Alshabaab wavamia "bus" na kuuwa watu wengi huko Wajir, Kenya

Waoga sana
Kwann wasiombe pambano na jeshi wao wanakimbilia kuwauaa innocent civilians tu

Ova
 
Poleni sana wakenya.kwenye ilo gari hakuwepo mk 254.mana naona kmya sana
 
Hapa JF ukiita mtu tumbili (racism) hukuli ban lakini ongelea dini. Hivo na hivo unakula ban ndo yangu kaisha leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…