Dan,maskini,....kumbe tulikua tunadhani huwezi ondoka,Demi njoo usikie huku,tena huyo kenge asikutishe,apeleke kende zake polisi zikaripoti.hata sisi ni wanaume wa shoka na hatujawahi kutesa KE kiasi hicho,sisi sanasana huwa tunachepuka tu lkn tukirudi ndani tunawaheshimu sana wake.hongera sana Rosiela ,na pole kwa yote,Mungu atakupigania,usirudi nyuma
Hongera kwa maamuzi magumu Rosiela . Mtoto ana umri gani? Usiogope kila kitu kitaenda sawa...atahangaika Hadi mahakamani usiogope...sheria zipo wazi Kama ni mtoto mdogo utaendelea kuwa nae...ila hapo baadae mkitulia usiache kumpa mtoto haki ya kumuona baba yake. Haijalishi baba yupoje huyo ni baba yake tu...
Kikubwa hakikisha mtoto yupo salama.
Ni kweli sie wadada tunahuruma au sijui tuna hisia za namna gani, tunawezana kuumizwa lkn tukifanya maamuzi ya kuondoka unajikuta umerudi Tena😀😀. Huwa tunaamini mtu atabadilika lkn ukirudi unakaa wiki mambo ni yale unaanza kujuta na kujiona mjinga. MunguSure, atengeneze utaratibu ambao hautamuathiri yeye endapo huyo jamaa anahitaji kumuona mtoto. Na awe na msimamo, sio jamaa anakuja kukubembembeleza anaomba misamaha ya uongo na ukweli unalainika. Be strongkama umeamua kuondoka ondoka mazima.
Mmh umenikumbusha mdada fulani alinishindaga coz ana misimamo na mtazamo kama wako.
Kuna jinsi mume anataka mke wake aonekane/ abehave, ila mke hataki.
Wewe kinachokusumbua ni elimu na appearance yako.
Jaribu kutii anachokwambia mumeo, utaona manadiliko kwenye ndoa yako.
Hayo anayokufanyia ni impact ya tabia yako na vile unavyojiona.
Kutii kunakuja baada ya kupendwa, haya mambo yanaenda sambamba. Mkishaona mke ana elimu mnatumia hicho kigezo kuona hana utii. Muwe mnaoa wanawake ambao hawana elimu Ili msije pata shida baadae.Mmh umenikumbusha mdada fulani alinishindaga coz ana misimamo na mtazamo kama wako.
Kuna jinsi mume anataka mke wake aonekane/ abehave, ila mke hataki.
Wewe kinachokusumbua ni elimu na appearance yako.
Jaribu kutii anachokwambia mumeo, utaona manadiliko kwenye ndoa yako.
Hayo anayokufanyia ni impact ya tabia yako na vile unavyojiona.
Unaongea as if wewe ndo mume unae zungumziwa hapaMmh umenikumbusha mdada fulani alinishindaga coz ana misimamo na mtazamo kama wako.
Kuna jinsi mume anataka mke wake aonekane/ abehave, ila mke hataki.
Wewe kinachokusumbua ni elimu na appearance yako.
Jaribu kutii anachokwambia mumeo, utaona manadiliko kwenye ndoa yako.
Hayo anayokufanyia ni impact ya tabia yako na vile unavyojiona.
Haki me wa hivo alinishindaga ndo nikaoa huyu mrs mito. Yaan alikuwa typical kama huyu dada, alikuwa mzuri wa sura na umbo matata, ana elimu, na kipato. Nikawa najisemea huyu kabarikiwa kila kitu, so nitafanya naye maisha safi kabisa. Weee mbona niliinua mikono nikasepa zangu.Sasa hapo atii kitu gani jamani, kuvaa madera hadi ofisini? Na huko kutokutii kwake ndiyo chanzo cha mume kuandikishanyumba jina la ndugu, kumpiga, kutoshiriki naye tendo la ndoa n.k? Hivi utii ni nini haswa? (Unipe somo dada ako kabla sijaachika[emoji188][emoji188][emoji188]).
