Am I wrong if I process divorce?

Am I wrong if I process divorce?

Hahahaaa

Nishajua aiseee...Nigga alioa kitu kilichomzidi uwezo kiuzuri....this is really big problem.

Men act weird and out of character....

Kwa uzuri wako aisee,I doubt,maana TZ wanaume tupo sawa in such a way kupata high value man than huyo mwenye confidence ya kuvumilia tako kubwa la mwanamke wake ndani ya jeans linazunguka freely,itakua changamoto aisee!

Jikondeshe kama Wema uone jamaa kama hatarudi fastaaa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]

Aseee unamshauri utopolooo
 
Mke bora kuchukua majukumu ya mume ndani? Tumeona ya mmoja hatujui upande wa pili......kuhudumia familia isiwe kigezo cha kumhurumia pengine kuna mahali akirekebisha watakaa poa sana
Duuuhh...!! Bongo usen.ge mwingi sana.
Yaani mwanamke anasema anapigwa hadi kulazwa hospitali mara kadhaa, ila bado watu wanasema yeye ndo anatakiwa kujirekebisha kumu-accomodate mume mshenzi anaepiga mke hadi kulazwa.
Bongo nyoso sana.
 
Ninaenda kuanza kubeba all needs and my kid..japo ananitishiaga hawezi kukaa mbali na mwanae hata mahakamani. Mimi siwezi kumuachia mtoto kwa ukisirani wake, haya mambo jamani
Tatizo lako una complicate mambo yaan wewe kumpenda kwako kupitiliza kumekufanya umekuwa kipofu...si ajabu ukute jamaa hawazi na ukisepa hakutafuti

Yaan ni unajipa hekaheka mwenyewe, sijui advocates, sijui my kid[emoji848]
 
Tatizo lako una complicate mambo yaan wewe kumpenda kwako kupitiliza kumekufanya umekuwa kipofu...so ajabu ukute jamaa hawazi na ukisepa hakutafuti

Yaan ni unajipa helaheka mwenyewe, sijui advocates, sijui my kid[emoji848]
Nimekubali kujipa hekaheka darling,ni sawa kwangu
 
My dear nakuelewa sana. Myself ni muhanga wa matukio kama hayo. Ila wangu hapigi ila he's never at home, hana time na mimi kabisa kila siku anarudi saa 6,7,8,9 usiku. No sex for 8 years now sio kwamba sitaki yeye ndio hataki. Mwanzoni i used to cry a lot lakini nimekuwa sugu. I dont ask tena simuulizi hata arudi asubuhi. I stoped buying chochote kwa nyumba. He buys everthing including hela ya petrol na ya kula kazini, Ila anafanya vyote but hakuna upendo kabisa. Hana cha Jumapili wala sikukuu akitoka kurudi ni very late hours. Nilidhani nikikaa kimya atabadilika ajiulize why i dont ask, kumbe mwenzangu ndio anachekelea uhuru wa manyani. Marriage life bila sex ndani ya nyumba pains a lot. Ana michepuko kila kona nilikoma kushika simu yake. Najenga nyumba he knows na hana hata interest ya kwenda kuangalia maendeleo.
Huyo wako kiboko...tafuta kaben ten mkuu, utakubalije kufa na migenyee hivo khaaa[emoji848]
 
Hili ni gumu sana mkuu, 4 months mnaangaliana tu no fvking, no shyte na mnalala bee moja! Yaani huyo jamaa kama hana micheps basi he's wanking dunia isimame.
Michepuko ka mchanga lazima wewe...mingine hadi kaisahau

Usiombe playboy apate hela ni anato..mba na visivyotomb..eka mweeh[emoji848]
 
Just file for a divorce and move on , hell hath no fury like a woman scorned.

Ukiendela kukaa naye kwa vitendo anavyokufanyia iko siku utavuka mstari na kumfanyia very extreme measures, unaweza kukuta unakata "mzizi wa fitna", if you know what I mean !
 
Damn lady, unanikumbusha nyimbo ya “Ashanti rain on me” na movie flani ya MYA inaitwa “Love for sale” alikuwa na mchizi bully in the same situation as yours! That nigga was overly jealous [emoji28][emoji28][emoji28] kiasi kwamba alikuwa anam suffocate demu wake yani...finally real man alijibebea mzigo kilaini!

I hate to see such innocent kind of Lady crying adi nimelia hapa kwa uchungu [emoji37] but you got to hold yourself tight and beat the hell out!
...hadi umelia kwa uchungu?[emoji849][emoji849]....oh yeah[emoji848]
 
Sijasoma yote lkn wewe mwenzetu umelogwa acha upumbavu. Unasubiri divorce ya nini? Ili iweje yaani? Huna maamuzi binafsi hadi jamii ikuamulie?

Unashindwa nini kumuacha uondoke then ushughulike na divorce baadae? Hata tukikushauri hapa hutatekeleza ushauri wetu utaendelea kugandana hapo.

We baki na msela wako, hilo ndo chaguo lako ndoa ni uvumilivu, vumilia dada..thawabu utaipata mbinguni. Ukiachika tutakucheka utakosa heshima kwenye jamii kifupi utadharaulika. Shikilia hapo hapo udundwe hadi akili ikukae sawa.
God fearing my foot.
Ushauri wa mtu ambaye ndoa anaiota tu, kama atausikiliza atakua mjinga sana.
 
Pole Kwa unayo pitia.

Nikiunganisha dot's kwenye aya zako napata mashaka kidogo.
Ingekuwa busara kama ungetaja umri wa huyo partner wako ili twende sawa.

Katika umri wa miaka 20 unaolewa huku ukiwa na masters kichwani, hii inaakisi aina ya familia unayotoka.
Na unaposema ndoa haijawahi kuwa na amani inazidi kutia shaka maana Kwa umri huo na elim hiyo am sure hukulazimishwa kuolewa, aliyekuoa ni mtu ambae hakika ulikuwa na mapenzi nae labda useme tu uliweka matarajio makubwa kwake kuliko ilivyo tokea.

Anaonekana ni mtu mwenye uchumi mzuri ila upande wa pili wa story inaonekana support yako ya kiuchumi kwake Gari, Nyumba na mahitaji mengine.

Kwa matukio yake (kama ni kweli) ni ishara kuwa hakuhitaji na huenda alisha kutamkia nachelea kusema huenda hata ndoa ww ulilazimisha.

Natamani kujua umri wake, elim na aina ya shuguli zake.

Kila ndoa inachangamoto
Kauli yake ya wenye chura hawana akili ilikulenga wewe.
Baadhi yenu mkiwa na chura, uzuri plus elim ya juu mnajitoa ufaham na kusahau majukum ya ndoa.

Uzuri wa maumbile ni kwaajili ya starehe na sifa za kijinga, ila mental attitude yako ndicho kitu mwanaume anahitaji ili kujenga future, hii inaweza isiwe na uhusiano wowote na hiyo masters yako.

Kaeni mzungumze.
 
Thank you..inachanganya inaumiza inatesa
Yes, imekuchanganya na imekuumiza, lakini isikutese, inabidi useme inatoaha "enough is enough"

Yeye sio wa kwanza wala sio wa mwisho, hamkuzaliwa wawili(pair) kusema zaidi yake hakuna mwanaume mwingine utaweza kupata, kubaliana na uhalisia usithubuti kuupinga..
Yeye nani kwani kwenye maisha yako, kashikilia oxygen yako au!?

Hukuzaliwa upate tabu ya mapenzi, tabu pekee uliahidiwa ni kuzaa kwa uchungu baasi.. Mungu alituumbia mapenzi ni pumziko la nafsi.. Lazima tujaliane, tuheshimiane, tusikilizane na kupendana.. Lengo la mapenzi ni raha na si karaha..

Inuka, kung'uta matako songa mbele.
 
Back
Top Bottom