Nakubaliana na wewe kuwa kuna baadhi ya maamuzi unapima faida zake na hasara kuliko vipigo na manyanyasho na kuzarauliwa ni afadhali kuwa single mwenye furaha.Yani honestly I don't expect someone to give me happiness,my happyness ni internal zaidi kuliko extrnal so why kuvumilia mtu asiyeniheshimu na anaye breach our agreement, na Raha najipa mwenyewe ziko other means nyingi Mimi mtu anayenikera huwa hamu naye Sina kabisa Bora nitafte other means kabisa au nisifamye kabisa Hadi kufa wallah. Na principle Kali Sana Yani loh
so unampeleka mtu police kabisayanatakiwa yafike mangapi mkuu,?? linaanza moja kuja kushtuka ushakua mlemavu au addicted na vipigo,, naweka mpaka mapema ajue there is No next time
Hujawahi chapwa na wazazi?Like,ever?.....BIG LIEHujawahi chapwa na wazazi?Like,ever?.....BIG LIE
Hujawahi kua na conflict na siblings?Like,ever?....BIG LIE
In school,hujawahi pigana au gombana na mwanafunzi mwenzako mpaka mkapigana?Like,ever?.....BIG LIE
Katika maisha yako hujapitia conflicts zozote ya mpaka kupigana kabisa?Like,ever?....BIG LIE
Baba yako na Mama yako hawajawahi gombana?Like,ever?....BIG LIE
Stop this nonsense nigga,aint nobody a kid in here!Kill that lying noise!
for sureUtapata hela halafu utakuja kugundua wala sio chanzo cha uhuru unafikiria...
si afadhali maradhi..... kuna kifo na jela bibieSecurity kwa mwanamke ni kila kitu, pia kinachotesa watu wengi wanaogopa jamii watachekwa kuachana, matokeo Wana vumilia mateso Hadi wanapata maradhi
Ooh sawa, nitajulia wapi mie hiyo lugha😆😆Huku America "Cold as Fvck" maana yake ni "Hatari Sana Yaani"
Sorry umeelewa vingine...
umeonaeeeeeHahahaaa
Cha ajabu ni kipi jamani...au kwavile nime-confess publicly?
We men,everybody is doing it,sema hatuongeagi tu
Binafsi sijawahi shuhudia wazazi wakigombana wala kupigana, hata ile kuhisi kuwa hawako sawa sijawahi. Nadhani walijua jinsi ya kuficha ili watoto tusijue.Kumbe u are working on assumptions:
Sijawahi kuchapwa na mzazi au mwalimu wakati wote wa malezi yangu na elimu, pia sijawahi kuona baba yangu na mama yangu wanapigana nakoz throughout malezi yangu hadi naondoka nyumbani.
Vitu vingine uliza kwanza before you jump to conclusions.
atajua hajuiso unampeleka mtu police kabisa
Hakika kabisaaaah.Hawa wenzetu wabinafsi sana
Oky ngoja atafute wa kumsugua vizuri, Akili ikae sawa .Msumeno wenu inabidi ukate kote, Huyo mzee anaetoka na vitoto hujamuona kwenye hiyo heshima yako? miaka 8 mume hamgusi means kamfanya ajione takataka kuwa kazeeka, na hamvutii Tena hujajiuliza hata kisaikolojia kaathirika vipi?? Mtu anakususa miaka 8 kawa mzoga? Acha akapate Raha kiakili itamsaidia kuliko kuvumilia hiyo jehanam eti apate heshima, mi kwakweli sitafuti utakatifu duniani mwanaume akinifanyia hivi pasipo sababu za msingi hakutalalika
Thanks mkuu, umeweka uhalisia wa Maisha, Hao wengine wanatafuta fursa ya kuonekana Nice men humu.Mkuu
Naona unataka kutudanganya pahala hapa...
Wewe ulipokua 18,ulikua unachapwa na baba yako at will na unalia kama mtoto
Ulipokua 18 and above ulikua unagombana na siblings wako nyumbani na mnapigana mpaka mwenye nguvu anamshinda mwenzake na mnavunja vitu nyumbani,etc
Hivyo ndio tabia ya wanyama na binadamu ni mmojawapo
Ila huko kooote hukuongea lolote,leo inatokea hii maana ni wanadamu walewale eti unajifanya eti ni strange wakati ndio tabia original za wanadamu.
Leo mtu anakupiga mpaka unalazwa hospitali sababu umejifanya kushindana nguvu na mwenye nguvu..unge-lay down isingetokea
Formula ni kwamba mwenye nguvu anampiga asie na nguvu baada ya asie na nguvu kumchokoza mwenye nguvu..Kipigo kitakua kikubwa zaidi au for a longer duration iwapo asie na nguvu ataleta upinzani zaidi...
Ukipigwa kofi na mwenye nguvu nyamaza yaishe..usimletee upinzani eti na wewe unajifanya unajua mabavu...
Hiki ndio wanawake wa siku hizi hawakijui,hii ndio psychology of conflicts between men
Dah hatari mda mwingi huwa tunautumia kuumia badala ya kuenjoysi afadhali maradhi..... kuna kifo na jela bibie
Bora hata dildos au kukonolewa tu kuliko kuumia umia kisa mtu, hapana kwa kweli, jukumu la furaha yangu ni Mimi Wala sio watu wa nje au yoyoteNakuelewa,you are like me,kwamba everything i enjoy comes within myself...
Ni sawa
Ila hizo "other means" ndio pamoja na dildo nini?Hahahaaaa
Mchawi huwa hela tuNakubaliana na wewe kuwa kuna baadhi ya maamuzi unapima faida zake na hasara kuliko vipigo na manyanyasho na kuzarauliwa ni afadhali kuwa single mwenye furaha.
[emoji23][emoji23][emoji23] I'm notEeeeh! Swali la kizushi. Are you single?
Sawa. Mwenzetu Mungu atamjalia atapata mwingine ila hapo hapana dalili sio nzuri.[emoji23][emoji23][emoji23] I'm not