joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Taarifa za hivi punde zinasema kwamba, watu wengi wameuliwa baada ya Alshabaab kuvamia basi la abiria jioni hii huko katika mkoa wa Wajir.
Wakati tunaendelea kuomboleza mamia ya wakenya waliokufa kutokana na mafuriko, huku tukisubiri kujua idadi ya waliofunikwa na jengo lililoporomoka huko Nairobi, Alshabaab wanatia pili pili katika kidonda kibichi kabisa. R.I.P.
Wakati tunaendelea kuomboleza mamia ya wakenya waliokufa kutokana na mafuriko, huku tukisubiri kujua idadi ya waliofunikwa na jengo lililoporomoka huko Nairobi, Alshabaab wanatia pili pili katika kidonda kibichi kabisa. R.I.P.