Uchaguzi 2020 Aloyce Tendewa ambaye alikuwa Mlinzi wa Mwl. Nyerere na Lowassa achukua fomu ya Ubunge Kilombero

Uchaguzi 2020 Aloyce Tendewa ambaye alikuwa Mlinzi wa Mwl. Nyerere na Lowassa achukua fomu ya Ubunge Kilombero

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Aliyekuwa Mlinzi wa zamani wa Baba wa Taifa ambaye pia alikuwa Mlinzi Mkuu wa Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, Aloyce Tendewa amechukua fomu ya kuwania ubunge jimbo la Kilombero kwa tiketi ya CCM

Pia soma
Aloyce Tendewa; Shujaa wa taifa, mlinzi wa zamani wa Nyerere na Lowassa

Mlinzi wa Lowassa, Aloyce Tendewa atimuliwa kazi...

Tendewa.jpg
 
Mwaka huu ccm haina utani, kama hamjaelewa shauri yenu, uchaguzi ni huru na haki kabisa upinzani wanapigwa kihalali, majembe tupu yanawekwa huku migogoro ikiwa ni asilimia 1% tu tofauti na miaka iliyopita. Ukweli mchungu
 
Mwaka huu ccm haina utani, kama hamjaelewa shauri yenu, uchaguzi ni huru na haki kabisa upinzani wanapigwa kihalali, majembe tupu yanawekwa huku migogoro ikiwa ni asilimia 1% tu tofauti na miaka iliyopita. Ukweli mchungu
Mbona upo nje ya mada sister.
 
Back
Top Bottom