Afu show ambazo hufanya kiba peke yake bila uwepo wa domo hata huwa hazishitui kwa mfano kuna show mbili zilifanyika juzi kati kiroba na mwendo kasi festival sijui ziliishia wapi.....lkn angalia ile ya Mombasa....so ukweli haujifichi kiba bila mond is nothingLakini mkuu nimeuliza tu nikitaka kujuaa enzi hizooo
Team kibaraza hawataki kuamini hii kituAfu show ambazo hufanya kiba peke yake bila uwepo wa domo hata huwa hazishitui kwa mfano kuna show mbili zilifanyika juzi kati kiroba na mwendo kasi festival sijui ziliishia wapi.....lkn angalia ile ya Mombasa....so ukweli haujifichi kiba bila mond is nothing
Kwan uongo au??hapana kaka tittle yako haijakaa vzr kaka kusema ally kiba acha muziki aimbe kaswida dah! Aiseeh watu mnajua kuvunja moyo watu hv kama ww ndo aikiba ukakutana nanhii post utafanyaje? i know kiba he is my best friend.ndo maana nakushangaa ww
Aiseee nshakuwa bwana mdogo tena duuuhJamaa kalale jamaa maana unataka kunifanya nipoteze muda wangu kwa ajiri yako. uck mwema unaonekana kama kichwa kiko empty so sina kitu cha kukuzaja bwana mdogo
Aya nimekupata mkuundio. unaweza kuwa bwana mdgo hata katka uwezo wa kufikiri sio umri tu
Unamfanyia kazi Diamond kwa uaminifu mkubwa sana.Unastahili nyongeza.Ushauri wa bure nampa mdogo wangu Ally Salehe Kiba bora aache mziki akaimbe kaswida maana hana cha maana anachokiimba zaidi ya kudandia nyota ya Diamond platnumz chibu dangote ukipenda muite Simba vampire
Siku Dai atakapo tangaza kuacha mziki ndio utakao kuwa mwisho wa Ally Kiba kusikika maana siku zote anafanya kazi kwa kupitia mgongo wa Dai na hii ndiyo sababu kuu inayomfanya kiba kutokubali kuvunja uwepo wa team zilizopo (team dai vs team kiba) kwa kuwa anajua kuvunjika kwa team ndio kushuka kwa jina lake kwa kasi na mwisho atakuwa level sawa na wasanii wengine kama vile barnaba na belle 9
Kiba kinachomdanganya ni sauti kumbe wapi maskini ya Mungu hamna kitu hajui kutengeneza ngoma kali licha ya kuwa na sauti nzuri kwa hiyo kwa nampa ushauri popote pale umfikie ya kuwa time yake ya kuacha mziki imewadia bora akaimbe kaswida na kupiga madufu
View attachment 401573
View attachment 401574
View attachment 401575
Hahahaaaa true brother uyu jamaa kaishiwa kuongeaHivi kwanini asiwe, belle 9,mrisho mpoto, dogo janja, madee, young d, nikki wa pili, tunda man, kassim mganga, y tony na wengine wengi ila iwe Alikiba tu??? Je huyu ndo hajui kuimba kuliko hao wengine wote au ni vice versa, mtu humchangii mchango wa kuingia studio, kufanya video ila unakuwa kihelehele km cha kwanza, alafu unakuta mleta mada ni mwanaume mwezie kabisa, nyie ndo mnafanya wanaume wa dar wanasemwa kwakuwa mna mambo ya kike kabisa