Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji38][emoji38][emoji38]Hahahahah hio usijaribu kwangu maana ukinidhuru kinachofata ni coaster zitakodishwa kukurudisha milimani kwenu na mie kuwa mwanachama wa Keko!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38][emoji38][emoji38]Hahahahah hio usijaribu kwangu maana ukinidhuru kinachofata ni coaster zitakodishwa kukurudisha milimani kwenu na mie kuwa mwanachama wa Keko!
[emoji38][emoji38][emoji38]
I don't care about what others think about me my happyness matters most, siwezi force ku fake ku empress watu wengine ili nipate extrnal validation while inside my heart I don't feel happy and comfortable kwa kweli siwezi wao waoe na waelewe kama inawapa furaha it's okay rather than faking.Ila baba yako na mama yako na ndugu are looking on you...
Mioyo inawauma sema hawasemi
Mimi ni parent wa vitoto vidogo still,ila hua najaribu kufanya simulation on the later life haolewi mtu,my heart sinks to the lowest...
I cant imagine my girl kid aje apite this valley of death bila kuolewa.
Men love their girl-babies too much they wish when are grown women they get men to take their position of love
Unajua ni ngumu sana kwa mwanaume kumhandle mwanamke pisi kali, ana akili na anajiweza kiuchumi; wanaume wachache sana ndiyo wamefanikiwa katika hilo.
.... Hakuna raha kama mwanamke anajiweza afu bado anakutii; raha kichizi.
Mume wa huyu dada hajiamini na hamwamini mkewe, anawaza kuchapiwa tu muda wote.
....You will never please an insecure person, neverrrr.
You said it all my sis
Mi naelewa how much that situation stresses, ndo maana mimi nilisain out
Muda wote unajisikia insecure sababu ya matendo yake halafu mwenzio ndo kwanza hajali kabisa yaan loh
Amani ya moyo wangu ni bora kuliko stress za mapenzi
Nimefanikiwa kuondoka na nguo zangu tu na mtoto vingine vyote nimeacha ila ametuma msg anaenda kureport mtoto wake haonekani nyumbani kwake..ameibiwa au??
Hayo mavazi yanahusiana vipi na kuhudumia familia??,kiufupi huyo mwanaume hajiamini hata A kisirani chote anamalizia kwa bibieMmh umenikumbusha mdada fulani alinishindaga coz ana misimamo na mtazamo kama wako.
Kuna jinsi mume anataka mke wake aonekane/ abehave, ila mke hataki.
Wewe kinachokusumbua ni elimu na appearance yako.
Jaribu kutii anachokwambia mumeo, utaona manadiliko kwenye ndoa yako.
Hayo anayokufanyia ni impact ya tabia yako na vile unavyojiona.
Kiufupi chanzo cha matatizo yote ni mwanaume kutojiaminiHaki me wa hivo alinishindaga ndo nikaoa huyu mrs mito. Yaan alikuwa typical kama huyu dada, alikuwa mzuri wa sura na umbo matata, ana elimu, na kipato. Nikawa najisemea huyu kabarikiwa kila kitu, so nitafanya naye maisha safi kabisa. Weee mbona niliinua mikono nikasepa zangu.
Mimi napenda kuheshimiwa na mke wangu, mimi napenda mke mtiifu. Sasa wa hivi ukimwambia hiki sitaki, utashangaa ndo anakifanya zaidi, so tafsiri yake ni dharau na kiburi. Anakutia stress na kukufanya insecure.
Halafu unategemea kwenu kutokee tatizo then nitoe ushirikiano kama kawa, nyooooo!!!
Kifupi yeye ndo kamfanya mume amtreat hivo. Mume anajiona hana mke, bali mzazi mwenzie tu, ndo maana kaamua kufanya yake kimya kimya tu.
Dada yangu ukitaka kuishi vizuri na mumeo akikisha unajua nini anapenda na nini hapendi. Anavyovipenda viendeleze. Asivyovipenda anachana navyo. Kama mume hapendi uvae nguo za aina fulani, achana nazo. Au ukiacha utakufa?
Umejaliwa guu, umejaliwa tako, na ndo moja ya vitu vilivomvutia kwako. Aliviona wakati unatupia vimini, wakati ule unatupia viwalo vya kuchora tako.
Sasa kakuoa hataki u-expose mali zake, hataki uvae hizo nguo tena. Anahisi wanaume wengine watakutamani kama yeye alivyokutamani hadi akakuoa. Anahisi anaonekana kama kahaba, anaonekana kama bado yuko sokoni, anaonekana kama mavazi yasiyo na staha kwa mke wake. Sasa amekukataza mavazi ya hivo lakini wewe husikii tu, what so you expect? Unataka kufurahisha mumeo au wapita njia na wafanyakazi wenzio wakusifie?
Huyo dada ndo kamfanya mumewe awe hivo. Tena ukichunguza kwa makini hao wadada wenye wako tayari kugombana na mume wako kisa anamzuia 'kupendeza' utakuta hata siyo waaminifu kwa waume zao, ni chaeaters wa hatari.
Mwache tu aachike awe chakula cha mabahari huku mtaani.
Wewe siunatoka kaskazini ambako wanawake hawabanwi saana.Na kweli wanaume watanzania wanapenda wanawake makondoo bana Hadi nikisomaga maoni ya wanaume humu nashangaa mno aisee, maana mbona tuna mababa na makaka hawana hizi pigo za kishamba bana.
Mie mabebi Zangu huwa ni free mind
[emoji38]Yani kabla hajantia kilema hio vita yake dah ntampiga kama mwizi maana huwa sichagui pa kupiga! Mwanamke antupie sufuria sijui stuli labda nife![emoji28][emoji28][emoji28]
mpaka mzee wa kazi umeona inabidi ajifunze hiloIla Cariha
Inatakiwa ujifunze kitu kinaitwa "Compromises"
Lazima ucheck huku na huku,sometimes misimamo usually work against yourself
Tafuta rafiki yake anaweza akakuelezea mitazamo ya mwenza wako alafu utaamua kusuka au kunyoa.
Kutii kunakuja baada ya kupendwa, haya mambo yanaenda sambamba. Mkishaona mke ana elimu mnatumia hicho kigezo kuona hana utii. Muwe mnaoa wanawake ambao hawana elimu Ili msije pata shida baadae.
Hata ka hajapendeza inakuhusu Nini kinachofanya watu wateseke nikutaka mtu mzima mwenzake afanye interest zake kichwani na kusahau kila mtu na kichwa chake na hatuwezi kufanana. Lack of maturity na kuheshimu wengine ni janga Sana huku Africa, wewe ni baby wangu tumekutana utu uzima na magego yetu 32 yet unataka unibadilishe au uwe baba angu au mamangu kunipangia maisha hapo ndo watu hukosana wengi, na mwisho kujipatia migungu ya mahusiano for the rest of your life.