Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
Atarushiwa mapepo, majini na maruhani ajikute anaropoka siri zote alizonazo.Kila la kheri komredi Tendewa.
Nabii Shilla chaliiii!
kwenye kura ya maoni ata tendewa na ccmKila la kheri komredi Tendewa.
Nabii Shilla chaliiii!
Majamaa yanayochukua form CCM utadhani yanaenda kushabikia mpira vile. Yani wengi vilaza, hata hawajui ubunge ni nini!
Unajuaje kama sijachukuaWe unaejua Ubunge ni nini mbona haujaenda kuchukua form?
Amekosa lindo ameamua kuwa mbungeAliyekuwa Mlinzi wa zamani wa Baba wa Taifa ambaye pia alikuwa Mlinzi Mkuu wa Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, Aloyce Tendewa amechukua fomu ya kuwania ubunge jimbo la Kilombero kwa tiketi ya CCM
Pia soma
Aloyce Tendewa; Shujaa wa taifa, mlinzi wa zamani wa Nyerere na Lowassa
Mlinzi wa Lowassa, Aloyce Tendewa atimuliwa kazi...
We unaejua Ubunge ni nini mbona haujaenda kuchukua form?
Lijuapole anagombania wapiKila la kheri komredi Tendewa.
Nabii Shilla chaliiii!
Yule ameshaajiliwa pale Lumumba!Lijuapole anagombania wapi
Ova
Standard ya haiba ya kuwa mbunge ilishashushwa hivyo tuzidi kutegemea kuona watu wa hovyo kabisa wakiwa wabunge wetu.Majamaa yanayochukua form CCM utadhani yanaenda kushabikia mpira vile. Yani wengi vilaza, hata hawajui ubunge ni nini!
Nabii anamiliki mapepo?Atarushiwa mapepo, majini na maruhani ajikute anaropoka siri zote alizonazo
Mapepo yanaamuriwa, ndio maana Yesu aliweza kuyaamuru yawavae wale nguruwe kwenye pwani ya WagerasiNabii anamiliki mapepo?
Hawa manabii wapiga dili hawa. Ameshapigwa chini.Mapepo yanaamuriwa, ndio maana Yesu aliweza kuyaamuru yawavae wale nguruwe kwenye pwani ya Wagerasi
Mweupe tu uyoKwahiyo akichaguliwa kuwa mbunge na baadae kuwa waziri nae apate mlinzi? Au atajilinda mwenyewe sababu ana uzoefu
Mbona upo nje ya mada sister.Mwaka huu ccm haina utani, kama hamjaelewa shauri yenu, uchaguzi ni huru na haki kabisa upinzani wanapigwa kihalali, majembe tupu yanawekwa huku migogoro ikiwa ni asilimia 1% tu tofauti na miaka iliyopita. Ukweli mchungu