Sure aiseeMtoto akikutwa yuko na mama ake hakuna atakayehoji, mwache aende akashitaki . Akiweza atangaze hata gazetini
Yaan ni kama mimi kabisa my dada.Unaongea as if wewe ndo mume unae zungumziwa hapa
Kupendwa ndo kulianza ndo maana nikakuoa wewe. Sasa wewe nimekuweka ndani sioni huo utii wako, unategemea nini?Kutii kunakuja baada ya kupendwa, haya mambo yanaenda sambamba. Mkishaona mke ana elimu mnatumia hicho kigezo kuona hana utii. Muwe mnaoa wanawake ambao hawana elimu Ili msije pata shida baadae.
Kaka mito acha kyzingua bana mtu akupangie had mavazi kisa kujiamini then asiwe responsible kwa familia kisa uzuri na appearance ya mkewe huyo jamaa tu ni mgonjwa usimtetee.Mmh umenikumbusha mdada fulani alinishindaga coz ana misimamo na mtazamo kama wako.
Kuna jinsi mume anataka mke wake aonekane/ abehave, ila mke hataki.
Wewe kinachokusumbua ni elimu na appearance yako.
Jaribu kutii anachokwambia mumeo, utaona manadiliko kwenye ndoa yako.
Hayo anayokufanyia ni impact ya tabia yako na vile unavyojiona.
Wanaume wasiojiamini wakizidiwa kila kitu na wake zao huwaita si watii kisa uogaKupendwa ndo kulianza ndo maana nikakuoa wewe. Sasa wewe nimekuweka ndani sioni huo utii wako, unategemea nini?
Pole, basi watu hawafanani huwezi kuconclude kuwa hana utii wakati hujaishi nae. Una majeraha moyoniYaan ni kama mimi kabisa my dada.
Nilishawahi kuwa na mdada wa dizain hiyo nikamshindwa kabisa.
Hapa hata sijasoma comments za wadau humu. Nimesoma alichoandika tu akanikumbusha kisa changu enzi hizoooooo
Ukikuta dada mzuri wa sura na umbo halafu ana elimu na kazi ya kipato cha maana tu, halafu bado anamtii mume wake na wala hamshiti, ujihesabu wewe ni mwanaume mojawapo wenye bahati
Unamzungumzia mkeo au mke wa nani? Huyu ni mke wa mtu mwingineKupendwa ndo kulianza ndo maana nikakuoa wewe. Sasa wewe nimekuweka ndani sioni huo utii wako, unategemea nini?
Dada hakuwa na shida uoga wako tu. Nimewahi kuwa na mkaka hajiamini hata akiheshimiwa yeye hugeuza gubu. Nawashauri wanawake wenzangu wawe na wanaume waliowazidi kila kitu Hadi dhambi aisee.Yaan ni kama mimi kabisa my dada.
Nilishawahi kuwa na mdada wa dizain hiyo nikamshindwa kabisa.
Hapa hata sijasoma comments za wadau humu. Nimesoma alichoandika tu akanikumbusha kisa changu enzi hizoooooo
Ukikuta dada mzuri wa sura na umbo halafu ana elimu na kazi ya kipato cha maana tu, halafu bado anamtii mume wake na wala hamshiti, ujihesabu wewe ni mwanaume mojawapo wenye bahati
Wanaume wote ndo tulivyo dada. Tuunawapenda kwanza ndo tunawaoa. Hata jamaa naye ni hivo hivo alimpenda huyo bidada na ndo maana alimuoa.Unamzungumzia mkeo au mke wa nani? Huyu ni mke wa mtu mwingine
Hamna, dada hakuwa na utii, alikuwa analeta ligi kama wa huyu jamaaDada hakuwa na shida uoga wako tu. Nimewahi kuwa na mkaka hajiamini hata akiheshimiwa yeye hugeuza gubu. Nawashauri wanawake wenzangu wawe na wanaume waliowazidi kila kitu Hadi dhambi aisee.
Sio lazima iwe hivyo. Wewe jizungumzie mwenyewe inatosha.Wanaume wote ndo tulivyo dada. Tuunawapenda kwanza ndo tunawaoa. Hata jamaa naye ni hivo hivo alimpenda huyo bidada na ndo maana alimuoa.
Sasa bidada kaingia ndani, hataki kumtii jamaa, ndo tatizo lilipo japo.