Alshabaab wawadhalilisha tena KDF, washambulia katikati ya Kismayu

Alshabaab wawadhalilisha tena KDF, washambulia katikati ya Kismayu

IMG_20190713_214031_424.jpg
where is this pic from?
Laikipia Airbase
 
Kama kawaida, Alshabaab wadhihirisha umwamba kwa KDF baada ya kushambulia Hotel maarufu mjini Kismayu ambao upo chini ya ulinzi wa jeshi dhahifu la Kenya KDF, shambulio lililosababisha vifo vya zaidi ya watu 30 wakiwemo wanahabari wa mataifa mbalimbali.

Pia imesababisha majeruhi zaidi ya 50 wakiwemo raia wa nchi tukufu ya Tanzania. Ikumbukwe kwamba hii sio Mara ya kwanza wala Mara ya pili kwa Alshabaab kuwadhalilisha KDF kwa kufanya mashambulizi vile wapendavyo kwa wakati wowote wanapojisikia, iwe ndani ya Kenya, katika kambi za KDF huko Somalia, au katika maeneo yaliyochini ya KDF huko Somalia.

Udhahifu wa KDF kushindwa kulinda maisha ya raia sio tu unazidi kuleta hofu na wasiwasi ndani ya Kenya, bali hats nje ya Kenya. Miaka minne iliyopita kikosi cha kulinda amani cha KDF kilichopelekwa South Sudan, kilishindwa kulinda raia jambo lililosababisha karibu MKUU wa UN kipindi hicho Bwana Ban Kin-Mon, kumfurusha kama wa Kenya aliyekabidhiwa jukumu hilo jambo lililosababisha wakenya kususa na kuondoa wanajeshi wao goigoi waliokuwa wakilipwa pesa na UN wakati hawajafikia viwango vya kuwa katika vikosi vya UN.
Jambo gumu sana
 
Today I have confirmed that you have cowdung in between your ears. Among the dead are Tanzanians and you are here celebrating ND farting around foolishly. Bluh
Hahahaha, don't derail this subject in order to conceal weakness of KDF. The subject is about weakness of your stupid army, not about those deaths, unfortunately our citizens found themselves under crossfire but they were not targets.
 
Kipi kibaya alichoandika?
Lengo lao ni kutaka kuwatoa watu wasijadili udhahifu wa jeshi lao ambalo linazidi kudhihirisha udhahifu wake kila siku, bahati mbaya kuna mitanzania mipumbavu haina akili wanaingia katika huo mtego wao.

Hawa wakenya wamezidi kujisifia sana, inapotokea mambo kama haya yanayowaumbua, huwa haraka sana wanatafuta jinsi ya kupindisha mada.
 
Kama kawaida, Alshabaab wadhihirisha umwamba kwa KDF baada ya kushambulia Hotel maarufu mjini Kismayu ambao upo chini ya ulinzi wa jeshi dhahifu la Kenya KDF, shambulio lililosababisha vifo vya zaidi ya watu 30 wakiwemo wanahabari wa mataifa mbalimbali.

Pia imesababisha majeruhi zaidi ya 50 wakiwemo raia wa nchi tukufu ya Tanzania. Ikumbukwe kwamba hii sio Mara ya kwanza wala Mara ya pili kwa Alshabaab kuwadhalilisha KDF kwa kufanya mashambulizi vile wapendavyo kwa wakati wowote wanapojisikia, iwe ndani ya Kenya, katika kambi za KDF huko Somalia, au katika maeneo yaliyochini ya KDF huko Somalia.

Udhahifu wa KDF kushindwa kulinda maisha ya raia sio tu unazidi kuleta hofu na wasiwasi ndani ya Kenya, bali hats nje ya Kenya. Miaka minne iliyopita kikosi cha kulinda amani cha KDF kilichopelekwa South Sudan, kilishindwa kulinda raia jambo lililosababisha karibu MKUU wa UN kipindi hicho Bwana Ban Kin-Mon, kumfurusha kama wa Kenya aliyekabidhiwa jukumu hilo jambo lililosababisha wakenya kususa na kuondoa wanajeshi wao goigoi waliokuwa wakilipwa pesa na UN wakati hawajafikia viwango vya kuwa katika vikosi vya UN.
IMG_20190701_121701.jpeg
 
Watanzania hatuko kama huyu mjinga mmoja. Jeshi la Kenya linastahili pongezi kwa kujitoa kuilinda Kenya na Wasomali
Pumbavu wewe huwezi kuwa mtanzania, inawezekana mama yako alichipuka na mkenya ndio ukazaliwa wewe, haiwezekani baba wa kitanzania akazaa jitu jinga kama wewe.
 
Mmeshamuita IG wa somalia ili kupeleka makomando...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unataka moderators wakushikishe ukuta?, hawana shida na wewe, wote wapo katika ndoa halali.
 
Watanzania watatu wameuliwa..pelekeni makomando km mlivyofanya msumbiji...mi nangoja hzo taarifa...IG wa somalia aitwe makomando waende wakawatafyte alshabab[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Subutu[emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]
Achaga ubishi yule mmiliki wa city garden msomali pure
 
Ushabiki wa kipuuzi mnaupeleka kwenye suala linalohusu maisha ya binadamu.

Mpumbavu wewe
 
Weak KDF ndio tatizo, pumbavu ni KDF na mzazi wako wa like, stupid.
I know you don't have brain but don't worry you will still survive. Even Jellyfish have survived for 600 million years without brain.
 
Hahahaha, weak KDF is the reason for your pain.
I know you don't have brain but don't worry you will still survive. Even Jellyfish have survived for 600 million years without brain.
 
Kama kawaida, Alshabaab wadhihirisha umwamba kwa KDF baada ya kushambulia Hotel maarufu mjini Kismayu ambao upo chini ya ulinzi wa jeshi dhahifu la Kenya KDF, shambulio lililosababisha vifo vya zaidi ya watu 30 wakiwemo wanahabari wa mataifa mbalimbali.

Pia imesababisha majeruhi zaidi ya 50 wakiwemo raia wa nchi tukufu ya Tanzania. Ikumbukwe kwamba hii sio Mara ya kwanza wala Mara ya pili kwa Alshabaab kuwadhalilisha KDF kwa kufanya mashambulizi vile wapendavyo kwa wakati wowote wanapojisikia, iwe ndani ya Kenya, katika kambi za KDF huko Somalia, au katika maeneo yaliyochini ya KDF huko Somalia.

Udhahifu wa KDF kushindwa kulinda maisha ya raia sio tu unazidi kuleta hofu na wasiwasi ndani ya Kenya, bali hats nje ya Kenya. Miaka minne iliyopita kikosi cha kulinda amani cha KDF kilichopelekwa South Sudan, kilishindwa kulinda raia jambo lililosababisha karibu MKUU wa UN kipindi hicho Bwana Ban Kin-Mon, kumfurusha kama wa Kenya aliyekabidhiwa jukumu hilo jambo lililosababisha wakenya kususa na kuondoa wanajeshi wao goigoi waliokuwa wakilipwa pesa na UN wakati hawajafikia viwango vya kuwa katika vikosi vya UN.

Mambo ya ugaidi ni janga la taifa, hakuna sababu yeyote ya kusifia wanayotekeleza kwa namna yeyote, labda wewe uwe mmoja wapo kwa siri.
Hayo yaliyotokea yanawezatokea nchi yeyote Duniani.
 
Punguza dhihaka ndugu,mshukuru Mungu tuko hayo hayatokei kwetu
 
Back
Top Bottom