joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Al-Shabaab orders non-locals to leave northeastern Kenya "immediately" amid teachers' crisis
Breaking News, Latest News and Top News from operanewsapp.com. Breaking news and video. News Today: tz, Politics, Sports, Entertainment, Tech, Business
Baada ya kuona kwamba wamefanikiwa katika kusambaratisha sekta ya Elimu, wameamua kupanua wigo na malengo yao, sasa hivi wanalenga watu wote ambao sio wazawa /wakristo, hii ikifanikiwa ni wazi kwamba uchumi wa eneo hili utasambaratika kabisa na itakua rahisi sana kwao kupata wafuasi na kuzidi kujiimarisha.