joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
- #61
Hahahaha, waulize hao UN waliochapisha hizo data, kumbuka kwamba Tanzania hakuna slums, njaa, lowest unemployment rate, kila mtu ana ardhi ya kutosha kwa mahitaji yake, maji ya kutosha. Hiyo ndio maana ya Economic inclusivity"Economic inclusiveness" ya kurundika kwenye lindi la ufukara!
Does that make you proud? CCM kweli ni janga!
Sent using Jamii Forums mobile app