Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Ally Kessy: Katiba sio msaafu, Rais Magufuli akimaliza muda wake tutatengua Katiba aongezewe muda | Spika Ndugai amuunga mkono

Madikteta wote duniani hufanya hivyo kuhalalisha kuendelea kukakaa madarakani tena huwa wanapendwa kweli na wananchi. Hata Hittler au Idi Amini walisifiwa sana kwa kuleta maendeleo nchini mwao
Siyo Wananchi wote,huwa kunakuwa na watu wao wenye sauti ya ushawishi,hivyo wakiongea tu inaonekana watu wote wamewapenda kumbe siyo.
 
Mh. Ally K
IMG-20200613-WA0032.jpg
 
Simple reply, what a stupid, silly, fool little man, wanamchaguwa na anaenda kupeleka utumbo bungeni kama hivyo?!
hapo ni woga wa njaa, tamaa ya madaraka na upumbavu tu..
 
Burundi's President Pierre Nkurunziza has won a controversial third term, taking nearly 70% of the vote, according to provisional results from the country's electoral commission-BBC reports.

IGA UFE.
 
Ndugai ni Criminal Suspect na lazima afanye hivyo ili aendelee kuwa salama, lile shambulizi dhidi ya Lissu haliwezi kumuacha salama.

Sisi waafrika tuna kila sababu ya kubaguliwa hapa duniani kwani tunaonyesha mapungufu makubwa sana ya binadamu aliyekamilika.

Wewe unadai eti mtu fulani anafaa kuwa rais wa maisha bila kujua kuwa wewe sio Mungu huyo mtu anaweza kufa hata leo mkishabadilisha katiba sasa baada ya hapo sijui mnarudi tena kubadilisha katiba kurejesha mihula. I just don't know.

Mwaka 1998 dikteta Abacha wa Nigeria alitaka kugombea urais baada ya jina lake kupendekezwa na vyama viwili vilivyoidhinishwa na serikali kushiriki katika uchaguzi mwaka huo.

Ilikuwa ni hivi hivi kujipendekeza kama wanavyofanya hawa akina Ndugai lkn kabla tu ya huo uchaguzi Abacha akafariki ghafla na kupelekea Obasanjo kuachiliwa toka gerezani na kuukwaa urais.

Hawa wanaofanya mambo kwa kuangalia maslahi yao binafsi wajue kuwa wao sio Mungu na wajue kuwa lengo lao halitatimia huyo wanayemtegemea aje awalinde ni mtu tu kama wengine ambaye ana siku yake na inaweza ifike kabla hata hajamaliza mihula yake na ndipo sijui watakuwa mgeni wa nani.

It's nothing but poor vision and myopic mind.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] njaa mbaya sana khaaaah
 
CCM bhana kwa hiyo wakaamua kumtoa huyu mwamba kafara... na shobo zote zile
 
CCM bhana kwa hiyo wakaamua kumtoa huyu mwamba kafara... na shobo zote zile
It was a smart move

Kwa sasa hoja italetwa na mtu tofauti ili msione kama ni hoja ya mtu mmoja. Wataiunga mkono kwa kishindo 100% Watasema mheshimiwa amekataa lakini wazee wa chama kina JK , Msekwa, Mwinyi nk ndio wametumwa wakamuombe amekubali shingo upande.
 
Mzee kessy baibai
Wenzio wana mikakati.
Kessy katoswa baharini lakini wote wako pamoja ni kiini macho tu.
Wait and see utaona hoja ya Kessy inarejea bungeni kwa strategy tofauti na sasa wote wataunga mkono hoja wote ni wamoja hakuna mpinzani wa kuwapinga.
 
Wenzio wana mikakati.
Kessy katoswa baharini lakini wote wako pamoja ni kiini macho tu.
Wait and see utaona hoja ya Kessy inarejea bungeni kwa strategy tofauti na sasa wote wataunga mkono hoja wote ni wamoja hakuna mpinzani wa kuwapinga.
Sawa mkuu
 
"ATAKE ASITAKE"

Bunge linapotumia msemo wa Rais "ATAKE ASITAKE" linaweza kumaanisha moja au yote Kati ya haya:

1. Kumlazimisha Rais kufanya jambo asilopenda kufanya.

2. Kumlazimisha Rais asifanye analopenda kufanya.

3. Kumlazimisha Rais kuacha kuwa Rais kinyume na katiba, au kumlazimisha kuwa Rais kinyume na katiba.

Yote matatu hapo juu yakifanywa na chombo kingine utatumika msamiati mwingine.

Bunge kujiruhusu kuingiza msamiati wa ATAKE ASITAKE kwenye hansard ni kuanzisha utamaduni mpya wa:

1. Mhimili mmoja kuushambulia mhimili mwingine

2. Kumtisha Rais kuwa anaweza kulazimishwa kufanya au kutofanya kazi yake

3. Kuvichokoza vyombo vyenye wajibu wa kumlinda Rais wakiwamo wananchi ili vijiandae kumlinda Rais dhidi ya njama za kumlazimisha kufanya au kutofanya kazi yake.

4. Kuwalazimisha wananchi waharakishe jitihada za kuilinda katiba ili isitumiwe na watu kumlazimisha Rais "kutaka au kutotaka".

Mheshimiwa Rais bila kuingilia shughuli za bunge, asikalie kimya kauli hii.

Baba Askofu Bagonza
 
Back
Top Bottom