Am I wrong if I process divorce?

Am I wrong if I process divorce?

Pia matatizo ya ndoa sio sahihi kushare na rafiki wa jinsia tofauti,utatengeneza nafasi ya yeye kuanza kukutegemeza kihisia,mwishowe hisia za mahaba kuelekeana zitakuwa,kwa kujibu swali n kuwa kama amefanya uzinzi una haki ya kutafuta talaka lakin sio lazima,fanya tathmin ya talaka kwa kila mshiriki wa familia yako
 
Sema baadhi ya wanaume 😂😂😂si wote wenye uzezeta kama huo.

Some men are controlling and manipulative. They are insane [emoji35]. Niliwahi kuwa na mtu ambaye alikua anataka hadi profile picture ya kwenye Watsap niweke anayotaka yeye [emoji23] nikiweka nnayopenda mimi ananiambia itoe [emoji38][emoji38][emoji38]. Utasikia hiyo picha kwenye dp toa weka hii [emoji23][emoji23] ukiuliza sababu hana, ni vile tu anataka ufanye anachotaka yeye. Yani simu ninunue mimi, bundle langu lakini display photo anipangie yeye [emoji23][emoji23]. Wanaume hamuendi mbinguni nawaambia [emoji3][emoji3]
 
Ni kweli hivyo ndio ilivyo....

Usipokua submissive your marriage market value strangely becomes really low!

Sasa basi,kama huu ndio ukweli,wadada wanaotaka kuolewa ni lazima wakubaliane na masharti ya hawa potential buyers,otherwise ni issue...

Nina mdogo wangu wa kike yupo kama Cariha,mpaka sasa people havent bought her up yet...

Nina katoto kangu kasichana 6years,hua nakafundisha kua submissive ili kaje kuolewa maana kasipoolewa nitakua na huzuni sana aisee maana nampenda mno.

I cant imagine as mzazi binti yangu aje kukosa soko,I will die with heart attack and I see with these trends,it is 100% likely!

Hako kadogo kako ka 6 years kataolewa halafu katakuja kufanyiwa kama anavyofanyiwa huyu mleta mada. Natarajia hata ukijua unyamaze kimya na dogo aendelee kuwa submisive
 
Sasa hapo atii kitu gani jamani, kuvaa madera hadi ofisini? Na huko kutokutii kwake ndiyo chanzo cha mume kuandikisha nyumba jina la ndugu, kumpiga, kutoshiriki naye tendo la ndoa n.k? Hivi utii ni nini haswa? (Unipe somo dada ako kabla sijaachika[emoji188][emoji188][emoji188]).
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haki me wa hivo alinishindaga ndo nikaoa huyu mrs mito. Yaan alikuwa typical kama huyu dada, alikuwa mzuri wa sura na umbo matata, ana elimu, na kipato. Nikawa najisemea huyu kabarikiwa kila kitu, so nitafanya naye maisha safi kabisa. Weee mbona niliinua mikono nikasepa zangu.

Mimi napenda kuheshimiwa na mke wangu, mimi napenda mke mtiifu. Sasa wa hivi ukimwambia hiki sitaki, utashangaa ndo anakifanya zaidi, so tafsiri yake ni dharau na kiburi. Anakutia stress na kukufanya insecure.

Halafu unategemea kwenu kutokee tatizo then nitoe ushirikiano kama kawa, nyooooo!!!

Kifupi yeye ndo kamfanya mume amtreat hivo. Mume anajiona hana mke, bali mzazi mwenzie tu, ndo maana kaamua kufanya yake kimya kimya tu.

Dada yangu ukitaka kuishi vizuri na mumeo akikisha unajua nini anapenda na nini hapendi. Anavyovipenda viendeleze. Asivyovipenda anachana navyo. Kama mume hapendi uvae nguo za aina fulani, achana nazo. Au ukiacha utakufa?

Umejaliwa guu, umejaliwa tako, na ndo moja ya vitu vilivomvutia kwako. Aliviona wakati unatupia vimini, wakati ule unatupia viwalo vya kuchora tako.

Sasa kakuoa hataki u-expose mali zake, hataki uvae hizo nguo tena. Anahisi wanaume wengine watakutamani kama yeye alivyokutamani hadi akakuoa. Anahisi anaonekana kama kahaba, anaonekana kama bado yuko sokoni, anaonekana kama mavazi yasiyo na staha kwa mke wake. Sasa amekukataza mavazi ya hivo lakini wewe husikii tu, what so you expect? Unataka kufurahisha mumeo au wapita njia na wafanyakazi wenzio wakusifie?

