joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Sio kweli, wanapigania madaraka kwa kutumia kigezo cha dini kupata kuungwa mkono, ni sawa kutumia ukabila ili kupata kuungwa mkono.Waislamu wenye msimamo mkali ambao wanataka dini Allah isimame kwa kuua watu. Astakhafilalh.
Hakika ni deen ya haki
Waislamu wenye msimamo mkali ambao wanataka dini Allah isimame kwa kuua watu. Astakhafilalh.
Hakika ni deen ya haki
Ficha ujinga kwa kukaa kimya kuliko kuropoka vitu usivyovijua kelbu we!Waislamu wenye msimamo mkali ambao wanataka dini Allah isimame kwa kuua watu. Astakhafilalh.
Hakika ni deen ya haki
Una utu sana. Wewe sio kama wengine wanaosherehekea.Poleni sana wafiwa na wakenya kwa ujumla.
Katika hili tupo pamoja sana
Umesahau kutoka 2013 hadi 2015 walikesha na sisi Nairobi na kulipua matatu na mabasi na malls lakini tulipasua vichwa vyao taratibu hadi wakatulia. Wakabadilisha strategy. Sasa ni kushambulia maeneo karibu na border ya Somalia yaani Lamu, Mandera au Wajir na kutorokea Somalia kabla hatujawakamata kwani wanajua kitakachowafika tukiwashika. Sasa wanafanya kitu kinachoitwa hit and run maana wameshindwa kujitokeza waziwazi maana vichwa vyao vitapata shimo.Hawa jamaa wakiwalea kuna siku wataingia kabisa chumbani Nairobi.... Poleni wakenya
Ndo tatizo lenu linaanzia hapa.....mnapenda kujisifu mno...and when things turn upside down mnawaita bongolala wanaowakejeli...but anyway nimekuelewa... Na admire uwezo wenu sidhani kama hao wezi watakaribia hata Nairobi.....Umesahau kutoka 2013 hadi 2015 walikesha na sisi Nairobi na kulipua matatu na mabasi na malls lakini tulipasua vichwa vyao taratibu hadi wakatulia. Wakabadilisha strategy. Sasa ni kushambulia maeneo karibu na border ya Somalia yaani Lamu, Mandera au Wajir na kutorokea Somalia kabla hatujawakamata kwani wanajua kitakachowafika tukiwashika. Sasa wanafanya kitu kinachoitwa hit and run maana wameshindwa kujitokeza waziwazi maana vichwa vyao vitapata shimo.
Tunapokea rambi rambiPoleni sana wafiwa na wakenya kwa ujumla.
Katika hili tupo pamoja sana
Hilo ndio tatizo lenu, kujipiga kifua wakati uwezo wenu ni mdogo sana. Hivi kwanini msisindikize hayo magari yanayokwenda katika maeneo hayo kama Tanzania tunavyosindikiza magari yanayokwenda mikoa inayopakana na Burundi?Umesahau kutoka 2013 hadi 2015 walikesha na sisi Nairobi na kulipua matatu na mabasi na malls lakini tulipasua vichwa vyao taratibu hadi wakatulia. Wakabadilisha strategy. Sasa ni kushambulia maeneo karibu na border ya Somalia yaani Lamu, Mandera au Wajir na kutorokea Somalia kabla hatujawakamata kwani wanajua kitakachowafika tukiwashika. Sasa wanafanya kitu kinachoitwa hit and run maana wameshindwa kujitokeza waziwazi maana vichwa vyao vitapata shimo.
Una utu sana. Wewe sio kama wengine wanaosherehekea.
Wewe NI mpumbav,hivi polisi akisindikiza Basi Halitarushiwa risasi!Shukuru Mungu haya hayajatokea hapa kwetu!Hilo ndio tatizo lenu, kujipiga kifua wakati uwezo wenu ni mdogo sana. Hivi kwanini msisindikize hayo magari yanayokwenda katika maeneo hayo kama Tanzania tunavyosindikiza magari yanayokwenda mikoa inayopakana na Burundi?