Breaking News, Latest News and Top News from operanewsapp.com. Breaking news and video. News Today: tz, Politics, Sports, Entertainment, Tech, Business
www.operanewsapp.com
Hii amri inafuatia baada ya Wizara ya elimu ya Kenya kuwaondoa waalimu wote ambao sio wazawa kutoka hivyo kusababibasha upungunfu mkubwa wa waalimu ktk eneo hilo kutokana na mashambulizi ya mara kwa mara toka kwa Alshabaab dhidi yao.
Baada ya kuona kwamba wamefanikiwa katika kusambaratisha sekta ya Elimu, wameamua kupanua wigo na malengo yao, sasa hivi wanalenga watu wote ambao sio wazawa /wakristo, hii ikifanikiwa ni wazi kwamba uchumi wa eneo hili utasambaratika kabisa na itakua rahisi sana kwao kupata wafuasi na kuzidi kujiimarisha.