Am I wrong if I process divorce?

Am I wrong if I process divorce?

Tatizo jamaaa, Anamfanyia matukio alafu HAMPELEKEI MOTO KISAWASAWA[emoji23][emoji23][emoji23]
angekua anampiga muwa kisawasawa, Demu asingefikia hatua hi, na km anampelekea basi ndio sababu Demu amekaa miaka 11 na kwa namna hiyo, HAWEZI KUOMBA TARAKA.



Tuachane na hayo, Turudi kwenye Mada

[emoji117]WANYWA POMBE, YAAN AWE MWANAMKE, AU AWE MWANAUME, WANYWA POMBE NI VIUMBE VYA AJABU SANAAA ,NI VIUMBE PEKEE AMBAVYO HUFANYA MAAMUZI BILA AKILI
[emoji117]watu wameliwa kimasihara kwaajili ya pombe
[emoji117]wanaume wameibiwa wengine wamefirwa kwaajili ya pombe
[emoji117]watu wamepoteza Fedha na mali kwaajili ya pombe
[emoji117]GAMBE GAMBE GAMBEE imefanya Ndoa za watu kuteterekaaaa uwiii Pombeeeeeee hiyooo


[emoji117][emoji117]POMBE NI NGUMU KUACHAAAAAA .
 
Ila baba yako na mama yako na ndugu are looking on you...

Mioyo inawauma sema hawasemi

Mimi ni parent wa vitoto vidogo still,ila hua najaribu kufanya simulation on the later life haolewi mtu,my heart sinks to the lowest...

I cant imagine my girl kid aje apite this valley of death bila kuolewa.

Men love their girl-babies too much they wish when are grown women they get men to take their position of love
I don't care about what others think about me my happyness matters most, siwezi force ku fake ku empress watu wengine ili nipate extrnal validation while inside my heart I don't feel happy and comfortable kwa kweli siwezi wao waoe na waelewe kama inawapa furaha it's okay rather than faking.
Pia kuumia ni ujinga wao life is short kwa kweli hata wewe wanao watafika na wasiolewe kabisa Tena wakiwa wakiume wanaweza olewa kabisa kwahyo utaumia na choice zao. Society need to understand people's preferences and believes za watu bana Yani Africa achievement eti ndoa mtu akifanya la maana hapongezwi ndoa zenyewe watu wanafanya umalaya kuliko ma single. Ndoa Africa ni unafiki Bora wazungu Wana mikataba kuliko mfano wa ndoa ya mleta mada
 
Unajua ni ngumu sana kwa mwanaume kumhandle mwanamke pisi kali, ana akili na anajiweza kiuchumi; wanaume wachache sana ndiyo wamefanikiwa katika hilo.

.... Hakuna raha kama mwanamke anajiweza afu bado anakutii; raha kichizi.

Mume wa huyu dada hajiamini na hamwamini mkewe, anawaza kuchapiwa tu muda wote.

....You will never please an insecure person, neverrrr.

You said it all my sis

Mi naelewa how much that situation stresses, ndo maana mimi nilisain out

Muda wote unajisikia insecure sababu ya matendo yake halafu mwenzio ndo kwanza hajali kabisa yaan loh

Amani ya moyo wangu ni bora kuliko stress za mapenzi
 
You said it all my sis

Mi naelewa how much that situation stresses, ndo maana mimi nilisain out

Muda wote unajisikia insecure sababu ya matendo yake halafu mwenzio ndo kwanza hajali kabisa yaan loh

Amani ya moyo wangu ni bora kuliko stress za mapenzi

Hahahaa amani ya moyo ndiyo kila kitu.
 
Oyaaa pamoja na kwamba una kamshahara kako.

USIVUNJE NDOA KWANZA.


Cheza kama pele.... Kuna mahali unasema unawaza kujenga???.. right??? .


Basi cheza kama Pele, Kwa muda huu jifanye mpumbavu,mjinga fulani iviii, huku ukiendelea kutekeleza mpango wako

Hapa una mawili

[emoji117]Uanze ujenzi wa kudunduliza hata km utaanza kwa kajumba simpoo tu ka chumba na sembule n.k

AU

[emoji117]Fanya uwekezaji wakutosha kiuchumi yaan uwe na vyanzo vya kutosha kimapato.
 
