jiwe.
Potelea mbali hiyo ni safari ya wote tofauti ni muda na aina ya kifo tu.Watakufa kabla ya siku zao
Acha kuhema hemaUshaishiwa hoja na nishakupuuza
Hebu tutajie hayo aliyoyafanya mwinyi zen tupambanishe na haya anayoyafanya Magu, taja japo moja tu cz najua hakutakuwa na mengi [emoji3][emoji3]Huyu mshenzi anatakiwa asirudi bungeni tena, mwinyi mbona alifanya mengi tu lakini hakutaka kuongeza muda. Magufuli hata ajenge magorofa mbinguni akikamilisha muda wake akitoe. Atabaki kukumbukwa kwa aliyo yafanya lakini Tanzania hatutaki ufalme wala uchifu.
Katika upepo huyu ndio upepo haswaaa,hakuna kitu huko kichwani,kajaza mavi tu
"Kuna watu ni wanafiki Katiba siyo Msaafu, muda wowote inabadilishwa na siyo Rais wa kwanza kuongezewa muda, atake asitake alazimishwe haiwezekani kumuachia nafasi, naulizwa kila siku baada ya Magufuli nani anafuata mimi nasema anaongezewa muda"- Ally Kessy (CCM).
Spika Ndugai ajibu hivi
“Mheshimiwa Keissy ngoja twende uchaguzi mkuu, turudi, na mimi naamini sote tunarudi. Hilo ulishikie uwe nalo moyoni, tutarudi hapa [bungeni] salama, azimio hilo utakuja kulileta wewe Mzee Kessy na litapita kwa kishindo, atake asitake [Rais Magufuli] tutaongeza muda,” Job Ndugai
Kwa akili yako yakijinga sawa,Ila kwa akili za sheria,kanuni za katiba sio
Tuaifanye tuifute na nec kusiwe na madiwani, wabunge wala wakuu awepo yy na wanajeshi kwani huyu malaika mkuu kila akipanga kinaenda.