Huyo dada ndo kamfanya mumewe awe hivo. Tena ukichunguza kwa makini hao wadada wenye wako tayari kugombana na mume wako kisa anamzuia 'kupendeza' utakuta hata siyo waaminifu kwa waume zao, ni chaeaters wa hatari.

Mwache tu aachike awe chakula cha mabahari huku mtaani.
Yaan unaongea as if wee ndo mwanaume unayezungumziwa hapa.
 
I don't care about what others think about me my happyness matters most, siwezi force ku fake ku empress watu wengine ili nipate extrnal validation while inside my heart I don't feel happy and comfortable kwa kweli siwezi wao waoe na waelewe kama inawapa furaha it's okay rather than faking.
Pia kuumia ni ujinga wao life is short kwa kweli hata wewe wanao watafika na wasiolewe kabisa Tena wakiwa wakiume wanaweza olewa kabisa kwahyo utaumia na choice zao. Society need to understand people's preferences and believes za watu bana Yani Africa achievement eti ndoa mtu akifanya la maana hapongezwi ndoa zenyewe watu wanafanya umalaya kuliko ma single. Ndoa Africa ni unafiki Bora wazungu Wana mikataba kuliko mfano wa ndoa ya mleta mada
unawapenda wazungu na kuwatolea mifamo have you really been there?
 
Mfano akiwa amewaona kwamba avumilie na yeye mkuu?
Mimi nimekaa kwenye ndoa zaidi ya miaka minne sijawahi piga mke wangu na sitampiga kamwe,kwa wale wanaopigwa bado siwezi kusema ni ticket ya kuacha ndoa.
 
Kutii kunakuja baada ya kupendwa, haya mambo yanaenda sambamba. Mkishaona mke ana elimu mnatumia hicho kigezo kuona hana utii. Muwe mnaoa wanawake ambao hawana elimu Ili msije pata shida baadae.
Upo sahihi kabisa. Utii unakuja baada ya kupendwa. Hivi unadharauliwa, hakuna matunzo, hakuna upendo, unapigwa, unanyanyaswa..... Unakuwa unamtii Nani hasa?? Unatii Nini kwa lipi hasa??😂😇😂
 
Some men are controlling and manipulative. They are insane [emoji35]. Niliwahi kuwa na mtu ambaye alikua anataka hadi profile picture ya kwenye Watsap niweke anayotaka yeye [emoji23] nikiweka nnayopenda mimi ananiambia itoe [emoji38][emoji38][emoji38]. Utasikia hiyo picha kwenye dp toa weka hii [emoji23][emoji23] ukiuliza sababu hana, ni vile tu anataka ufanye anachotaka yeye. Yani simu ninunue mimi, bundle langu lakini display photo anipangie yeye [emoji23][emoji23]. Wanaume hamuendi mbinguni nawaambia [emoji3][emoji3]
Alikuwa anakutest mkuu kama ni wife material, ungekubali anachosema angekupa dunia yote. Wanaume at times tunatakaga Validation tu yaani hata aje nani hapa apindui meza.

Mkuu kumbe wewe demu, nilijua Nice man nikawa najiuliza huyu Nice man mbona he is constantly criticizing ananufaika na nini?
 
Wewe siunatoka kaskazini ambako wanawake hawabanwi saana.
Kuna rafiki yangu anatoka kanda ya ziwa alipoajiriwa moshi akakuta watu wanatoka mtu na mkewe kwenda kula nyama na pombe alishangaa Sana.
Hivi vitu inategemea na tamadun za watu.
Ila kumpangia mtu Maisha si sawa kama vile ukisha muoa kapoteza kila kitu. Hata maswala ya kukagua simu ya mtu hayana maana kwangu sembuse anavaa nini.
Yani tumelelewa hatubanwi tuko free kufanya lolote bana hamna Mambo sijui Mimi ni mwanaume baba nikikohoa unipigie goti hamna hyo kitu, wote tuko sawa kuanzia wanaume na wanawake ni sawa na unahoji tu Mambo. I think culture na malezi yakitofautiana ndo shida sijawahigi kuona eti usivae nguo sijui blah blah.
 