Niwaambie tu wanaume wenzangu

[emoji117]Mwanamke atakua vile unavyotaka awee
[emoji117]Usiombe mwanamke akuchukulie POA



Mnafanya wake zenu waliwe kirahiiiiisi wakati ulimtolea mahari [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Onaaa Kajamaa ,kanampa tu Moyo. Kanamwambia usijali mama, Utakua sawaa tuuu, mdharau nawee, mchukulie poaaaa


Demu anaaanza vutika nako, anakawaza, muda wake anakapa, mwisho wasiku haoo LODGEEE


siku hiyohiyo inapatikana mimba, unaaambiwa yakooo


Au au au kwa sababu naye anaroho ya kisasi, suala la kumwambia kajamaa kavae kondom hawez, KUMBE KAJAMAA KANA UKIMWI [emoji23][emoji23]


kanampa Ukimwi, kanamtemaa. demu akili inarudi, hienda nawewe unaamua kubadilika, unajirudiii. Unaanza kupiga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]



AISEE MWANAMKE AKIAMUA KUCHEPUKAAA KAMA KISASI HAHAHAHAHA UWIIIIIII HAHAHAHAHAHA .
 
Daah, pole sana mkuu


Huyo jamaa yako ni kama anachezea almasi aisee

Anyway, wanasema penye mito watu huwa hawaogi.

Kitu pekee nina uhakika nacho nikwamba kwa hayo yote umeeleza, basi you know what to do.

Unaweza ukakataa ama ukakubali, ila ukweli unabaki pale pale 'you know what to do'

Tulia...jipe muda mzuri wa kuka mwenyewe, inaweza ikawa mbali kabisa na hapo kwenu, ila nenda sehemu, tulia, disconnect, analyze kila kitu;-

✓Angalia uthamani wako

✓Angalia mwenendo wa trend yake (kuna positives zozote unaziona kwamba atakuja kubadilika?) Mimi sioni, kama hata vitu mlivyonunua pamoja ameandika majina yake na ndugu zake.....wewe sio mtoto hapo kufahamu next step

✓Umesema wewe una hofu ya Mungu, ni jambo jema, lakini pia ni kweli kwamba hayo maisha unaishi ndo mpango wa Mungu? Sio kila kitu huwa kinapata majibu katika imani. Akili nzuri Mungu aliyokupa inakutosha kufanya decisions. Waza hili vizuri, kuna muda tunatumia imani visivyo

✓Pia pata muda wa kuwaza the worst scenario inayoweza kutokea. Yes, jipe muda waza vizuri tu. Unadhani matukio ya kikatili (hadi mauaji) ambayo tumeyaona now and then yalianza tu ghafla?

✓Pia waza kwanini unaishi, yaani what is your living purpose so far? Kuamka, kwenda kazini, kumtafutia mtu asiyethamini, na kumlisha ili aje akupige na kukujeruhi badae (repeat the same process 365 days and for 11 years).....really? Hiki chote ndicho umesomea all those years?

✓Think of your family, as well. Unadhani unawatendea haki kwa haya yanayokutokea? Kwamba this is what you got raised for? Hiki ndicho kaka zako wana deserve? Dada yao kupokea kipigo kila leo? Halafu akishakula kipigo anamlisha mpigaji wake?

Kiukweli, hii situation yako sio rahisi, hata kidogo. Lakini haimaanishi kwamba kwasababu sio rahisi basi iendelee unchecked.

Katika haya hata Mungu aliyeumba huo mwili unaojeruhiwa time and again....unamkosea, tena pakubwa tu.

Haraka sana, anza kumwomba Mungu akusamehe kwa hayo yote then ufuatie na hayo niliyoshauri hapo.
 
Nimefanikiwa kuondoka na nguo zangu tu na mtoto vingine vyote nimeacha ila ametuma msg anaenda kureport mtoto wake haonekani nyumbani kwake..ameibiwa au??

Hii kauli inaashiria Ubingwa. Hongera sana.

Pili, kitendo cha kusema anaenda kureport mtoto haonekani, ni ishara kuwa yeye pia hakuwa na nia yoyote na wewe ila anachokidai sasa ndio cha muhimu kwake (mtoto),, inaonekana ulimpenda sana na alijua udhaifu wako..

