Am I wrong if I process divorce?

Hahahhaahahahahahhahahahha.
Najuaaaaa.
Mbona mi hutaki kunihamisha ndugu yangu?
Ahahahahhahahahhahaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mwenyewe nilikuwa nangoja ahamishe mabegi tu nimuhamishie kwenye kisima cha burudani 😅😅😅 amsahau huyo boya
 
dada uliyeandika hii thread kama hutojali, njoo inbox. nahisi tunafahamina....nahisi ni wewe....yes ni wewe....kwa maelezo zaidi njoo inbox.

mengi tutayajadili nje ya jf.....ni kwa nia njema tu sio kwa ubaya.
 
Nyie kumbe duniani bado kuna wanawake maboyaaa kiasi hikiii mbona hatushtuani...😀😀😀
Oya mwamba wa kimasihara hapa ume-mess up man, Sister hapo anahitaji msaada man, wa kimawazo. Don't attack

Najua you know better.

Peace [emoji3577]

Sent from my SOV34 using JamiiForums mobile app
 
To be fair….this is a one sided story! I’d love to hear his side before I conclude anything.
 
Wanawake bana[emoji848][emoji848]

Utafikiri miguu imebandikwa superglu kwenye hiyo nyumba!

Huyo kahaba wa kiume hawezi kuacha hizo tabia nakwambia, tena bado anakudunda!

Sasa subiri kufa, uje uulize humu vizuri " how can I process divorce sijui!

Run!
 
Uvumilivu wake sio wa kawaida, Ila nakwambia huyo dada haondoki hapo... miaka nenda rudi atakuwepo hapo hapo. Tunapoteza muda kumshauri
Miaka nenda rudi ipi?... huyo atauliwa nakwambia either kwa kipigo neither AIDS
 
Kuna wanaume wamepata bahati kupata mwanamke anaejielewa nakumsikiliza ila ndo hivyo.

Ondoka kwanza hapo,ata ukapange paka arudi kwenye his sense na kuona kama anakuhitaji.
Wanaume wa hivi wanajifanyaga wamelogwa[emoji16]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]lugha mbili yes no
 

Wanawake tunaponzwa sana na ku maintain status, yani mateso yote hayo bado una contemplate kuondoka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…