Alshabaab waaamuru watu wote ambao si wazawa kuondoka katika eneo lote la Kaskazini mashariki mwa Kenya

Mabingwa wa elimu ahera

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la sisi ndo hili, haribifu ni uharibifu tu. Kuwahifadhi simply ni ndugu zao ni kuwafanya hao raia wote kuwa wahalifu. Washughulikiwe kama wahalifu tu au wahamie Somalia. Hapa bado naona umuhimu wa kuweka kambi ya jeshi haswa ukizingati risasi haina macho.

Watawatoa tu walikowaficha!
 

Bajeti ya US ya ulinzi na usalama ni karibu mara 1000 ya Kenya, lakini wameshindwa kuzuia mass shootings.
Kila siku mbili mass shooting.
Tanzania mkienda vita dhidi ya hata Burundi mnaweza nyoroshwa kama mbwa.

Al shabab haina conventional army. Wanajificha kwa raia wa kawaida.
 
Siyo atujapambana na ugaidi bali sisi tumeushinda ugaidi ndio maana kabla ya kufanya shambulio tunawapeleka kuzimu fast
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania tuna jeshi imara sana akuna gaidi anaweza kusubutu kuleta pua hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aise, kwa iyo ile portion yote ya Kenya mumewaachia al shabab na Somalians, and why should they link up well with shababs ilhali ni wakenya. Nyie kule kaskazini mtamegewa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We huijui Tz, unyamaze tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa unaona hilo ndilo Jawabu
Wakisha Aliza hapo
Wanasongea Ndani Zaidi
 
Hahaha, kwanza ninaomba usitumie neno US, badala yake tumia neno "Mungu wa wakenya", kila kitu lazima utafute uhalali kwa kujilinganisha na Mungu wenu USA, ndio sababu wakenya wengi wanaume huolewa na wamarekani.
Pili, vipi unalinganisha ugaidi na mass shootings zinazosababishwa na matatizo ya akili au kulipiza kisasi?, katika ugaidi, marekani wamefanikiwa kudhibiti mashambulizi ya kigaidi nchini mwao kwa zaidi ya asilimia 98%, Acha kuchanganya terror attacks na mass shootings.

Jambo la msingi kuzingatia ni kwamba, bajeti kubwa au GDP kubwa haina maana yoyote kama haiwezi kutatua shida za wananchi, Tanzania kwa kutumia bajeti ndogo tunafanya mambo makubwa sana ikiwemo kuimarisha ulinzi wa nchi na raia wake, hakuna ujambazi wala mapigano kati ya makundi ya jamii na koo mbalimbali
 
Yani tumshukuru Mungu hatuna mpaka wa ardhini na Somalia maana ubabe wao kiukweli unatisha
 
Yani tumshukuru Mungu hatuna mpaka wa ardhini na Somalia maana ubabe wao kiukweli unatisha
Wasomali ni wababe kuwashinda. Wangekuwa wanalala na wake zenu. Ila sie tunapasua vichwa vyao wanatokomea kuzimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…