mpaka mzee wa kazi umeona inabidi ajifunze hilo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah mtu anayeniumiza ni compromise naye Nini zaidi na yeye angeisoma number kwa kweli
 
Some men are controlling and manipulative. They are insane [emoji35]. Niliwahi kuwa na mtu ambaye alikua anataka hadi profile picture ya kwenye Watsap niweke anayotaka yeye [emoji23] nikiweka nnayopenda mimi ananiambia itoe [emoji38][emoji38][emoji38]. Utasikia hiyo picha kwenye dp toa weka hii [emoji23][emoji23] ukiuliza sababu hana, ni vile tu anataka ufanye anachotaka yeye. Yani simu ninunue mimi, bundle langu lakini display photo anipangie yeye [emoji23][emoji23]. Wanaume hamuendi mbinguni nawaambia [emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23]Yani acha Kuna wanaume wagonjwa wa akili same to me alikuwa ananipangia Hadi profile hivo hivo, mara suka hivi Yani nifanye anachotaka yeye, hafu vitu vya hovyo na vile hajiamini anipangie, dah na Mimi vile najua hzo ni characters za ma narcissistic personality disorder woi sikuruhusu kabisa, Tena wanapenda kukukashifu ili ujione binadamu asiyefaa wewe ni mwovu kumbe shida ni yeye nikagoma na kujitoa ukiendelea naye waweza kujiua. Mleta mada nimemwelewa wanaume design ya mumuwe ni kichefu chefu na hawajiamini na ni wagonjwa wa akili in the name of kichwa Cha nyuma
 
Hako kadogo kako ka 6 years kataolewa halafu katakuja kufanyiwa kama anavyofanyiwa huyu mleta mada. Natarajia hata ukijua unyamaze kimya na dogo aendelee kuwa submisive
Huyu Watson anaongea tu jinsi anavoonekana ni mtata
 
Yaan unaongea as if wee ndo mwanaume unayezungumziwa hapa.
[emoji23][emoji23]jiwe limemkuta kakangu kumbe naye ana machungu yake loh. Ingawa huyo dada alikuwa anamprnda kuliko huyu wasasa licha ya kuoa hajamsahau
 
unawapenda wazungu na kuwatolea mifamo have you really been there?
Siwapendi wazungu but I worked with them ni honest people na hawana unafiki ka sisi bana. Mimi napenda mtu muwazi ni rahisi ku cope naye sio unafiki wetu watanzania bana, tuna preach vitu ambavyo hatuvitendi
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Yani acha Kuna wanaume wagonjwa wa akili same to me alikuwa ananipangia Hadi profile hivo hivo, mara suka hivi Yani nifanye anachotaka yeye, hafu vitu vya hovyo na vile hajiamini anipangie, dah na Mimi vile najua hzo ni characters za ma narcissistic personality disorder woi sikuruhusu kabisa, Tena wanapenda kukukashifu ili ujione binadamu asiyefaa wewe ni mwovu kumbe shida ni yeye nikagoma na kujitoa ukiendelea naye waweza kujiua. Mleta mada nimemwelewa wanaume design ya mumuwe ni kichefu chefu na hawajiamini na ni wagonjwa wa akili in the name of kichwa Cha nyuma

[emoji23][emoji23][emoji23] yani, mi hadi kusali nilipangiwa , nisali kwa style anayotaka yeye. Kuna siku alinivuruga hapo sasa ndo nilijumlisha upuuzi wake wote, aisee niliwaka siku ile na nikampiga block moja matata kabisa. Mtu gani akikuuliza umekula nini ukijibu nimekula ugali, utasikia unakulaje ugali [emoji38][emoji38][emoji38] ungekula yoghurt sijui na oats [emoji23]. Yani hadi msosi unaokula nao anauponda [emoji23]. Anataka ule alichokula yeye hata kama huna uwezo nacho [emoji23][emoji23]. Nikikumbuka nacheka sana [emoji38][emoji38][emoji23][emoji23]
 
Sema baadhi ya wanaume [emoji23][emoji23][emoji23]si wote wenye uzezeta kama huo.

Sio wote bob, ndio maana kwenye sentensi yangu nimeanza na neno ‘Some men’ nikimaanisha ni baadhi ndo wenye huo ukichaa na sio wanaume wote.
 
Back
Top Bottom