Alshabaab waaamuru watu wote ambao si wazawa kuondoka katika eneo lote la Kaskazini mashariki mwa Kenya

Alshabaab waaamuru watu wote ambao si wazawa kuondoka katika eneo lote la Kaskazini mashariki mwa Kenya

Hii amri inafuatia baada ya Wizara ya elimu ya Kenya kuwaondoa waalimu wote ambao sio wazawa kutoka hivyo kusababibasha upungunfu mkubwa wa waalimu ktk eneo hilo kutokana na mashambulizi ya mara kwa mara toka kwa Alshabaab dhidi yao.

Baada ya kuona kwamba wamefanikiwa katika kusambaratisha sekta ya Elimu, wameamua kupanua wigo na malengo yao, sasa hivi wanalenga watu wote ambao sio wazawa /wakristo, hii ikifanikiwa ni wazi kwamba uchumi wa eneo hili utasambaratika kabisa na itakua rahisi sana kwao kupata wafuasi na kuzidi kujiimarisha.
Mabingwa wa elimu ahera

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wenyewe wazawa wa hapo wanawapa hifadhi alshabab kwa sababu wanaongea lugha moja na wanafanana. Wacha wakose waalimu ili washike adabu. Hatutaendelea kupoteza Wakenya ilhali wenyeji wanawaruhusu shabab kuishi miongoni mwao. Every action has an equal and opposite reaction.
Tatizo la sisi ndo hili, haribifu ni uharibifu tu. Kuwahifadhi simply ni ndugu zao ni kuwafanya hao raia wote kuwa wahalifu. Washughulikiwe kama wahalifu tu au wahamie Somalia. Hapa bado naona umuhimu wa kuweka kambi ya jeshi haswa ukizingati risasi haina macho.

Watawatoa tu walikowaficha!
 
Hata mimi ninashangaa sana, yaani wizara ya elimu inawaondoa waalimu badala ya serikali kuimarisha ulinzi, Kenya bajeti ya ulinzi ni kubwa sana karibu mara mbili ya Tanzania, lakini vyombo vya ulinzi vimeshindwa kabisa kuzuia mashambulizi ya Alshabaab ndani ya Kenya, Alshabaab wanashambulia na kuingia katika ardhi ya Kenya vile wapendavyo, hapo ndio wakenya wanapaswa kujua kwamba taarifa za kwenye makaratasi ni tofauti na hali halisi.

Bajeti ya US ya ulinzi na usalama ni karibu mara 1000 ya Kenya, lakini wameshindwa kuzuia mass shootings.
Kila siku mbili mass shooting.
Tanzania mkienda vita dhidi ya hata Burundi mnaweza nyoroshwa kama mbwa.

Al shabab haina conventional army. Wanajificha kwa raia wa kawaida.
 
Siyo atujapambana na ugaidi bali sisi tumeushinda ugaidi ndio maana kabla ya kufanya shambulio tunawapeleka kuzimu fast
Nyie hamjawahi pambana na magaidi kwa hivyo hamuwezi zungumza katika meza ya wazee. Mtapewa ruhusa ya kuzungumza punde tu mtakapoanza kupambana na shabab au boko haram au Isis au al qaeeda. Nyie endeleeni kupambana na rebels wa DR Congo.
Marekani mwenyewe ameshindwa kumuangamiza Taliban sasa Kesho atapiga mkataba na Taliban ili kusitisha uhasama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania tuna jeshi imara sana akuna gaidi anaweza kusubutu kuleta pua hapa
Bajeti ya US ya ulinzi na usalama ni karibu mara 1000 ya Kenya, lakini wameshindwa kuzuia mass shootings.
Kila siku mbili mass shooting.
Tanzania mkienda vita dhidi ya hata Burundi mnaweza nyoroshwa kama mbwa.

Al shabab haina conventional army. Wanajificha kwa raia wa kawaida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wenyewe wazawa wa hapo wanawapa hifadhi alshabab kwa sababu wanaongea lugha moja na wanafanana. Wacha wakose waalimu ili washike adabu. Hatutaendelea kupoteza Wakenya ilhali wenyeji wanawaruhusu shabab kuishi miongoni mwao. Every action has an equal and opposite reaction.
Aise, kwa iyo ile portion yote ya Kenya mumewaachia al shabab na Somalians, and why should they link up well with shababs ilhali ni wakenya. Nyie kule kaskazini mtamegewa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bajeti ya US ya ulinzi na usalama ni karibu mara 1000 ya Kenya, lakini wameshindwa kuzuia mass shootings.
Kila siku mbili mass shooting.
Tanzania mkienda vita dhidi ya hata Burundi mnaweza nyoroshwa kama mbwa.

Al shabab haina conventional army. Wanajificha kwa raia wa kawaida.
We huijui Tz, unyamaze tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wenyewe wazawa wa hapo wanawapa hifadhi alshabab kwa sababu wanaongea lugha moja na wanafanana. Wacha wakose waalimu ili washike adabu. Hatutaendelea kupoteza Wakenya ilhali wenyeji wanawaruhusu shabab kuishi miongoni mwao. Every action has an equal and opposite reaction.
Sasa unaona hilo ndilo Jawabu
Wakisha Aliza hapo
Wanasongea Ndani Zaidi
 
Bajeti ya US ya ulinzi na usalama ni karibu mara 1000 ya Kenya, lakini wameshindwa kuzuia mass shootings.
Kila siku mbili mass shooting.
Tanzania mkienda vita dhidi ya hata Burundi mnaweza nyoroshwa kama mbwa.

Al shabab haina conventional army. Wanajificha kwa raia wa kawaida.
Hahaha, kwanza ninaomba usitumie neno US, badala yake tumia neno "Mungu wa wakenya", kila kitu lazima utafute uhalali kwa kujilinganisha na Mungu wenu USA, ndio sababu wakenya wengi wanaume huolewa na wamarekani.
Pili, vipi unalinganisha ugaidi na mass shootings zinazosababishwa na matatizo ya akili au kulipiza kisasi?, katika ugaidi, marekani wamefanikiwa kudhibiti mashambulizi ya kigaidi nchini mwao kwa zaidi ya asilimia 98%, Acha kuchanganya terror attacks na mass shootings.

Jambo la msingi kuzingatia ni kwamba, bajeti kubwa au GDP kubwa haina maana yoyote kama haiwezi kutatua shida za wananchi, Tanzania kwa kutumia bajeti ndogo tunafanya mambo makubwa sana ikiwemo kuimarisha ulinzi wa nchi na raia wake, hakuna ujambazi wala mapigano kati ya makundi ya jamii na koo mbalimbali
 
Yani tumshukuru Mungu hatuna mpaka wa ardhini na Somalia maana ubabe wao kiukweli unatisha
 
Yani tumshukuru Mungu hatuna mpaka wa ardhini na Somalia maana ubabe wao kiukweli unatisha
Wasomali ni wababe kuwashinda. Wangekuwa wanalala na wake zenu. Ila sie tunapasua vichwa vyao wanatokomea kuzimu.
 
Back
Top Bottom