Binadamu huwa wanapenda vitu ambavyo hawana,, so mbele ya safari jitahidi sana kutoonyesha hisia saaaaaana kwa mtu,, ishi na mtu akiwa anajua kuwa leo upo kesho unaweza usiwepo.. ila ukiishi kama vile ndio huna kwa kwenda hayo yatajirudia...

Thank me later.
Akawasha Gari akateleza....
 
Mmh umenikumbusha mdada fulani alinishindaga coz ana misimamo na mtazamo kama wako.

Kuna jinsi mume anataka mke wake aonekane/ abehave, ila mke hataki.

Wewe kinachokusumbua ni elimu na appearance yako.

Jaribu kutii anachokwambia mumeo, utaona manadiliko kwenye ndoa yako.

Hayo anayokufanyia ni impact ya tabia yako na vile unavyojiona.
Hayo mavazi yanahusiana vipi na kuhudumia familia??,kiufupi huyo mwanaume hajiamini hata A kisirani chote anamalizia kwa bibie
 
Haki me wa hivo alinishindaga ndo nikaoa huyu mrs mito. Yaan alikuwa typical kama huyu dada, alikuwa mzuri wa sura na umbo matata, ana elimu, na kipato. Nikawa najisemea huyu kabarikiwa kila kitu, so nitafanya naye maisha safi kabisa. Weee mbona niliinua mikono nikasepa zangu.

Mimi napenda kuheshimiwa na mke wangu, mimi napenda mke mtiifu. Sasa wa hivi ukimwambia hiki sitaki, utashangaa ndo anakifanya zaidi, so tafsiri yake ni dharau na kiburi. Anakutia stress na kukufanya insecure.

Halafu unategemea kwenu kutokee tatizo then nitoe ushirikiano kama kawa, nyooooo!!!

Kifupi yeye ndo kamfanya mume amtreat hivo. Mume anajiona hana mke, bali mzazi mwenzie tu, ndo maana kaamua kufanya yake kimya kimya tu.

Dada yangu ukitaka kuishi vizuri na mumeo akikisha unajua nini anapenda na nini hapendi. Anavyovipenda viendeleze. Asivyovipenda anachana navyo. Kama mume hapendi uvae nguo za aina fulani, achana nazo. Au ukiacha utakufa?

Umejaliwa guu, umejaliwa tako, na ndo moja ya vitu vilivomvutia kwako. Aliviona wakati unatupia vimini, wakati ule unatupia viwalo vya kuchora tako.

Sasa kakuoa hataki u-expose mali zake, hataki uvae hizo nguo tena. Anahisi wanaume wengine watakutamani kama yeye alivyokutamani hadi akakuoa. Anahisi anaonekana kama kahaba, anaonekana kama bado yuko sokoni, anaonekana kama mavazi yasiyo na staha kwa mke wake. Sasa amekukataza mavazi ya hivo lakini wewe husikii tu, what so you expect? Unataka kufurahisha mumeo au wapita njia na wafanyakazi wenzio wakusifie?

Huyo dada ndo kamfanya mumewe awe hivo. Tena ukichunguza kwa makini hao wadada wenye wako tayari kugombana na mume wako kisa anamzuia 'kupendeza' utakuta hata siyo waaminifu kwa waume zao, ni chaeaters wa hatari.

Mwache tu aachike awe chakula cha mabahari huku mtaani.
Kiufupi chanzo cha matatizo yote ni mwanaume kutojiamini
 
Na kweli wanaume watanzania wanapenda wanawake makondoo bana Hadi nikisomaga maoni ya wanaume humu nashangaa mno aisee, maana mbona tuna mababa na makaka hawana hizi pigo za kishamba bana.
Mie mabebi Zangu huwa ni free mind
Wewe siunatoka kaskazini ambako wanawake hawabanwi saana.
Kuna rafiki yangu anatoka kanda ya ziwa alipoajiriwa moshi akakuta watu wanatoka mtu na mkewe kwenda kula nyama na pombe alishangaa Sana.
Hivi vitu inategemea na tamadun za watu.
Ila kumpangia mtu Maisha si sawa kama vile ukisha muoa kapoteza kila kitu. Hata maswala ya kukagua simu ya mtu hayana maana kwangu sembuse anavaa nini.
 
