Ally's Bus mchukulieni hatua huyu mbeba mizigo yenu pale Shekilango

Tanzania hii ukitaka customer care kwenye vyombo vya usafiri atleast ABC classic, kimbinyiko na Shabiby kidogo ndio wana ahueni..hao wengine bora liende tu.
Hiyo Ally's star ni kawaida kukuta dereva au konda wanapigana na abiria ndio sembuse huyo mbeba mizigo?
 
Matajiri wao hawana unyenyekevu wowote kama wana watu wa aina hiyo, labda unafiki.
 
Huyo njaa inamsumbua unajua Watanzania wengi ni masikini na wana mzigo mkubwa wa familia unawategenea sasa mambo ya kiwa Magumu nyumbani mfano kula tu ya tabu, na Ndugu wamemuomba pesa ndiyo kuchanganyikiwa kunazidi yani ukikosea jamboree dogo bila kujua utafokewa kwa asila.
 
Huwa hafokei watu wote anabagua wa kufokea
 
Wale 80 percent n ndugu wa mwenye mBasi ndioo maqnq wana jeuri mkuu

M ningemrekodi naondoka narudi na wasiojulikana kazionaishiahapo
 
Tanzania, asilimia kubwa ya wafanyabiashara na watoa huduma hawana elimu ya customer care
 
Wewe🤣🤣. Toka Mawasiliano-Shekilango huwa tunatoza 3k(nimekupa code kunifahamu).

Ulipofika Shekilango, ukaaambiwa mzigo haupo pale, so kufika ukanipa 5k kiroho safi.
Ooh,nisaidie namba yake Mafwele anaiitaji
 
Yupo mwanaume kwa sasa huyo mwanamke sijawahi kumkuta
Ila mbona hawana tabu naona,cha msingi ukienda kupokea mzigo uwe na namba ya kupokelea na detail zingine.

Tatizo mtu anaenda kupokea mzigo namba ya kupokelea hana,kitambulisho hana, hapo ndio tabu inapoanzia
 
Ila mbona hawana tabu naona,cha msingi ukienda kupokea mzigo uwe na namba ya kupokelea na detail zingine.

Tatizo mtu anaenda kupokea mzigo namba ya kupokelea hana,kitambulisho hana, hapo ndio tabu inapoanzia
Hujawahi pata changamoto huwezi kuelewa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…