Unajua Magaidi ni Watu WAOGA SANA, na ndio maana wanavizia.
Wangekuwa si waoga basi watangaze vita vya moja kwa moja bila kuvizia wala kuficha nyuso zao.
Na je unafikiri ni kwanini hasa magaidi wanaishambulia zaidi Kenya? lile suala la ninyi kuweka wanajeshi Somalia sio sababu?