Tafuta rafiki yake anaweza akakuelezea mitazamo ya mwenza wako alafu utaamua kusuka au kunyoa.

Kafanya yote ila kasahau hili na kasahau hili kwasababu ipi sijajua hapo

ila kwakua sioni kama ni mwanamke anaeweza move on nadhani ushauri

wakufanya ni "asimamie hii point" atafute rafiki wa karibu wa mume wake

amuulize mitazamo ya rafiki ake kisha ajiangalie/ajipime/ajitazame/ajiulize Anaiweza

kui ishi? kama anaiweza basi na aishi kama haiwezi Nadhani ni wakati sahihi wa kudeal perpendicular

na huyu Mungu,ushawahi mganda Mungu hadi akakuona kero,basi hiki ndio kipindi huyu dada anatakiwa

awe kero kwa Mungu yani aombe mpka apige sarakasi,maana kuacha hawezi sasa kama hawezi mimi siwezi

shauri afanye kitu ingine yyte zaidi yakukomaa na sir God, sir God sio kiziwi wala kipofu Hujibu kwa wakati

kama anaweza vumilia makonde gang mpaka analazwa sidhani kama atashndwa vumilia wakati sahihi wa Mungu kuponya ndoa yake.

Kwasasa nakupa Pole dear na maombi yangu yapo nawe,ila tuachane na yote "bi dada unampenda mumeo hadi naona wivu" sio kwa mahaba hayo uliyonayo aseee..

Usijali mwanangu mwenyewe mbinguni tutalipwa tu sisi tunaopenda maborongoto bila kujali yanavyotuumiza...
 
Kutii kunakuja baada ya kupendwa, haya mambo yanaenda sambamba. Mkishaona mke ana elimu mnatumia hicho kigezo kuona hana utii. Muwe mnaoa wanawake ambao hawana elimu Ili msije pata shida baadae.

Hao wasio na elimu wanawaita akina ‘mama twende’ yani mke anakubali kila anachoambiwa bila kuhoji. You can’t grow if you are not challenged. Yani mtu unafanya mafyongo unataka usiulizwe, ukiambiwa unaanza kusema mkeo analeta usomi. Wanawake wasiosoma nao wanapata nao tabu huko ndani maana kunakua na gap kubwa la kimaamuzi, upeo wa kufikiri unatofautiana. Unaishi na mwanamke hawezi hata kukushauri kwa kuwa yeye hajasoma na anakuogopa.
 
Nasikitika kwa changamoto unazopitia,pole sana.Msingi pekee wa talaka ni UZINZI,so kama una uthibitisho wa hilo UKIPENDA unaweza kuomba talaka,lakini fikiria pia upande wa watoto maana talaka itakuathiri wewe,mumeo na watoto pia.Usisahau kumuomha Mungu either akuondolee tatizo au kukupa nguvu ya kukabiliana nalo.
 
Hata ka hajapendeza inakuhusu Nini kinachofanya watu wateseke nikutaka mtu mzima mwenzake afanye interest zake kichwani na kusahau kila mtu na kichwa chake na hatuwezi kufanana. Lack of maturity na kuheshimu wengine ni janga Sana huku Africa, wewe ni baby wangu tumekutana utu uzima na magego yetu 32 yet unataka unibadilishe au uwe baba angu au mamangu kunipangia maisha hapo ndo watu hukosana wengi, na mwisho kujipatia migungu ya mahusiano for the rest of your life.

Some men are controlling and manipulative. They are insane [emoji35]. Niliwahi kuwa na mtu ambaye alikua anataka hadi profile picture ya kwenye Watsap niweke anayotaka yeye [emoji23] nikiweka nnayopenda mimi ananiambia itoe [emoji38][emoji38][emoji38]. Utasikia hiyo picha kwenye dp toa weka hii [emoji23][emoji23] ukiuliza sababu hana, ni vile tu anataka ufanye anachotaka yeye. Yani simu ninunue mimi, bundle langu lakini display photo anipangie yeye [emoji23][emoji23]. Wanaume hamuendi mbinguni nawaambia [emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom