Am I wrong if I process divorce?

Haaahaaa haaahaaa

Hajalisha popote[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]

Ila umeongea ukweli mchungu, wanawake wanaexagerate mambo sana..
 
Aisee hii issue ya ndoa ni muda sasa wanawake tuelewe ni stage tu sio achievement
My dear naona wewe umeing’ang’ania hio stage Kama vile ni kila kitu
It’s time utoke hapo uanze ku experience maisha mapya
Am glad you’re a God fearing woman wala usiache kumuomba Mungu ukiona kama amekuacha
Badili tu aina ya maombi
 
Usiwe negative sanaaa...kama uliwahi kushauri watu and never picked your advise(usi generalize). We are different binadamu..
Punguza ukali...maliza moja kwanza, maana ni zito balaa[emoji848]
 
Siku zote ushauri utabaki kuwa ushauri... but ukisoma alichoandika mkuu mwenye mada utagundua she real needs help na kuwa hana hasira kwenye maandishi yake.
Huyu dada ni mke bora kabisa (in my perspective) lakini jamaa anamlet down.
Mke bora kuchukua majukumu ya mume ndani? Tumeona ya mmoja hatujui upande wa pili......kuhudumia familia isiwe kigezo cha kumhurumia pengine kuna mahali akirekebisha watakaa poa sana
 
Move on dear ,tatizo hapo kila kitu umevumilia kwa kuhofia watu watasema nini juu yako .kikubwa unaweza hata Kurent kwa kujibana huku unajenga taratibu( as you said kwamba you take care of all the house bill ) so kurent a house unaweza na maisha mengine yakaendelea kuliko kuishi na huyo deadbeat husband asiyejua thamani yako.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Asee leo umeamkaa poa

"Jipunguze matakooo"
 
Case closed maninnnr[emoji122][emoji122]
 
Songela wansegamila Dr.
Will screenshot this and read it daily before and after catching a sleep. Thank you
.....sasa mume wako ni business man na kama tunavyojua wafanya biashara huwa hawajasoma, hivi viinglish vyako ndivo vinamfanya akuzibue mikofi, ili akushushe confidence [emoji848]
 
Huu mwandiko mbona kama naujua?[emoji848]
 
Hapa wamekutana pair tofauti kabisa huyu mume ni gangstar love huyu mwingine ana true love . Malezi ya kijana atakuwa kalelewa na baba tu sasa kijana kakopi uhuni wa baba kamwe hawezi kushow love .
Very true mkuu,mambo mengi yanatuathiri sana and the issue tena big issue ni psychology akitueleza makuzi ya uyo jamaa utaelewa source ya hivyo tabia, kama sio kalelewa na single parent kalelewa na bibi au amekulia kwa ndugu,usikurupuke kumuacha malezi ndio shida ya mumeo ,pambana kumchomoa huko aliko you will enjoy kuliko hiyo divorce
 
Kuna mambo mengi humu uwi[emoji1][emoji1] na assumptions nyingi achilia kunangwa. Thanks Mr.Bean
Ooooh be very careful na mzee wa "utelezi sio Mr Bean wala nini[emoji849][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…