Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Mimi naona tofauti kubwa huyu wa sasa hawezi kusaidiwa na busara za Nyerere kwasababu Nyerere alishauriwa asing'atuke na wa sasa nyuma ya pazia anawatuma wapambe washinikize huku yeye akijifanya kugoma
Kha!!,kwa hiyo hao wanashinikizwa kumpigia debe mkulu asing'atuke??.
 
Huyu mshenzi anatakiwa asirudi bungeni tena, mwinyi mbona alifanya mengi tu lakini hakutaka kuongeza muda. Magufuli hata ajenge magorofa mbinguni akikamilisha muda wake akitoe. Atabaki kukumbukwa kwa aliyo yafanya lakini Tanzania hatutaki ufalme wala uchifu.
Hebu tutajie hayo aliyoyafanya mwinyi zen tupambanishe na haya anayoyafanya Magu, taja japo moja tu cz najua hakutakuwa na mengi [emoji3][emoji3]
 



"Kuna watu ni wanafiki Katiba siyo Msaafu, muda wowote inabadilishwa na siyo Rais wa kwanza kuongezewa muda, atake asitake alazimishwe haiwezekani kumuachia nafasi, naulizwa kila siku baada ya Magufuli nani anafuata mimi nasema anaongezewa muda"- Ally Kessy (CCM).

Spika Ndugai ajibu hivi

“Mheshimiwa Keissy ngoja twende uchaguzi mkuu, turudi, na mimi naamini sote tunarudi. Hilo ulishikie uwe nalo moyoni, tutarudi hapa [bungeni] salama, azimio hilo utakuja kulileta wewe Mzee Kessy na litapita kwa kishindo, atake asitake [Rais Magufuli] tutaongeza muda,” Job Ndugai

Katika upepo huyu ndio upepo haswaaa,hakuna kitu huko kichwani,kajaza mavi tu
 
Madikteta wote duniani hufanya hivyo kuhalalisha kuendelea kukakaa madarakani tena huwa wanapendwa kweli na wananchi. Hata Hittler au Idi Amini walisifiwa sana kwa kuleta maendeleo nchini mwao
 
Back
Top Bottom