[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]Hahahaaa
Nishajua aiseee...Nigga alioa kitu kilichomzidi uwezo kiuzuri....this is really big problem.
Men act weird and out of character....
Kwa uzuri wako aisee,I doubt,maana TZ wanaume tupo sawa in such a way kupata high value man than huyo mwenye confidence ya kuvumilia tako kubwa la mwanamke wake ndani ya jeans linazunguka freely,itakua changamoto aisee!
Jikondeshe kama Wema uone jamaa kama hatarudi fastaaa
Trust me..read between the lines and differentiate. Ukali tena?🤭Punguza ukali...maliza moja kwanza, maana ni zito balaa[emoji848]
Ni wenyeweHuu mwandiko mbona kama naujua?[emoji848]
Duuuhh...!! Bongo usen.ge mwingi sana.Mke bora kuchukua majukumu ya mume ndani? Tumeona ya mmoja hatujui upande wa pili......kuhudumia familia isiwe kigezo cha kumhurumia pengine kuna mahali akirekebisha watakaa poa sana
Tatizo lako una complicate mambo yaan wewe kumpenda kwako kupitiliza kumekufanya umekuwa kipofu...si ajabu ukute jamaa hawazi na ukisepa hakutafutiNinaenda kuanza kubeba all needs and my kid..japo ananitishiaga hawezi kukaa mbali na mwanae hata mahakamani. Mimi siwezi kumuachia mtoto kwa ukisirani wake, haya mambo jamani
Mmmmh[emoji848]Ninalia sanaaaa na ananiona nikilia
Nimekubali kujipa hekaheka darling,ni sawa kwanguTatizo lako una complicate mambo yaan wewe kumpenda kwako kupitiliza kumekufanya umekuwa kipofu...so ajabu ukute jamaa hawazi na ukisepa hakutafuti
Yaan ni unajipa helaheka mwenyewe, sijui advocates, sijui my kid[emoji848]
Huyo wako kiboko...tafuta kaben ten mkuu, utakubalije kufa na migenyee hivo khaaa[emoji848]My dear nakuelewa sana. Myself ni muhanga wa matukio kama hayo. Ila wangu hapigi ila he's never at home, hana time na mimi kabisa kila siku anarudi saa 6,7,8,9 usiku. No sex for 8 years now sio kwamba sitaki yeye ndio hataki. Mwanzoni i used to cry a lot lakini nimekuwa sugu. I dont ask tena simuulizi hata arudi asubuhi. I stoped buying chochote kwa nyumba. He buys everthing including hela ya petrol na ya kula kazini, Ila anafanya vyote but hakuna upendo kabisa. Hana cha Jumapili wala sikukuu akitoka kurudi ni very late hours. Nilidhani nikikaa kimya atabadilika ajiulize why i dont ask, kumbe mwenzangu ndio anachekelea uhuru wa manyani. Marriage life bila sex ndani ya nyumba pains a lot. Ana michepuko kila kona nilikoma kushika simu yake. Najenga nyumba he knows na hana hata interest ya kwenda kuangalia maendeleo.
Michepuko ka mchanga lazima wewe...mingine hadi kaisahauHili ni gumu sana mkuu, 4 months mnaangaliana tu no fvking, no shyte na mnalala bee moja! Yaani huyo jamaa kama hana micheps basi he's wanking dunia isimame.
...hadi umelia kwa uchungu?[emoji849][emoji849]....oh yeah[emoji848]Damn lady, unanikumbusha nyimbo ya “Ashanti rain on me” na movie flani ya MYA inaitwa “Love for sale” alikuwa na mchizi bully in the same situation as yours! That nigga was overly jealous [emoji28][emoji28][emoji28] kiasi kwamba alikuwa anam suffocate demu wake yani...finally real man alijibebea mzigo kilaini!
I hate to see such innocent kind of Lady crying adi nimelia hapa kwa uchungu [emoji37] but you got to hold yourself tight and beat the hell out!
Aah ndugu wewe huoni jina hilo dingiKumbe we ni ME[emoji849][emoji849][emoji849]
Mi.nimemjua[emoji848]Its hard to decode hommie
Sasa shem nitakupata wapi kukupa kadi Jamanituletee kadi tuko tayari kuchanga, uzuri wa JF kila mtu kigogo sasa tunashindwaje shemu kukuchangia
hahahahahahhaha
NitonyeMi.nimemjua[emoji848]
Ushauri wa mtu ambaye ndoa anaiota tu, kama atausikiliza atakua mjinga sana.Sijasoma yote lkn wewe mwenzetu umelogwa acha upumbavu. Unasubiri divorce ya nini? Ili iweje yaani? Huna maamuzi binafsi hadi jamii ikuamulie?
Unashindwa nini kumuacha uondoke then ushughulike na divorce baadae? Hata tukikushauri hapa hutatekeleza ushauri wetu utaendelea kugandana hapo.
We baki na msela wako, hilo ndo chaguo lako ndoa ni uvumilivu, vumilia dada..thawabu utaipata mbinguni. Ukiachika tutakucheka utakosa heshima kwenye jamii kifupi utadharaulika. Shikilia hapo hapo udundwe hadi akili ikukae sawa.
God fearing my foot.
Yes, imekuchanganya na imekuumiza, lakini isikutese, inabidi useme inatoaha "enough is enough"Thank you..inachanganya inaumiza inatesa
Sio kweli [emoji848]I could swear to any name you would want me to...huwaga nasomaga tu bila account yoyote mpaka nilivyoona nazidiwa
Pole sana ndugu. 14yrs of marriage na bado nadunda sijui mwenzangu utaolewa lini.Ushauri wa mtu ambaye ndoa anaiota tu, kama atausikiliza atakua mjinga sana.